AlipeKabudi na Osolo si bado wapo? Mnasubiri nini?
Tena Kabudi bado anakula posho za ubunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlipeKabudi na Osolo si bado wapo? Mnasubiri nini?
Tena Kabudi bado anakula posho za ubunge.
WATU JAMII YA UPINDE (RAINBOW) WAKISIKIA SEREKALI INAINGIA MATATIZONI HUFURAHI KWELI,HAWA JAMAA BANA SIJUI WAKOJE WAKOJE?WAKO BASED ON NEGATIVITY THE SAME TO UPINDE!Wataalamu wa sheria wanaowakilisha kamuni ya Indiana wametuma barua kwa Wakili Mkuu wa Tanzania, ikidai malipo hayo ifikapo tarehe 17 Agosti 2023. Barua hiyo imetumwa tarehe 20 Julai 2023, Wito wa kulipia kiasi cha Dola za Kimarekani
... in short chawa hawajawahi kuwa na faida zaidi ya uharibifu. Ogopa mno mtu anayejikomba; mwenye akili hukaa nao mbali.Kabudi na Osolo si bado wapo? Mnasubiri nini?
Tena Kabudi bado anakula posho za ubunge.
... matakataka yasiyo na faida kwa taifa zaidi ya matumbo yao! Yalaaniwe duniani na mbinguni.Almaaruf a.k.a Baba wa Mikataba mheshimiwa Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (mbunge)
Huwezi kutumia Lugha za Vile kushauri.Mkuu Analogia,
Tundu Lisu anahusika nini ni huu Mkataba?
Ndiyo tunayokataa.. Yaani tunapora ardhi yetu wenyewe kweli!!!???Wataalamu wa sheria wanaowakilisha kamuni ya Indiana wametuma barua kwa Wakili Mkuu wa Tanzania, ikidai malipo hayo ifikapo tarehe 17 Agosti 2023. Barua hiyo imetumwa tarehe 20 Julai 2023, Wito wa kulipia kiasi cha Dola za Kimarekani
Pia soma Maamuzi ya Hayati Magufuli yaigharimu Tanzania zaidi ya Bilioni 266
Hao uliwataja ni makahaba wa kisiasa watoto wa kinondoni makaburini. Walivyomdanganya mwenda zake bado hamjastuka jamani?Kabudi na Osolo si bado wapo? Mnasubiri nini?
Tena Kabudi bado anakula posho za ubunge.
shida sio kbudi , shida ni akina mkwere walioingia mikataba ya hovyo Hawa ndo wanaotufanya tughalimike.Kabudi na Osolo si bado wapo? Mnasubiri nini?
Tena Kabudi bado anakula posho za ubunge.
Huwezi kutumia Lugha za Vile kushauri.
Imagine Mtoto Wako badala ya kukushauri yeye anaishia Kukutukana si Wa kulaani Kabisa huyo na uyachie Mapenzi ya Mungu.
Tuambiane Ukweli Rais anasema Wenye Mawazo Wahusishwe kwenye kubotesha Maeneo wanayoona kuna Changamoto za Kimkataba Wewe unaona anachokisema Rais siyo Kizuri. Na Kwenye Matangazo ya Mkutano wao wa tarehe 23/07/2023 ndiko nimegundua kumbe Wamelichukua
Kama Kiki za Kisiasa na hata wanaojiita Mawakili Watetezi kumbe makelele yote ni kutafuta Agenda za Kisiasa.
NB: Rais wa Nchi anatakiwa Kuheshimiwa na Kushauriwa kwa Hekima, Siyo hizo kauli tata zinazotolewa kwa Maslahi ya Chadem.
Misiasa ya Ovyo haijengi nchi, bali inajenga Midomo ni Muhimu kuwa Makini.