Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda hii Boeing imeifuata Malaysian airlineWhere is Malaysian Airline iliyopoteaga kitambo!??? Putin ni mona, he is really ^putting things in^
Tofauti ipo wapi?Ajali zote ni mbaya lkn ya ndege hapana, unakufa unajiona..Bora gari mzinga paa... tayari umeenda.
Ndege ikiwa inaanguka unaiona hadi inafika chini. Gari ni sekunde tu.Tofauti ipo wapi?
Ajali ya ndege unapata mda wa kuwaaga ndugu zako na kupiga selfie ya mwisho.Ndege ikiwa inaanguka unaiona hadi inafika chini. Gari ni sekunde tu.
DohWashuhuda wanasema waliona inalipuka.
[emoji3][emoji3][emoji3] aku staki mie hayo mamboAjali ya ndege unapata mda wa kuwaaga ndugu zako na kupiga selfie ya mwisho.
Ref.ajali ya Ethiopian airline
Ndege inatakiwa ihudumu kwa muda gani kabla ya kustaafishwa?Ndege zipo captains Europe hawana mzaha wakiona chochote hatari safari inavunjwa hakuna longolongo.
Kuna siku tumekaa hewani Zurich swissair masaa mawili ndege inapigwa upepo hatari, Airport hawataki tutue tumeranda huko juu mpk basi na ilikua sio rahisi badae ndo wakasema teremsha chombo.
Mi nshachelewa kila kitu Walililpa😎.
Sijajua ni miaka mingapi maana kuna ndege zina miaka zaidi ya hiyo.Ndege inatakiwa ihudumu kwa miaka mingapi?
Sio kwamba 737 MAX ndio wameruhusiwa kupaa recently? Hii ni Boeing 737-500 sio MaxTena hii taarifa imekuja baada hizi ndege kuruhusiwa kufanya safari ndani ya wiki ya 2
Maintenance tu ya kutosha kwa muda sahihi,then itadumu sana tu.km hivyo chombo kinapotea hewani lazima kuna hitilafu ilitokea tutajua badaeNdege inatakiwa ihudumu kwa muda gani kabla ya kustaafishwa?
Ok maana kwenye habari wameandika ina mika 26 as if kama vile ni big issue. Kumbe sio kigezo cha kutokea kwa ajaliSijajua ni miaka mingapi maana kuna ndege zina miaka zaidi ya hiyo.
Wanasema ndege inadumu sana ikifanyiwa proper maintenance.
It was probably kuepusha watu kufikiri ni Max (japo baadhi bado wanadhani ni Max). Kwa hiyo kwa kutaja umri basi mtu utajua ni 737-500 na sio Max.Ok maana kwenye habari wameandika ina mika 26 as if kama vile ni big issue. Kumbe sio kigezo cha kutokea kwa ajali