Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuu [emoji23][emoji23]Nimekua nikitetea infinix lakini kwa bei hiyo mnikome
😀😀😀Kuna mwanaJF alisemaga kununua hizo simu ni ushujaa wa hali ya juu sana, ni sawa na kujikata na kisu shingoni.
Usifananishe takataka na S23Iko level moja na galaxy S23
Mliowahi kuitumia tupeni tathmini
Usiwe mmoja wapo sasaAsilimia 90 ya Watanzania wanatumia tecno + infinic
Kwa simu za Android hakuna simu ipo faster kuliko Google PixelKuna kipindi Phantom ya tecno ilivotoka ilikua bei kuna mwana tukaingia nae dukani yeye akachukua Google pixel.. Leo hii Phantom ipo ndan ukifungua application unakaa unywe chai umalize ndo App ifunguke mwamba wa pixel simu n kama bado mpya na kasi ile ile ya mwanzoni
Ninunue infinix 1.5 m kama msukuma? Hizo ni simu za washamba
Ina Ram ngapi?Kwa simu za Android hakuna simu ipo faster kuliko Google Pixel
PichaNimekua nikitetea infinix lakini kwa bei hiyo mnikome
Google Pixel 7 Pro ina 12GB RAMIna Ram ngapi?