and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
1. Nawasihi sana ndugu zangu vijana msiige kila mnayoyaona mitandaoni. Influencer anapiga domo kwenye Instagram kwamba ni financially independent kumbe ana babu yake a.k.a SANTA CLAUS anayemfadhili.
2. Dada huko insta anatema shombo na kujidai motivation speaker, shule hamna na akili ya maisha hamna, Lazima sehemu za Siri ziumizwe.
3. Mtakuja kupasuka Kwa kupenda sifa na maisha ya juu huku hamna uwezo.
NB: Sura imemshuka hadi aibu. Anasingizia u-lesbian.
2. Dada huko insta anatema shombo na kujidai motivation speaker, shule hamna na akili ya maisha hamna, Lazima sehemu za Siri ziumizwe.
3. Mtakuja kupasuka Kwa kupenda sifa na maisha ya juu huku hamna uwezo.
NB: Sura imemshuka hadi aibu. Anasingizia u-lesbian.