Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nakuona depression ushafika😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona depression ushafika😄
Vibabu vinaupiga mwingi sana, wapewe ulinzi. Nyie depressions muuawe🤣😁😁😁
Huko Instagram ukifuatilia utapoteana mapema sana!
😁😁 Mabinti wanataka wababu 😭Nakuona depression ushafika😄
Utafikiri ni babu yao kaibwa🤣Ila waja🤣🤣sasa mtu kaopoa kibabu chake cha kizungu tena wameoana according to her mnagomba mnagomba nini?🤣🤣🤣
Ni maisha yake kheee
Wababu hoyeeee!😁😁 Mabinti wanataka wababu 😭
Shangaa🤣🤣Utafikiri ni babu yao kaibwa🤣
Aaah! Watu tunaenjoy kua single we unasema tuna depression?Vibabu vinaupiga mwingi sana, wapewe ulinzi. Nyie depressions muuawe🤣
Binti gani tena? Kuna binti Instagram?Kwani ndio anaitwa nani huyo binti
Babu je?Nimekutana nae sasa hivi makumbusho huyu demu sema ni mzuri
RIP Babu kutoka CyprusLafudhi inaonekana ni ya kichaga, babu aambiwe asijekusema hatukusema
#StrongicomeAnaitwa nani mbona hamsemi, huyo influencer wenu
Kuna watoto wa alfu mbili na sisi wanatuona wababu😁😁Wababu hoyeeee!
unaenjoy nini sasa! Uwe singo kwani wewe panga?Aaah! Watu tunaenjoy kua single we unasema tuna depression?
Aaaah wewe wanakuona mtoto mwenzao tu.Kuna watoto wa alfu mbili na sisi wanatuona wababu😁😁
Hili li komwe toka siku ya kwanza nilijua ni lidangaji linalotafuta fursa.1. Nawasihi sana ndugu zangu vijana msiige kila mnayoyaona mitandaoni. Influencer anapiga domo kwenye Instagram kwamba ni financially independent kumbe ana babu yake anayemfadhili.
2. Dada huko insta anatema shombo na kujidai motivation speaker, shule hamna na akili ya maisha hamna, Lazima sehemu za Siri ziumizwe.
3. Mtakuja kupasuka Kwa kupenda sifa na maisha ya juu huku hamna uwezo.
NB: Sura imemshuka hadi aibu. Anasingizia u-lesbian.
View attachment 3089603