The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Kwani kuna babu au baba wa mtu kaibiwa huko!!
Babu kama Babu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna babu au baba wa mtu kaibiwa huko!!
Na wasio wachaga wanatembea na nini?Wachaga wanatembea na fursa mwanzo-mwisho.
Tunaitwa depression na huyo mkoloni 😂Wee depression Mpaji Mungu njoo kuna ujumbe wenu.
Mnajua kutunza si unaona mrembo anavyowazimikia🤩Babu kama Babu...
Na mimi nataka dadiii😅😅Inategemea Kapeace , Sasa Babu mie saa hizi nafakamia hivi vitu hapo Kuna kutunza mtu kweli Rafiki?
View attachment 3089998
Na mimi nataka dadiii😅😅
Sasa dadiii hii comment sio ya huku ujue, umemeza dawa zako kweli leo😅kweli we ni babuNapata upepo wa ufukweni karibu tujumuike.
Ila haya mambo ya ndani sana, shida itakua ipo Kwa mwanamke. Inamaana hapo alikua anaonyesha kwa Mme wake kwamba Yuko sawa na anapambana lakini Kwa marafiki zake analalamika Mme wake anamtenga na kamtelekeza.
Ni Wazo ndio wamewapa kitu Cha kusema hao Rafiki zao alafu anataka kuja kulaumu wanawake na kuwarushia lawama Wana Roho mbaya, haiendi hivyo.
Unaona sasa Bora mambo yameanza kujidhihirisha yenyewe, uzee haujifichi mjukuu. Nilisahau miwani ya macho.Sasa dadiii hii comment sio ya huku ujue, umemeza dawa zako kweli leo😅kweli we ni babu
Ndiooo nyie ni depressions🤣🤣🤣Tunaitwa depression na huyo mkoloni 😂
Hata sisi tutazeeka tu na watoto wenu mnaowapata na hao babu na wao watatuita dadiiii ngoja tusake tu pesa🤣🤣🤣🤣🤣.Ndiooo nyie ni depressions🤣🤣🤣
Nasisi tutazeeka tupite na vitoto vya 2010's.Ndiooo nyie ni depressions🤣🤣🤣
😁😁Nasisi tutazeeka tupite na vitoto vya 2010's.
Ila kwanini atuite depression? Nachoka mimi.
Ila mimi nampendaga huyu dada jamani, anakuwaga na madini flani hiviiiiiiiiii.1. Nawasihi sana ndugu zangu vijana msiige kila mnayoyaona mitandaoni. Influencer anapiga domo kwenye Instagram kwamba ni financially independent kumbe ana babu yake anayemfadhili.
2. Dada huko insta anatema shombo na kujidai motivation speaker, shule hamna na akili ya maisha hamna, Lazima sehemu za Siri ziumizwe.
3. Mtakuja kupasuka Kwa kupenda sifa na maisha ya juu huku hamna uwezo.
NB: Sura imemshuka hadi aibu. Anasingizia u-lesbian.
View attachment 3089603
Wameacha lile la mbwa, kwasasa ni depression. Ila hawa wakoloni wenye 30+ jau sana.
Umechoka na depression?Na mimi nataka dadiii😅😅