Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Yani sijawahi kuwawaza hata hao kina depressionUmechoka na depression?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani sijawahi kuwawaza hata hao kina depressionUmechoka na depression?
Kutesa kwa zamu sio😄😄Hata sisi tutazeeka tu na watoto wenu mnaowapata na hao babu na wao watatuita dadiiii ngoja tusake tu pesa🤣🤣🤣🤣🤣.
🤣🤣🤣🤣 sasa kwani sio depressions jamani?Nasisi tutazeeka tupite na vitoto vya 2010's.
Ila kwanini atuite depression? Nachoka mimi.
mzungu anapakua nya kama hana akili nzuriHicho kidemu Ni kifupi kama Steve nyerere
Kabisa anaongeaga ametulia hana papara hana mashauzi mi nilijua kwa akili kubwa vile lazima kuna mtu mzima kajiweka, safi sanaIla mimi nampendaga huyu dada jamani, anakuwaga na madini flani hiviiiiiiiiii.
Ana akili sana, halafu ni mkweli.
We unatuonaje au depression?🤣🤣🤣🤣 sasa kwani sio depressions jamani?
Mie na vibabu damu damu🤣🤣🤣🤣We unatuonaje au depression?
Nmekosa cha kusema japo hata mimi napenda under 25😂Mie na vibabu damu damu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nmekosa cha kusema japo hata mimi napenda under 25😂
Me over 30🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watoto wenzio!
Totooo🤣🤣Me over 30
Ntamuita MpajiTotooo🤣🤣
Totoo mwenzio🤣🤣Ntamuita Mpaji
Kwahyo sio depression tena ni totoo.Totoo mwenzio🤣🤣
Depression mtoto🤣Kwahyo sio depression tena ni totoo.