Inga Stone; Jiwe, Mwamba wenye fumbo utata maajabu na maswali yasiyo na majibu kwa Binadamu wa kizazi hiki!

Dunia iliwahi kaliwa na Race ya Annunak ambao walitoka Sayari Ya Nibiru kwa malaki ya miaka hao ndio waliochimba dhahabu kwa 90%
Na iliyobaki ndio hii tuliyobaki nayo leo na wakaipeleka kwao na hao ndio viumbe walioitwa Miungu katika Dunia ya kale,
Kuna mambo makubwa yatakayo kushangaza ukianza fuatilia Haya mambo na ni very complicated kiasi kwamba itakubidi uingie darasani na kutenga muda kuyajua!
 
Ushaidi?
 
Dah..hii.mistari inafirikisha sana

unaweza kutoa elimu mana naona machagamhikiwa na hizi terminologies
Tutakesha hapa Mama Mwana kuzielezea,
Hii ni zaidi ya Elimu yaani kama ulitumikia shule kujifunza hapa ni kama utaanza na Moja kusoma
a e i o u kujua Haya mambo
Hahaha anza na lolote ku google upate mwongozo!
 
Ushahidi siwezi kupa hapa kama unautaka itakugharimu Muda na kipato kupata maana kuna kwenda site kabisa kushuhudia ili unavyopewa maelezo ujilidhishe ila kama unautaka miongozo nitakupa hints uanze kufuatilia documentaries mbali mbali za watafiti na wanasayansi pia vitabu mbali mbali na machapisho ya kiutafiti ujue kwa kina mambo Haya
Upo tayari?
 
ushaidi ni mgumu kuupata na ni gharama na unachukua muda, aya ni majibu ya kubabaisha, nitumie ebu hizo resources na mimi nijisomee, ila kwa maelezo yako ulipaswa mpaka sasa uwe na ushaidi wenye mashiko ndugu.
 
Nilikua naitaji unitajie hayo maendeleo, naona umenitajia Babylon na khemet

Asante mkuu
Mkuu kama uliwahi soma pahali either kwenye historia au vitabu vya dini na ukasikia Neno Miungu basi elewa hao miungu walikua miungu kweli kama unaijua miungu ya dini za kale na za kipagani kama mungu
Ra wa Wamisri
Krishna wa wahindi
Quetzalcoatl wa wamaya
Enlil na Enki wa Wababylon nk nk
Kiufupi hao wote ni miungu waliwahi exist katika Damu na nyama kama mimi na wewe ila sasa hawakua Humanoid kama sisi ni viumbe wenye uwezo mkubwa waliwahi kuwepo hapa Duniani kwa malaki ya miaka ndio wanaobeba historia ya Dunia ya kale yaani ukiona yale ma Pyramids na Matemple na site za kushangaza hao ndio wahusika wakuu waliofanya manuva kiufupi hao miungu ni kitu kimoja au mtu mmoja ndie alifanya maajabu hayo hao kwa pamoja tunawaita
ANNUNAK!
 
Ambao ndio mapepo ya sasa.
 
Inabidi ujichetue kidogo kuamini haya mambo ya Annunaki.

Niliyafatilia ila nikaja kuona ni kama vile watu wa dini kitu kikiwa beyond their capacity of thinking basi hugeukia spirituality issues.

Na nyie mnageukia mambo ya annunaki.

Tatizo tu kuwa huenda watu wa zamani hawakua na njia za kukeep record kama zetu.
 
Record walizokeep mbona ndio zinafanya tujue ndio wao Annunak,hizo tablet za mawe na michoro ndio record za kudumu kuliko tulizonazo leo,
Sisi ikitokea civilization yetu imeanguka baada ya miaka 300 tu kila kitu kitafutika kabisa maana hata hatuna njia ya kudumu ya kuhidhi data zaidi ya internet na makaratasi yanayooza mapema!

Angalia kina Girgamesh waliacha maandishi kwenye tablet za mawe kwa ustadi wa hali ya juu kiasi kwamba leo hata hatuna huo ujuzi!
 
Aisee sawa mkuu, ila binafsi siyaamini hayo makitu
 
Hahahahaha..Mkuu hebu tupe mbili na tatu za huu mchoro ulivyo decode hizi code .nimevutiwa kuelewa
Mkuu hatari sana Haya mambo ngoja kwanza kabla sijakupa maelezo angalia huu kwanza,angalia vizuri uone mwenyewe kama hao walikua ni viumbe wa kawaida!
 

Attachments

  • firstgodaeon_1.jpg
    857.1 KB · Views: 21
Mkuu narudia kutazama kwa kuzoom nataka nijue zaidi nijuze
Kiufupi hao Sio binadamu wa kawaida,
Hao ndio ANNUNAK au Nephilim wenyewe huo mchoro wa kwanza unaonesha Mother godes akichukua power kutoka kwenye mti wa uzima (power plant )
Hiyo inawafanya wawe immortal
Yaani Mzee baba hiyo sayansi ya hapo ni zaidi ya ile kwenye cinema za
iron man
Hao miungu walikua more advanced kwenye science na tech kiasi kwamba hapo alipo ukiangalia vizuri aina ya mavazi aliyovaa na mwili wake vina muungano yaani ni super computerlized machine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…