Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Eeh narudi tena kutazama mchoroKiufupi hao Sio binadamu wa kawaida,
Hao ndio ANNUNAK au Nephilim wenyewe huo mchoro wa kwanza unaonesha Mother godes akichukua power kutoka kwenye mti wa uzima (power plant )
Hiyo inawafanya wawe immortal
Yaani Mzee baba hiyo sayansi ya hapo ni zaidi ya ile kwenye cinema za
iron man
Hao miungu walikua more advanced kwenye science na tech kiasi kwamba hapo alipo ukiangalia vizuri aina ya mavazi aliyovaa na mwili wake vina muungano yaani ni super computerlized machine!
Kingine hao walikua magiant sana yaani hapo binadamu kwao ni kama wewe unavyomwangalia nyau 😁Eeh narudi tena kutazama mchoro
Eeh narudi tena kutazama mchoro
Alihitaji ushauri kutoka kwa nani?Kuna viumbe vilikiwepo kabla yetu. Mwanzo 1;1-2 inaonesha kulikuwa na kitu kilitokea before uumbaji wa sasa na ndio maana katika uumbaji wa "Mwanadamu Mungu alihitaji ushauri"
Ili ayajue inabidi dini yake aiweke pembeni kwanzaDunia iliwahi kaliwa na Race ya Annunak ambao walitoka Sayari Ya Nibiru kwa malaki ya miaka hao ndio waliochimba dhahabu kwa 90%
Na iliyobaki ndio hii tuliyobaki nayo leo na wakaipeleka kwao na hao ndio viumbe walioitwa Miungu katika Dunia ya kale,
Kuna mambo makubwa yatakayo kushangaza ukianza fuatilia Haya mambo na ni very complicated kiasi kwamba itakubidi uingie darasani na kutenga muda kuyajua!
Ahahaha hapo ndipo migogoro huanzia,Ili ayajue inabidi dini yake aiweke pembeni kwanza
Si nkajua mnaongelea jiwe Hayati lol!😊
Labda kwa bro yake Enlil!Alihitaji ushauri kutoka kwa nani?
Ulivyokuja mbio shemeji kabisaa ukajuwa Bwana Jiwe the graveyard anazungumziwa!Si nkajua mnaongelea jiwe Hayati lol!😊
Dah inafikirisha sana hiyo michoroKingine hao walikua magiant sana yaani hapo binadamu kwao ni kama wewe unavyomwangalia nyau 😁
Kiufupi hao miungu walikua ni waajabu sana just imagine huyu ndio Lord Enki na huo ndio tree of life akichota ma power!
Pole kwa kuumizwa kichwa madame hapa tunazungumzia Jiwe Mwamba mgumu The Inga stone og kabisa Mwamba uliochorwa mapicha ya kutisha zama za mawe za kwanza huko yaani kuna waja wanachora mifumo ya Sayari na hawakua naYanii cha kabisa nivoona title jiwe mwamba tu nkajua niyeyeeee haaa nafika kusoma content sasa 🤠🤠!
Cc Smart911
Hatari na nusu mkuu kuna michoro Mingi tata kama michoro ya astronaut ya wamaya na Aztec yaani hawa jamaa walienda space muda sana!Dah inafikirisha sana hiyo michoro
Unataka kuniambia hii michoro ni toka kipindi hiko cha hao anunaki ?Hatari na nusu mkuu kuna michoro Mingi tata kama michoro ya astronaut ya wamaya na Aztec yaani hawa jamaa walienda space muda sana!
Yap kitambo ipo kule Mexico na Peru kwenye Mapyramids na Matemple yao, ukienda kama temple of the sun,cholula,chichen itza,machupichu Peru utaikuta hiyo michoro mkuu!Unataka kuniambia hii michoro ni toka kipindi hiko cha hao anunaki ?
Eeh najifunza zaidi hapaYap kitambo ipo kule Mexico na Peru kwenye Mapyramids na Matemple yao, ukienda kama temple of the sun,cholula,chichen itza,machupichu Peru utaikuta hiyo michoro mkuu!
Hawa Annunak walijenga Matemple mengi sana angalia hii Kailasa temple India huko imechongwa kwenye single rock yaani huu Mwamba ulivyonakshiwa hii tech hapana hawa walitumia mionzi ya laser aisee very high advanced tech!Unataka kuniambia hii michoro ni toka kipindi hiko cha hao anunaki ?
Eeh hapa lzm uwakubaliHawa Annunak walijenga Matemple mengi sana angalia hii Kailasa temple India huko imechongwa kwenye single rock yaani huu Mwamba ulivyonakshiwa hii tech hapana hawa walitumia mionzi ya laser aisee very high advanced tech!
Nimekua nikisoma sana haya mabandiki unayowekaga ili nipate mwanga japo kdgHawa Annunak walijenga Matemple mengi sana angalia hii Kailasa temple India huko imechongwa kwenye single rock yaani huu Mwamba ulivyonakshiwa hii tech hapana hawa walitumia mionzi ya laser aisee very high advanced tech!