Huenda Crown lina mashine kubwa kuliko hiyo mark X
Crown ipi mkuu,
....Sema yote husije huku tuliko (brevis). Chuma inakula 4km per liter kama naendesha vx na haliuziki bora mark x
Note: brevis 2500i
Hizi gari nzuri sana ila kwa sasa nimeweka kambi kwenye Grande Mark II (gx110)
haijawahi kuniangusha kwenye ulaji nwa mafuta
ofcoz 110 kwenye mafuta safi sana... ila si unajua mambo ya teknolojia na fashion... mi nilikua mwanachama sana wa 1G......
1G. Highway inaenda mpk 18km/Lofcoz 110 kwenye mafuta safi sana... ila si unajua mambo ya teknolojia na fashion... mi nilikua mwanachama sana wa 1G......
Mkuu hapa sijaamini kabisa1G. Highway inaenda mpk 18km/L
1G. Highway inaenda mpk 18km/L
Mkuu chart hio hapoMkuu hapa sijaamini kabisa
Achana na hizo chati mkuu, nitaamini ukisema ya kwako huwa inakupa consumption hiyoMkuu chart hio hapo
Urban 14.6L /100km = 6.8km/L
Extra Urban 5.2L/100km = 19km/L
Note: 1G kavu mkuu.View attachment 1212549
Ya kwangu mkuu nikiweka full tank inanifikisha singida from dar.. singida nikijaza tena nafika bukoba na yanabakii ya kuanziaAchana na hizo chati mkuu, nitaamini ukisema ya kwako huwa inakupa consumption hiyo
Gari gani hii mkuu? Dar-Sing ni 690km (Ubungo bus terminal hadi Singida bus terminal). Kama gari ina tanki la lita 50, unapata 13km/l.Ya kwangu mkuu nikiweka full tank inanifikisha singida from dar.. singida nikijaza tena nafika bukoba na yanabakii ya kuanzia