Ingawa Mark X na Crown zinatumia engine moja, Mark X inatumia mafuta vizuri zaidi

Ingawa Mark X na Crown zinatumia engine moja, Mark X inatumia mafuta vizuri zaidi

Nissan maximo and nussan altima nakyacha unaenda kwanza kama km 1 ivi
 
Nimefunga Engine 1G kwenye Nissan Fuga aisee chombo inatambaa balaa. Ulaji siwazi naweka full tenki 85,000 Tshs. Nasahau
We ni muongo sana, full tank ya fuga unaweka 85000?? Yaan una maanisha full tank ni lita 40??? Aisee humu kuna watu waongo sana
 
Wala hata si la kizamani ni la kisasa kabisaa!
Na si kweli kwamba mark x ilianza kuonekana bongo mwaka 2005 labda useme ilianza kutengenezwa mwaka huo!
Na pia unapaswa ujue mark x ni successor wa brevis combined na verosa ndio kikazaliwa kitu kinaitwa mark x
mark II grande boss ndio predecessor wa mark x
 
Back
Top Bottom