Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 116
- 189
Mark ii GX kiongozo full lita 70.Gari gani hii mkuu? Dar-Sing ni 690km (Ubungo bus terminal hadi Singida bus terminal). Kama gari ina tanki la lita 50, unapata 13km/l.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mark ii GX kiongozo full lita 70.Gari gani hii mkuu? Dar-Sing ni 690km (Ubungo bus terminal hadi Singida bus terminal). Kama gari ina tanki la lita 50, unapata 13km/l.
gari ya 2006 kwako ni ya kizamani? Bila shaka unatembelea harrier bas ya 2014 zile za milioni 90Hio Mark X ukibonyeza hapo kwenye Trip inapoonesha 28 degrees pana badilika na panaanza kuonesha average fuel consumption i.e 9km/l au 10km ila katika mfano wako hujaonesha kama hio Crown umesafiri nayo au la...ila Mark X kwa kweli ni kama vile ya kizamani sana..
Nimemaanisha ya kizamani kwa maana model jinsi ilivyo maana Mark X zilianza kuja kuonekana Bongo kuanzia 2005, kwaio ile fashion ilikaa sana yani mfano mtu anunue verossa 2019 au 2020 linaloonekana lipo modern hata kwa muonekano ni walau Crown Athlete GRS 180 ambalo nalo lilianza kutengenezwa tangu 2004gari ya 2006 kwako ni ya kizamani? Bila shaka unatembelea harrier bas ya 2014 zile za milioni 90
Mwaka huu mwanzoni Mark X walitangeneza Mark X Sport car inayokuwa na mfumo wa manual gear box na engine hizi za GR series.Mark X walau upate facelift ya 2011 ile iko mzuka, ila sijapenda dashboard walivyoifanya kuwa kama ya premio.
Ile facelifted yake inaifanya ionekane ni machine ya kazi..kuna mark x mbili hua zinapaki sana kariakoo kwenye parking nyuma ya stand ya mwendo lazi gerezani zile ni za 2012+ aisee zipo makini hatari...Mark X walau upate facelift ya 2011 ile iko mzuka, ila sijapenda dashboard walivyoifanya kuwa kama ya premio.
Full tank Ni Lita ngapi?Ya kwangu mkuu nikiweka full tank inanifikisha singida from dar.. singida nikijaza tena nafika bukoba na yanabakii ya kuanzia
Gari ya ukweli sana ile Mark X.Ile facelifted yake inaifanya ionekane ni machine ya kazi..kuna mark x mbili hua zinapaki sana kariakoo kwenye parking nyuma ya stand ya mwendo lazi gerezani zile ni za 2012+ aisee zipo makini hatari...
Mkuu altezza unaiongelea vipi?Nimemaanisha ya kizamani kwa maana model jinsi ilivyo maana Mark X zilianza kuja kuonekana Bongo kuanzia 2005, kwaio ile fashion ilikaa sana yani mfano mtu anunue verossa 2019 au 2020 linaloonekana lipo modern hata kwa muonekano ni walau Crown Athlete GRS 180 ambalo nalo lilianza kutengenezwa tangu 2004
Nimefunga Engine 1G kwenye Nissan Fuga aisee chombo inatambaa balaa. Ulaji siwazi naweka full tenki 85,000 Tshs. NasahauHizi gari nzuri sana ila kwa sasa nimeweka kambi kwenye Grande Mark II (gx110)
haijawahi kuniangusha kwenye ulaji nwa mafuta
hahahahaaaaa nyie jamaa ndo mnawaingiza chaka vijana, wanawaza unasukuma cc2950 kumbe cc1980Nimefunga Engine 1G kwenye Nissan Fuga aisee chombo inatambaa balaa. Ulaji siwazi naweka full tenki 85,000 Tshs. Nasahau
Nimefunga Engine 1G kwenye Nissan Fuga aisee chombo inatambaa balaa. Ulaji siwazi naweka full tenki 85,000 Tshs. Nasahau
Altezza ipo fresh tu mkuu ingawa muendelezo wake unaitwa Lexus IS250 au IS300 zipo fresh..kwa vijana..Mkuu altezza unaiongelea vipi?
Vipi ulibadilisha na gear box...?Nimefunga Engine 1G kwenye Nissan Fuga aisee chombo inatambaa balaa. Ulaji siwazi naweka full tenki 85,000 Tshs. Nasahau
Kuna jamaa anafanya mchakato aimiliki hii ndinga,vijana wanadai ishapitwa na wakati km kina gx 100 na brevisAltezza ipo fresh tu mkuu ingawa muendelezo wake unaitwa Lexus IS250 au IS300 zipo fresh..kwa vijana..
Anatakiwa ajue tu kuja kuliuza litauzika kwa bei ndogo kuanzia 6m-8mKuna jamaa anafanya mchakato aimiliki hii ndinga,vijana wanadai ishapitwa na wakati km kina gx 100 na brevis
85000 full tank? Hiyo fuga tank zinajaa lita ngapi?Nimefunga Engine 1G kwenye Nissan Fuga aisee chombo inatambaa balaa. Ulaji siwazi naweka full tenki 85,000 Tshs. Nasahau