Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Bujibuji na Tundu Lissu Hadi ikulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi aliyo tumwa na ccm inaweza kuigarimu cha dema kwa kuungana na membeMembe mwenzake ameshaonyesha dalili za kumuunga mkono Lissu ila yeye kakomaa.
Hii sio soka ambayo umapaswa kukomaa hata kama bao moja unalotafuta katika mechi ya fainali kwenye dakika za majeruhi , haliwezi badili matokeo pale mpinzani wako anapokuwa na anaongoza kwa magoli mengi.
Kujitoa ni tofauti na kuzuia watu kugombea ili mtu fulani apite kimezengwe.Kumbe mnapenda mambo ya ccm ya fomu moja ya kugombea eeeh
Tuwe makini na maneno yetu tusije jikuta tunasahau tulicho sema jana
Kuingia kwenye ulingo ni ushujaa kujitoa ni kushindwa kabla ya pambano
Hapo neno demokrasia itumike kama ilivyo kwa jina la chama
Membe mwenzake ameshaonyesha dalili za kumuunga mkono Lissu ila yeye kakomaa.
Hii sio soka ambayo umapaswa kukomaa hata kama bao moja unalotafuta katika mechi ya fainali kwenye dakika za majeruhi , haliwezi badili matokeo pale mpinzani wako anapokuwa na anaongoza kwa magoli mengi.
Sasa mkuu ikitokea Nyalandu akashinda itakuaje?Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.
Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.
Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.
Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.
Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Tena afadhali mara elfu Mbowe aliendelea kuwa m/kiti . Kwa Mwambe sijui chama kingeuzwa mazima huko Lumumba na mwenyekiti (Mwambe).Hujui kuwa Mbowe aligombea na Mwambe???
Jamaa ni kenge sio? I like itKwenye msafara wa mamba,hata kenge wamo!
Ingelikuwa ni kwenye nchi za wenzetu, CCM isingetumia muda na rasilimali nyingine nyingi kumhujumu Mwenyekiti wa CHADEMA aliyeko madarakani kwa mujibu wa katiba.Ingelikuwa ninchi za Wenzetu
Mwenyekiti wa Kudumu Chadema Asingeweza Kuzuia wengine Kugombea kiti hicho na kuwa yeye miaka nenda Rudi
Utakuwa unakunwa ww sio bure ..Asimame Nyalandu,Lissu au mgombea yoyote sisi tunasema kipigo kipo pale pale safari hatutaki wapinzani wapate hata Jimbo moja la uchaguzi.
Yaani tutawatembezea kipigo cha pakashume yaani turuhusu mapusi kwenda kunajisi Ikulu kweli ????hilo jambo haliwezekani hata kidogo
Mkuu neno demkrasia inapaswa kutekelezwa kwa kiwango cha juu ili kuionyesha dunia chama kinautofaut na vyama vingneKujitoa ni tofauti na kuzuia watu kugombea ili mtu fulani apite kimezengwe.
Alifukuzwa ubunge!Kapotezaje sifa?
Je akipita mwingne itakuwaje?Kwa kifupi sana ni kwamba Nyalandu alichkua form kimkakati zaidi (km backup tu) hasa iwapo lolote lingetokea kwa Tundu Lissu....
Kwa sasa wanatimiza tu mchakato wa kidemokrasia lkn Rais ni Lissu haina ubishi
Kumlazimisha mtu ajitoe kuna tofauti gani na kumzuia mtu asingombee? Nini tofauti ya Chadema na CCM?Kujitoa ni tofauti na kuzuia watu kugombea ili mtu fulani apite kimezengwe.
Mkuu hii ya kufukuzwa ubunge inamuondolea sifa ya kugombea?, Kuna sheria inasema hivyo!?Alifukuzwa ubunge!
Mwambe aliishaandaa safu yake ya uongozi iliyosheheni mamluki watupu, ambao kazi yao ya kwanza ingekuwa kuwafukuza kutoka CHADEMA, wale wote wenye msimamo imara wa kupambana CCM, kama alivyofanya Lipumba.Tena afadhali mara elfu Mbowe aliendelea kuwa m/kiti . Kwa Mwambe sijui chama kingeuzwa mazima huko Lumumba na mwenyekiti (Mwambe).
Ingekuwa nchi za wenzetu chama kisingechapisha fomu moja tu ya urais na wengine kunyimwa nafasi ya kugombea wakati katiba ya chama inaruhusu watu kugombea.Ingelikuwa ninchi za Wenzetu
Mwenyekiti wa Kudumu Chadema Asingeweza Kuzuia wengine Kugombea kiti hicho na kuwa yeye miaka nenda Rudi