Uchaguzi 2020 Ingekuwa katika Nchi za wenzetu, Nyalandu na wenzake wangejitoa na kumuachia Lissu

kazi aliyo tumwa na ccm inaweza kuigarimu cha dema kwa kuungana na membe

Bora cdm wakasimama kama walivyo maana tayar jamii ina imani nao kuliko kuungana na watu ambao kwa jicho la tatu wana timiza walicho tumwa
 
Kujitoa ni tofauti na kuzuia watu kugombea ili mtu fulani apite kimezengwe.
 
Unaogopa nini kusubiri mechi iishe?
 
Asimame Nyalandu,Lissu au mgombea yoyote sisi tunasema kipigo kipo pale pale safari hatutaki wapinzani wapate hata Jimbo moja la uchaguzi.

Yaani tutawatembezea kipigo cha pakashume yaani turuhusu mapusi kwenda kunajisi Ikulu kweli ????hilo jambo haliwezekani hata kidogo
 
Sasa mkuu ikitokea Nyalandu akashinda itakuaje?
 
Ingelikuwa ninchi za Wenzetu
Mwenyekiti wa Kudumu Chadema Asingeweza Kuzuia wengine Kugombea kiti hicho na kuwa yeye miaka nenda Rudi
Ingelikuwa ni kwenye nchi za wenzetu, CCM isingetumia muda na rasilimali nyingine nyingi kumhujumu Mwenyekiti wa CHADEMA aliyeko madarakani kwa mujibu wa katiba.
 
Utakuwa unakunwa ww sio bure ..
 
Kwa kifupi sana ni kwamba Nyalandu alichkua form kimkakati zaidi (km backup tu) hasa iwapo lolote lingetokea kwa Tundu Lissu....

Kwa sasa wanatimiza tu mchakato wa kidemokrasia lkn Rais ni Lissu haina ubishi
 
Kujitoa ni tofauti na kuzuia watu kugombea ili mtu fulani apite kimezengwe.
Mkuu neno demkrasia inapaswa kutekelezwa kwa kiwango cha juu ili kuionyesha dunia chama kinautofaut na vyama vingne


Ukisha dhubutu hupaswi kurud nyuma kwa kigezo cha kusema fulan atanishinda

Ukishinda je
 
Kwa kifupi sana ni kwamba Nyalandu alichkua form kimkakati zaidi (km backup tu) hasa iwapo lolote lingetokea kwa Tundu Lissu....

Kwa sasa wanatimiza tu mchakato wa kidemokrasia lkn Rais ni Lissu haina ubishi
Je akipita mwingne itakuwaje?
 
Kwanini unaogopa taratibu zisifuatwe? wacha mambo ya ajabu, muhimu kura zipigwe mshindi apatikane.
 
Tena afadhali mara elfu Mbowe aliendelea kuwa m/kiti . Kwa Mwambe sijui chama kingeuzwa mazima huko Lumumba na mwenyekiti (Mwambe).
Mwambe aliishaandaa safu yake ya uongozi iliyosheheni mamluki watupu, ambao kazi yao ya kwanza ingekuwa kuwafukuza kutoka CHADEMA, wale wote wenye msimamo imara wa kupambana CCM, kama alivyofanya Lipumba.
Sasa hivi huko aliko kama mamluki wengine kawa (kama) muhogo mchungu, Binadamu hawauli, hata ngiri na nguruwe pori pia hawautaki.
 
Sikubaliani na mtoa mada, namkubali lissu lakini sikubaliani na lissu kupita Vila kupingwa, jambo LA msingi haki itendeke.watu wapige kura kwa haki, kura zihesabiwe wazi atakayeshinda aungwe mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…