Uchaguzi 2020 Ingekuwa katika Nchi za wenzetu, Nyalandu na wenzake wangejitoa na kumuachia Lissu

Uchaguzi 2020 Ingekuwa katika Nchi za wenzetu, Nyalandu na wenzake wangejitoa na kumuachia Lissu

Mbona mnalazimisha nyalandu ajitoe? Kwa nini msiseme Lisu ndo ajitoe? Kama mnahubiri demokrasia acheni waende mpaka mwisho, atakaeshinda ndio wajumbe watakuwa wamechagua.

Hii ya kusema mara nyalandu ana pesa mara Lisu ni maarufu ni kutaguta kumnyima nyalandu haki yake huko chadema.
Yanapowakuta manaaza kuweweseka, acheni kila mtu apime upepo wake mwenyewe.
Ingekuwa nchi za wenzetu CDM na ACT wazalendo wangemsimamisha mgombea mmoja tu ambaye ni TL
 
Nakwambia Lisu kwa Magu anakanyagwa asbh kweupeee! Afadhari kidogo Member, yaani Lisu hapati hata asilimia 2 ya kura, take it from me!
Haahaa ukitaka kujua uzuri Wa lissu MPE jukwaa, lissu ana ushawishi.Jpm hats akishinda atashindia padogo sana.member na Jpm, member ataachwa mbali sana
 
What if anapitishwa harafu anawekewa mapingamizi na NEC wanamuondoa kwenye kinyang'anyiro? Maana mda huo hakutakuwa na fursa ya kum replace.Huoni itakuwa ni hasara kubwa mno? Kama akikatwa plan B ikoje?
Kwa nini mnawaza NEC kumuengua lissu? Wagombea wataenguliwa na umma kwenye sanduku LA kura.Nyie muda wote kuhisihisi, Mara ooh akikanyaga tu lissu atakamatwa, yako wapi?
 
Ewee muumba mbingu na nchi simama pamoja na wajumbe upande wa Nyarandu.
 
Haahaa ukitaka kujua uzuri Wa lissu MPE jukwaa, lissu ana ushawishi.Jpm hats akishinda atashindia padogo sana.member na Jpm, member ataachwa mbali sana
Hahah na wao wanajua hilo vzr,si unaona CCM wameshaanza kusema ooh kampeni zitakazoruhusiwa ni kampeni safi tu zisizo na kejeli,zisizokua zinakejeli miradi ya serikali hahah.

Wanajua Lussu akipanda jukwaani kuna mtu pressure itampanda kwa makombora yatakayoshushwa hapo jukwaani.
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Dah umeandika upumbafu ambao hata mwanao anaweza kusema wewe sio baba yake.

Unajua maana ya demokrasia, unapiga debe nchi iwe ya demokrasia alafu unapinga demokrasia
 
Hahah na wao wanajua hilo vzr,si unaona CCM wameshaanza kusema ooh kampeni zitakazoruhusiwa ni kampeni safi tu zisizo na kejeli,zisizokua zinakejeli miradi ya serikali hahah.

Wanajua Lussu akipanda jukwaani kuna mtu pressure itampanda kwa makombora yatakayoshushwa hapo jukwaani.
Hahah na wao wanajua hilo vzr,si unaona CCM wameshaanza kusema ooh kampeni zitakazoruhusiwa ni kampeni safi tu zisizo na kejeli,zisizokua zinakejeli miradi ya serikali hahah.

Wanajua Lussu akipanda jukwaani kuna mtu pressure itampanda kwa makombora yatakayoshushwa hapo jukwaani.
Haahaa ombea waweke mdahalo Wa wagombea urais kiswahili na kiingereza, utamjua lissu
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Chadema wajinga bado hawajui nini wanataka.
 
Kama lissu ana mhofia nyalandu kiasi hiki, je atamuweza kweli magufuli?. Kuna muda mnamkuza sana lissu kumbe ukweli munaujua.
 
Haahaa ombea waweke mdahalo Wa wagombea urais kiswahili na kiingereza, utamjua lissu
Hahah aaarh hapo ndipo umeua mkuu,watakwambia mdahalo hauleti maendeleo.

Ila waliompiga Lissu risasi za miguu walipoteza muda wao tu,So Long Ubongo wa Lissu haukuguswa na risasi basi kazi wanayo kwa saana tu.
 
Hivi unaelewa maana ya kujitoa?Kujitoa unajitoa law hiari yako na ni kawaida kabisa na.sio kwa kushinikizwa.

Watu wagumu kue!ewa!
Kushinikizwa kujitoa ni sasa na kutolewa. Na mada kama hii ni shinikizo tosha.
 
Lisu kapoteza sifa so NEC wanamsubiri kwa hamu wamkate bila hata pingamizi.

Chadema tuleteeni Dr Rosemary ........wanawake ni jeshi kubwa!
Aliyezaliwa nje ya nchi kawa raisi wa JMT..kweli Bongo shamba la bibi
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Nyalandu awe mgombea mwenza wa Lissu
 
Membe mwenzake ameshaonyesha dalili za kumuunga mkono Lissu ila yeye kakomaa.

Hii sio soka ambayo umapaswa kukomaa hata kama bao moja unalotafuta katika mechi ya fainali kwenye dakika za majeruhi , haliwezi badili matokeo pale mpinzani wako anapokuwa na anaongoza kwa magoli mengi.
Acheni demokrasia ichukue mkondo
 
Hivi Nyalandu anajitoa vipi wakati yeye ndiye aliyeongoza polls zilizofanywa na Top cream ya CHADEMA..siamini ktk kujitoa katikati ya kinyanganyiro fair kabisa but kama ingetakiwa wakujitoa sidhani kama Nyalandu anaqualify Kwa evidence kutoka kamati kuu.
 
Back
Top Bottom