Ingekuwa Kenya kingeumana !! Sisi hatuna upinzani upo TU WA mitandaoni!

Ingekuwa Kenya kingeumana !! Sisi hatuna upinzani upo TU WA mitandaoni!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ingekuwa Kenya pasingekalika saa hii !! Ccm itatawala miaka 1000 mpaka kizazi Cha WAOGA kifutiliwe mbali ,wenzetu wamepiga hatua kubwa sana kisiasa ...sisi hata mlio wa gitaa tunakimbia hovyo kama kuku wa kisasa ! Ingekuwa Kenya muda huu raila angekuwa anaelekea ikulu na Mitaa yote imefungwa ..Ingekuwa Kenya kalonzo musyoka na Martha kalua wasingekaa kimya viongozi wakuu wa upinzani wakidhihakiwa !! Ingekuwa Kenya hiyo kitu isingeenda !!mpita njia mm
 
Back
Top Bottom