njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
jikite kwenye hojaWewe na kina manara wote ni CHAWA
Hoja ni nini hapa?jikite kwenye hoja
kilimo cha matikitiHoja ni nini hapa?
Siyo hiyo tu hata yule jamaa aliyempiga Dada yao alilawitiwa vibaya mnooGSM ni mafia ,hukumbuki enzi za utawala wa kikwete alikuwa na skendo ya kumwagia tindikali ndugu yake , waandishi wa habari wanamwogopa anaweza kuwapoteza jumla
We boyaa sana unajua nii Mara ngapi mambo binafsi ya mo dewji yanakula dakika za vipindi feki vya redio kumjadili na hadii viongozi wa simba hupigiwa Simu wajadili dewji kucheza mziki tiktok?Jamaa kweli punguani Sasa mambo ya viwanja yachambuliwe na wachambuzi wa soka uo si ndio ukanjanjanja wenyewe.
Mchambuzi si anatakiwa ajue kiini Cha mgogoro, Sheria za ardhi na umiliki wake n.k Sasa mambo hayo yanausiana vipi na mpira wa miguu!!
Usitake watu wakutukane kwa kujaza ujinga humu. Umetumwa na Makonda ubadilishe hii kesi iende kwenye ushabiki wa soka ukidhani utapata nafuu?Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana ....
Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye ana kesi ya kiwanja na Daud Bashite sijui ingekuwaje huko Ukanjanjani, redio zingewaka moto kipindi cha nusu saa kingetumika kumnanga Mo Dewji simu zingepigwa hadi kwa msemaji wa simba afafanue kwa nini kuna kesi
Lakini kwa sababu ni watumwa wa bahasha za khaki acha wapamabane na hali yao wasizidishe tu miteremko sababu kuna kuinamishwa kama yule mmoja wao aliye na kiherehere kama mwajuma ndala ndefu
Mtu anakuwa mpumbavu kutetea watu waliokuwa wanatumia madaraka ya serikali kama Mali yao binafsi. Kwa mshahara gani Makonda awe na Mali ya zaidi ya bilioni 5?Hivi inakuaje ushabiki wa mpira unawajaza hasira kwenye vifua venu namna hii 🤣🤣🤣
Kuna hoja hapo?jikite kwenye hoja
Kukuelewa wew ni kazi sana, anywaymkuu wewe ni me au ke?Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana ....
Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye ana kesi ya kiwanja na Daud Bashite sijui ingekuwaje huko Ukanjanjani, redio zingewaka moto kipindi cha nusu saa kingetumika kumnanga Mo Dewji simu zingepigwa hadi kwa msemaji wa simba afafanue kwa nini kuna kesi
Lakini kwa sababu ni watumwa wa bahasha za khaki acha wapamabane na hali yao wasizidishe tu miteremko sababu kuna kuinamishwa kama yule mmoja wao aliye na kiherehere kama mwajuma ndala ndefu
We jamaa kumbe wakati mwingine huwa uko vizuri upstairs!Jamaa kweli punguani Sasa mambo ya viwanja yachambuliwe na wachambuzi wa soka uo si ndio ukanjanjanja wenyewe.
Mchambuzi si anatakiwa ajue kiini Cha mgogoro, Sheria za ardhi na umiliki wake n.k Sasa mambo hayo yanausiana vipi na mpira wa miguu!!