Ingekuwa Mo Dewji kadhulumu kiwanja wachambuzi makanjanja yangeshuka naye jumlajumla

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana ....

Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye ana kesi ya kiwanja na Daud Bashite sijui ingekuwaje huko Ukanjanjani, redio zingewaka moto kipindi cha nusu saa kingetumika kumnanga Mo Dewji simu zingepigwa hadi kwa msemaji wa simba afafanue kwa nini kuna kesi

Lakini kwa sababu ni watumwa wa bahasha za khaki acha wapamabane na hali yao wasizidishe tu miteremko sababu kuna kuinamishwa kama yule mmoja wao aliye na kiherehere kama mwajuma ndala ndefu
 
GSM ni mafia ,hukumbuki enzi za utawala wa kikwete alikuwa na skendo ya kumwagia tindikali ndugu yake , waandishi wa habari wanamwogopa anaweza kuwapoteza jumla
 
GSM ni mafia ,hukumbuki enzi za utawala wa kikwete alikuwa na skendo ya kumwagia tindikali ndugu yake , waandishi wa habari wanamwogopa anaweza kuwapoteza jumla
Siyo hiyo tu hata yule jamaa aliyempiga Dada yao alilawitiwa vibaya mnoo
 
Jamaa kweli punguani Sasa mambo ya viwanja yachambuliwe na wachambuzi wa soka uo si ndio ukanjanjanja wenyewe.

Mchambuzi si anatakiwa ajue kiini Cha mgogoro, Sheria za ardhi na umiliki wake n.k Sasa mambo hayo yanausiana vipi na mpira wa miguu!!
 
Jamaa kweli punguani Sasa mambo ya viwanja yachambuliwe na wachambuzi wa soka uo si ndio ukanjanjanja wenyewe.

Mchambuzi si anatakiwa ajue kiini Cha mgogoro, Sheria za ardhi na umiliki wake n.k Sasa mambo hayo yanausiana vipi na mpira wa miguu!!
We boyaa sana unajua nii Mara ngapi mambo binafsi ya mo dewji yanakula dakika za vipindi feki vya redio kumjadili na hadii viongozi wa simba hupigiwa Simu wajadili dewji kucheza mziki tiktok?

Gsm kajitoa hadii uenyekiti waa kamati ya taifa stars baada ya simba kukataa kuvaa logo yake begani kwa beii ya million 3 kwa mwezi

Usijifanye hujui kwamba ingekuwa nii dewji pasingewaka moto huko ukanjanjani

Ingekuwa dewji kamdhulumu bashite ungeona hadii vijembe kwamba tajiri gani anadhulumu Mali ya billion 2

Safi sana Barbra yakazie hayo makanjanja hakuna kutoa bahasha za khaki ndo maana wengine michich mwiba sababu ya tamaa
 
Usitake watu wakutukane kwa kujaza ujinga humu. Umetumwa na Makonda ubadilishe hii kesi iende kwenye ushabiki wa soka ukidhani utapata nafuu?
 
MO ni bahili....
Inaonekana hatoi hela bila sababu, matajiri wa aina hii huwa hawapendwi sana na walalahoi.
Nadhani hii ni sababu.
 
Kukuelewa wew ni kazi sana, anywaymkuu wewe ni me au ke?
 
Jamaa kweli punguani Sasa mambo ya viwanja yachambuliwe na wachambuzi wa soka uo si ndio ukanjanjanja wenyewe.

Mchambuzi si anatakiwa ajue kiini Cha mgogoro, Sheria za ardhi na umiliki wake n.k Sasa mambo hayo yanausiana vipi na mpira wa miguu!!
We jamaa kumbe wakati mwingine huwa uko vizuri upstairs!
 
Kwanza ingekua tu kwenye ile ishu wa kutokuwapa hata shilingi mia. Vilabu vyotr vilivyovaa nenbo ya.. Kwenye jez alf baadae unajitoa. [emoji1787][emoji2] pangewaka moto kwa wachambuzi uchwara aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…