njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana ....
Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye ana kesi ya kiwanja na Daud Bashite sijui ingekuwaje huko Ukanjanjani, redio zingewaka moto kipindi cha nusu saa kingetumika kumnanga Mo Dewji simu zingepigwa hadi kwa msemaji wa simba afafanue kwa nini kuna kesi
Lakini kwa sababu ni watumwa wa bahasha za khaki acha wapamabane na hali yao wasizidishe tu miteremko sababu kuna kuinamishwa kama yule mmoja wao aliye na kiherehere kama mwajuma ndala ndefu
Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye ana kesi ya kiwanja na Daud Bashite sijui ingekuwaje huko Ukanjanjani, redio zingewaka moto kipindi cha nusu saa kingetumika kumnanga Mo Dewji simu zingepigwa hadi kwa msemaji wa simba afafanue kwa nini kuna kesi
Lakini kwa sababu ni watumwa wa bahasha za khaki acha wapamabane na hali yao wasizidishe tu miteremko sababu kuna kuinamishwa kama yule mmoja wao aliye na kiherehere kama mwajuma ndala ndefu