MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #41
...aaah, hiyo najua mamie. Hata mamsap akiniita 'Mbu!' najua mnhh... leo kunakuhesabu boriti wakati wa kutafuta majibu ya kina...!
nataka yale majina kwenye salooni na kitchen party ambazo 'hazijatulia', am sure baba nanihii, sio kabisa...kwani nishasikia mwiko kumremba remba mumeo huko... kuhofia kusaidiwa au kuchorwa unavosaidiwa!
All in all, mimi na kilongalonga changu, naye ana chake,...presha za nini?
dada Belinda,
Ukitaka ndoa yako idumu kwa muda mrefu usipende kufuatilia fuatilia mambo kuhusu mmeo mwache huru mwache free tu atafanya mpaka atachoka....
Khaa! fidel yaani achoke wakati kanizeekea?! No way,atatulia tu na utibaigana tunaoapply kwenye ndoa. Pia kumbuka mwanaume ukimwachia anakuona zuzu sometimez bora uwe na msimamo mara kadhaa ajue hapa inawezekana au hapa no! Halafu mwanamme ni rahisi kumjua anachofanya,huhitaji kutumia muda kumchunguza maana vidumu kazi kushindana umahiri na mama mwenye nyumba..
au Baba fulani...
Mmenikumbusha rafiki yangu mmoja alipigiwa simu akiwa na mke wake akawa hapokei simu, halafu kaweka mlio tofauti mke akimwambia pokea hataki anasema simjui ananisumbua mke mbabe kidogo akapoke amaana alihisi kitu iweje abadilishe mlio ili akipiga amjue ni nani , akaweka loud speaker akamwambia pokea , msichana kaanza nimeshafika stand muda mrefu hupokei simu na unajua mi huku ni mgeni njo unipokee, jamaaa akajibu sawa kwa maelekezo ya mke akamwambia kampokee umlete hapa nyumbani jamaa akaenda kumpokea mke nyuma kwenye tax akamwambia ukileta ujanja nimekwambia mpeleke nyumbani wakafik msichana akaanza huyu ni nani jamaa anababaika, sasa inaonyesha huyo msichana alihaidiwa mambo mengi kwa hiyo akawa anajiamini akaanza kumpaka shost wangu, mwanaume hakupendi unajipendekeza walikuwa hawajafunga ndoa bado, amesema atakuacha anioe,shost akamchukua yule mwanaume akamfungia kwenye chumba akaanza kupambana na yule msichana akamtandika na mkanda akamaliza akachomeka pasi akampasi mapaja, akamfungulia mwanaume akamwambia mmsaidie wewe si ulimwahidi akija utanifukuza, yule msicha na akasema dada nisamehe hutakaa unione tena wala unisike katika maisha yako, tangu siku hiyo mwanaume huyo ameshika adabu na ndoa kafunga sidhani kama ana vimeo tena ( lakini kufanya haya yahitaji koyo uwe na unajiamini na uwe strong)
Have you ever heard of ... "Baba Chanja wangu"?
Have you ever heard of ... "Baba Chanja wangu"?
...ama wanawake ni wasiri, yaani hamtaki kutaja majina mengine mnayotuita huko saloon na kwenye kitchen party? tajeni tu yale mabaya mabaya hasa mnapofundwa chungu hakikai kwenye figa moja, au ukikerwa nk...🙂
Kufanya mapenzi kwa bidii yakiambatana na sala shekhe.Shetani huwa hapendi kuona watu wanafurahia maisha ya ndoa. Hufanya kila liwezekanalo kuingiza chuki na mifarakano. Chakufanya ni kudumu katika sala, muuombe Mungu pamoja kwa kusali ama kuswali pamoja katika hali zote, kila siku iendayo kwa mola. Kusameheana na kuvumiliana ni silaha muhimu. Kupeana uhuru, ndoa isiwe ni kifungo. Na kufanya mapenzi kwa bidii na kujituma ni kiungo muhimu.
Masa
baba chanja is another version of nyumba ndogo siyo?
Mbu, jina mojawapo baya ni ZOBA.
...
...now you are talking, neeeeext!
Zoba ni maneno ya kwenye masebenee likimanisha mjinga... wanawake hawalitumii kivile.
Mume bwege je?
Nimekupata Belinda ila huoni sie tunawaita majina matamu tukiwa na wenzetu ila wao wanatuita ya ajabu?
Ila kwa wale wenye vidumu nasikia huwezakumwita mumewe hili bwege au **** sina hakika kama ni kweli
hili nalo ni la Bushoke mwanamziki wa kiume jamani!
unaweza ukaongea naee weee mpaka ukachoka ukaona hana muelekeo wa kubadilika kwa wakati huo sasa hapo ndipo unapompa nafac amalize atakayo! ni ngumu jamani! BJ unaweza kujua anachofanya na asijali kwa lolote kushtuka ni baadae atakapokuwa kazinduka na anataka kutulia, na akitulia kwa style hi na adabu/heshima ni mbele kuliko kitu kingine!