Ingekuwa wewe...


Mr. au Mzee.
 
dada Belinda,
Ukitaka ndoa yako idumu kwa muda mrefu usipende kufuatilia fuatilia mambo kuhusu mmeo mwache huru mwache free tu atafanya mpaka atachoka....


hapa umenigusa utamu kweli! yani ukikaa useme unamchunguza mwanaume hutakuwa na amani, wachaa afanye weee akichoka/akiona ametoka sana nje ya mstari na bila kuulizwa/kuhijiwa atajirudi mwenyewe na kwa adabu tele! mana umeuliza/umehoji mpaka umechoka! inilinisaidia sana hii njia looo na pia inahitaji moyo coz utaona cmu inaita wanaongea wajuavyo ile ki juu juu tu mwaname huyoo anatoka, naenda kumuona fulani! walaa huhoji ki undani, unamwacha aende arudi muda atakao! atacheza rafu sana but kuna cku atajirudi tu.
 



unaweza ukaongea naee weee mpaka ukachoka ukaona hana muelekeo wa kubadilika kwa wakati huo sasa hapo ndipo unapompa nafac amalize atakayo! ni ngumu jamani! BJ unaweza kujua anachofanya na asijali kwa lolote kushtuka ni baadae atakapokuwa kazinduka na anataka kutulia, na akitulia kwa style hi na adabu/heshima ni mbele kuliko kitu kingine!
 



kubwa kuliko! huyo binti hatataka maishani kwake kuckia mume/mchumba wa mtu.
 
...ama wanawake ni wasiri, yaani hamtaki kutaja majina mengine mnayotuita huko saloon na kwenye kitchen party? tajeni tu yale mabaya mabaya hasa mnapofundwa chungu hakikai kwenye figa moja, au ukikerwa nk...🙂

Mbu, jina mojawapo baya ni ZOBA.
Jina zuri ni MAHABUBA.
 
Kufanya mapenzi kwa bidii yakiambatana na sala shekhe.
Kwani tendo la ndoa ni ibada ati.

Mwasali pamoja kabla ya kuanza mchezo.Mnyezi MUNGU hufurahi sana pale mtu anapomwingilia mkewe shekhe.
 
Nimekupata Belinda ila huoni sie tunawaita majina matamu tukiwa na wenzetu ila wao wanatuita ya ajabu?

Ila kwa wale wenye vidumu nasikia huwezakumwita mumewe hili bwege au **** sina hakika kama ni kweli

In most cases sisi wanawake tupo romantic na caring kwenye mazingira ya kimahaba,mpaka mwanamke akuite jina lako halisi au ahifadhi kwenye simu ujue ameudhiwa/amekerwa sana. Tumezoea mume wangu,husband na mengine mazuri.

Sasa kwa hao wanawake wenye vidumu ambao wengi wao sababu ya waume zao kuwa na vidumu pia, lazima heshima inapungua kwa wanandoa. Kwahiyo mume ataitwa jina kama bwege,zoba,ngumbaro, lakini hawezi save kwenye simu ni wakati wa storiz na wanawake wenzake.
 

Mwisho wa siku hatuwezi kushindana na wanaume katika mambo yao. Pia kimya kinamuumiza mtu anaona hujali wala nini,kumbe wewe unaumia tu moyoni na vijimambo vyake. Japokuwa kuna matatizo yanayofanana fanana kati ya wanandoa mbalimbali ila utakayempata kuwa mwenzi wako wa maisha ndo utajua jinsi ya kuhandle matatizo kwenye ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…