denoo49 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 6,113 Reaction score 6,950 Oct 17, 2017 #2 Ningemuandikia ni majibu sahihi hila sio yanayostahili/yanayofaa
Naren JF-Expert Member Joined Apr 22, 2016 Posts 692 Reaction score 428 Oct 17, 2017 #3 Dah! Yani nimecheka na anavyoaminia pointi zake sasa duh! Mpaka anatilia mkazo kwenye Tax kwamba ni almaarufu kama "vitexi"!
Dah! Yani nimecheka na anavyoaminia pointi zake sasa duh! Mpaka anatilia mkazo kwenye Tax kwamba ni almaarufu kama "vitexi"!
Nimkimbilie nani JF-Expert Member Joined Nov 23, 2016 Posts 5,996 Reaction score 6,290 Oct 17, 2017 #5 Hahahahaa hapo alivyomaliza tu alienda kuhadisia wenzie jinsi alivyochana paper
mind ur bussness JF-Expert Member Joined Dec 15, 2016 Posts 1,050 Reaction score 741 Oct 17, 2017 #6 My Godness duh, hatar sana. Koromijeeeeeeee students, hao ni ma RC watarajiwa so wanahaki kuwa hivyo na kupata hivyo aisee
My Godness duh, hatar sana. Koromijeeeeeeee students, hao ni ma RC watarajiwa so wanahaki kuwa hivyo na kupata hivyo aisee
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Oct 17, 2017 #7 Walimu kazi mnayo
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Oct 18, 2017 #8 Kwa hali ilivyo ngumu kwa walimu kwenye mishahara, ningempa maksi 100% na kumpongeza.
N ndayilagije JF-Expert Member Joined Nov 7, 2016 Posts 7,491 Reaction score 8,304 Oct 18, 2017 #9 MK254 said: Kwa hali ilivyo ngumu kwa walimu kwenye mishahara, ningempa maksi 100% na kumpongeza. Click to expand... Akapambane na Necta huko mbele. Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
MK254 said: Kwa hali ilivyo ngumu kwa walimu kwenye mishahara, ningempa maksi 100% na kumpongeza. Click to expand... Akapambane na Necta huko mbele. Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
greater G JF-Expert Member Joined Nov 12, 2016 Posts 308 Reaction score 216 Oct 21, 2017 #12 Yupo sahihi,ukizingatia anajua kutiririka
josephantcharles Member Joined Aug 16, 2015 Posts 88 Reaction score 27 Oct 22, 2017 #13 Kuwa Mpole. Mwalimu yupo kwa ajili ya kusaidia wasio na uelewa kusudi waweze kuelewa. Ila bila juhudi binafsi hakuna kitu
Kuwa Mpole. Mwalimu yupo kwa ajili ya kusaidia wasio na uelewa kusudi waweze kuelewa. Ila bila juhudi binafsi hakuna kitu