Ingekuwa ww ndio msahihishaji wa huu mtihani ungefanyaje

Ingekuwa ww ndio msahihishaji wa huu mtihani ungefanyaje

mwamba c

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2017
Posts
690
Reaction score
2,362
d55e6b0f0de65b136fef5a8c6084ffd9.jpg
 
Ningemuandikia ni majibu sahihi hila sio yanayostahili/yanayofaa
 
Dah! Yani nimecheka na anavyoaminia pointi zake sasa duh! Mpaka anatilia mkazo kwenye Tax kwamba ni almaarufu kama "vitexi"!
 
Hahahahaa hapo alivyomaliza tu alienda kuhadisia wenzie jinsi alivyochana paper
 
My Godness duh, hatar sana.

Koromijeeeeeeee students, hao ni ma RC watarajiwa so wanahaki kuwa hivyo na kupata hivyo aisee
 
Kwa hali ilivyo ngumu kwa walimu kwenye mishahara, ningempa maksi 100% na kumpongeza.
 
Kuwa Mpole.
Mwalimu yupo kwa ajili ya kusaidia wasio na uelewa kusudi waweze kuelewa. Ila bila juhudi binafsi hakuna kitu
 
Back
Top Bottom