Saa kumi na moja
Member
- Nov 8, 2017
- 59
- 63
Ingekuwaje kama...
1. Binadamu akila chakula mara moja halitena mpaka mwisho wa maisha yake
2. Muda wote upo macho hamna usingizi
3. Jua wala umeme haupo duniani
4. Viumbe wote ni jinsia moja
5. Hakuna matajiri wala masikini
6. Binadamu hana tumbo la kuhifadhia chakula
7. Hakuna simu/mawasiliano
8. Binadamu na viumbe wengine hawana macho ya kutazama na kuona
9. Ukijiunga mara moja bando lolote la simu mfano dakika au intaneti kifurushi kinadumu milele
10. Hakuna Umri kutambua kiumbe fulani kimeishi duniani kwa muda gani
11...
Na wewe weka zako
1. Binadamu akila chakula mara moja halitena mpaka mwisho wa maisha yake
2. Muda wote upo macho hamna usingizi
3. Jua wala umeme haupo duniani
4. Viumbe wote ni jinsia moja
5. Hakuna matajiri wala masikini
6. Binadamu hana tumbo la kuhifadhia chakula
7. Hakuna simu/mawasiliano
8. Binadamu na viumbe wengine hawana macho ya kutazama na kuona
9. Ukijiunga mara moja bando lolote la simu mfano dakika au intaneti kifurushi kinadumu milele
10. Hakuna Umri kutambua kiumbe fulani kimeishi duniani kwa muda gani
11...
Na wewe weka zako