Ingekuwaje tungezijua siku zetu za kufa?

Ingekuwaje tungezijua siku zetu za kufa?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?

Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.

Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha hadi Iringa, kwenye mbio za magari zilizoandaliwa na kudhaminiwa na CMC automobile, ambazo zitaanzia uwanja wa Samora day 1 yaani kesho na day 2 Sao Hill, lakini alikuwa na ratiba nyingine ya kwenda huko pia.

Kifo hakika ni fumbo kubwa. Wapenda mbio za magari tumepata pigo kubwa sana
 
Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?

Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.

Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha hadi Iringa, lakini alikuwa na ratiba nyingine ya kwenda huko pia.

Kifo hakika ni fumbo kubwa. Wapenda mbio za magari tumepata pigo kubwa sana
Kifo hakizoeleki japo kipo
 
bora ibaki tu kuwa fumbo maana kuna wengine watafanya kufuru, watauza kila kitu waspend siku zilizobakia.
Ukitaka kujua ukweli juu ya kifo ni mbaya hebu jaribu kutenga angalau dakika 30 wakati wa usiku utafakari kuhusu kifo chako au cha mtu umpendae uone kama utazimaliza hizo dakika, ni huzuni kubwa mno though WE ALL GONNA DIE.

May his soul RIP forever, pole kwa kuondokewa na mpendwa wako.
 
Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?

Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.

Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha hadi Iringa, kwenye mbio za magari zilizoandaliwa na kudhaminiwa na CMC automobile, ambazo zitaanzia uwanja wa Samora day 1 yaani kesho na day 2 Sao Hill, lakini alikuwa na ratiba nyingine ya kwenda huko pia.

Kifo hakika ni fumbo kubwa. Wapenda mbio za magari tumepata pigo kubwa sana
Remmy Ongara aliimba kwamba kama angemjua 'Kifo' alipo angeenda kumhonga.
 
Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?

Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.

Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha hadi Iringa, kwenye mbio za magari zilizoandaliwa na kudhaminiwa na CMC automobile, ambazo zitaanzia uwanja wa Samora day 1 yaani kesho na day 2 Sao Hill, lakini alikuwa na ratiba nyingine ya kwenda huko pia.

Kifo hakika ni fumbo kubwa. Wapenda mbio za magari tumepata pigo kubwa sana
Kuna parapanda ingine kubwa yaja kabla ya Jumatatu
 
Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?

Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.

Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha hadi Iringa, kwenye mbio za magari zilizoandaliwa na kudhaminiwa na CMC automobile, ambazo zitaanzia uwanja wa Samora day 1 yaani kesho na day 2 Sao Hill, lakini alikuwa na ratiba nyingine ya kwenda huko pia.

Kifo hakika ni fumbo kubwa. Wapenda mbio za magari tumepata pigo kubwa sana
Na Bernard Membe amekwenda hivyo hivyo pia!
 
Back
Top Bottom