Ingekuwaje tungezijua siku zetu za kufa?

Ingekuwaje tungezijua siku zetu za kufa?

Kuna formula ukiijua hufi.

1. Kuwa mwema kwa kila jambo na tukio lolote.
2. Kuwa positive kwa kila jambo.

3. Ijue kweli ya Mungu hata kidogo tu, utakishinda kifo. Hapa ndio msingi. Tafuta mtu au watu wanaomjua Mungu wakufundishe umjue na ujue unabii wake hapa Duniani. ( Achana na hawa wachungaji, maaskofu, walimu au manabii hao hawawezi chochote ila wapo watu ni wachache wapole na wakarimu sana wanaweza kukusaidia).
 
Kuna formula ukiijua hufi.

1. Kuwa mwema kwa kila jambo na tukio lolote.
2. Kuwa positive kwa kila jambo.

3. Ijue kweli ya Mungu hata kidogo tu, utakishinda kifo. Hapa ndio msingi. Tafuta mtu au watu wanaomjua Mungu wakufundishe umjue na ujue unabii wake hapa Duniani. ( Achana na hawa wachungaji, maaskofu, walimu au manabii hao hawawezi chochote ila wapo watu ni wachache wapole na wakarimu sana wanaweza kukusaidia).
Kuna jamaa wako Mwananyamala, wanafundisha siri za ufalme wa mbinguni. Aisee wako vizuri sana
 
Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?

Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.

Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha hadi Iringa, kwenye mbio za magari zilizoandaliwa na kudhaminiwa na CMC automobile, ambazo zitaanzia uwanja wa Samora day 1 yaani kesho na day 2 Sao Hill, lakini alikuwa na ratiba nyingine ya kwenda huko pia.

Kifo hakika ni fumbo kubwa. Wapenda mbio za magari tumepata pigo kubwa sana
Huyo Rafiki yako Dunstan Charles kwa jina jengine ndio Camillius Membe? Maana kifo chake ndio kina trend town!!!
 
Back
Top Bottom