Ingieni kwenye page ya Ntibazonkiza kule Insta, anadai wanampigia simu kumrubuni

Mimi ni mwana Simba SC na siipendi Yanga SC hakuna asiyejua ila sijawahi kuwa Mshamba, Muongo na Mpumbavu kama hivi ulivyo.

Shame on You... !!!!!!
 
Punguza ujinga
 
Ntibanzokiza hawezi kuwa na Raha kucheza Geita Gold wakati amepishana na Taji dirisha dogo. Siwatetei Yanga lakini huwezi toka Yanga na kiwango ukafurahia kucheza GGF.
 
Wewe na Ntibanzonkiza ni wapumbavu Sana.Kwani Ntibanzonkiza ana nini? Kwani si alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu? Angekuwa muhimu angefukuzwa? Kama vichwa vyenu kazi yake ni kubeba nywele,basi tumieni masaburi kufikiri
 
Jf tumekuwa na vilaza namna hii jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…