Haitustuiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado anagongelea Makolo kwenye mshono [emoji23]
Sikuwahi kumsikia, lakini zile baraka zake kwa Bashite, BMT na figisu kwa MANJI ambazo ziliiumiza zaidi YANGA kuliko hata huyo MANJI mwenyewe ni ishara tosha kuwa hakuwa na mapenzi na YANGA.Ushawahi kumsikia akiiponda Yanga?
Manji alikuwa na matatizo naye binafsi hayahusiani na Yanga.Sikuwahi kumsikia, lakini zile baraka zake kwa Bashite, BMT na figisu kwa MANJI ambazo ziliiumiza zaidi YANGA kuliko hata huyo MANJI mwenyewe ni ishara tosha kuwa hakuwa na mapenzi na YANGA.
Mungu akikupa kilema hukupa na mwendo wake, ashukuriwe Mungu kwa kutupatia MWINYI ZAHERA ambae aligeuka kuwa kocha mfadhili, mlezi na mshauri wa timu.
Ile haikuwa timu ya kushika nafasi ya pili, ilikuwa ni ya kushuka daraja lakini cha ajabu ilikuwa inashinda pasipotegemewa kushinda.
Ni sawa kuua umati wa watu 200 kwa ajili ya kufanikisha kumlenga kumuua adui yako mmoja tu?Manji alikuwa na matatizo naye binafsi hayahusiani na Yanga.
Wenzio wote wameshtuka😂Haitustuiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe unaamini kweli CCM itapasuka?😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]