GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
'Injinia' Hersi Said acha kudhani kuwa Watanzania hawafatilii mambo ya Michezo kama hao wana Yanga SC wako ambao kila mara unapenda 'Kuwadanganya' na sijui umewapa 'Sumu' gani ambayo aliyekuwa 'Mfadhili' wako Kipenzi kabisa Yusuph Mehboob Manji hakuwapa.
Ulianza kuwaongopea wana Yanga SC kuhusu wale Wachezaji wenu wa Kikongo ukisema kuwa walikuwa ni Mali ya AS Vita na kwamba Umewanunua ila tunaojua 'Kufuatilia' mambo na 'Kuchimba' tukaenda mbele zaidi na Kugundua ya kwamba kuna Mmoja hapo hakuwa Mali kabisa ya AS Vita na mwingine aliachwa na kuwa 'Free Agent' na hata Yule Mama 'Boss' alikuambia hivyo.
Nikadhani utakuwa 'umekoma' na Kuacha 'Uwongo' wako ambapo tena muda si mrefu tu katika hali ya Kushangaza na Kusikitisha ukiwa Wasafi FM katika Kipindi chao cha Sports Arena umetoka Kuulizwa na Mtangazaji 'Mnafiki' na mwana Yanga SC mwenzio Yusuph Mkule kuwa Kocha wenu huyu mpya 'Myugoslavia' Zlatko Krmpotic anatokea Klabu gani umejibu kuwa anaokea Klabu ya Polokwane City ya Afrika Kusini wakati si kweli na kwamba 'alishafukuzwa' huko tangia tarehe 8 Novemba 2019 baada ya 'Kufungwa' Mechi tano mfululizo tokea 'Aajiriwe' tarehe 18 July 2019.
Nakutahadharisha mapema tu 'Injinia' Hersi Said nadhani huwajui vizuri wana Yanga SC ila Wewe endelea tu 'Kuwadanyanya' utawajua vyema.
Ulianza kuwaongopea wana Yanga SC kuhusu wale Wachezaji wenu wa Kikongo ukisema kuwa walikuwa ni Mali ya AS Vita na kwamba Umewanunua ila tunaojua 'Kufuatilia' mambo na 'Kuchimba' tukaenda mbele zaidi na Kugundua ya kwamba kuna Mmoja hapo hakuwa Mali kabisa ya AS Vita na mwingine aliachwa na kuwa 'Free Agent' na hata Yule Mama 'Boss' alikuambia hivyo.
Nikadhani utakuwa 'umekoma' na Kuacha 'Uwongo' wako ambapo tena muda si mrefu tu katika hali ya Kushangaza na Kusikitisha ukiwa Wasafi FM katika Kipindi chao cha Sports Arena umetoka Kuulizwa na Mtangazaji 'Mnafiki' na mwana Yanga SC mwenzio Yusuph Mkule kuwa Kocha wenu huyu mpya 'Myugoslavia' Zlatko Krmpotic anatokea Klabu gani umejibu kuwa anaokea Klabu ya Polokwane City ya Afrika Kusini wakati si kweli na kwamba 'alishafukuzwa' huko tangia tarehe 8 Novemba 2019 baada ya 'Kufungwa' Mechi tano mfululizo tokea 'Aajiriwe' tarehe 18 July 2019.
Nakutahadharisha mapema tu 'Injinia' Hersi Said nadhani huwajui vizuri wana Yanga SC ila Wewe endelea tu 'Kuwadanyanya' utawajua vyema.