'Injinia' Hersi Said wa Yanga SC na GSM yako ni lini utaacha 'Uwongo' wako na kupenda 'Kuwadanganya' mno wana Yanga?

'Injinia' Hersi Said wa Yanga SC na GSM yako ni lini utaacha 'Uwongo' wako na kupenda 'Kuwadanganya' mno wana Yanga?

Mukoko alikua na mkataba na as vita ila Tuisila ndio alikua as vita kwa mkopo na hata leo kasema hvyo kwnye interview! Kuhusu coach ulitaka aseme anatokea wapi? Hata kama alifukuzwa ila sio ndio alipotokea, mfano leo ukimchukua uchebe awe coach wako utosema ametokea simba kisa alifukuzwa muda? Na wakat hakuna timu nyingne aliyoenda? Au ultka aseme ametokea nyumban?
Sasa ww na yy nani muongo?
 
'Taahira' nadhani ni Yule aliyekuleta hapa duniani kupitia Leba.
@GENTAMYCINE

Hapa kimsingi my brother umekosea mno,ilikua haina sababu ya kuhusisha wazazi katika "inshu" Kama hii

Huenda labda utakua umeghafirika kutokana na jibu lake,sio mbaya ukamuomba mchizi apologize Kama ikikupendeza

Michezo ni furaha,afya na ajira pia..
 
Halafu anataka kuwalinganishanna Mo anaetambulika Forbes,au hajui sifa za kuwekwa kwenye hilo jarida ni pamoja nankuwa na clean rekodi kwenye biashara unazofanya.
Manyani hawajui kitu zaidi ya kuzomea na kuguna tu.
FB_IMG_1598022191549.jpg
 
Nyie mbumbumbu sc
Bichwa sc
Mikia sc
Mahirixi Sc
Kanjibay sc
Matopen sc
Inaonekana ingeneer Heris anawakosesha ucingiz!!! Tulieni hivyo hivyo msumar uingie

@@@ kwa hisani
Fundi Wa mpira
Kjsheti
Carlinhos

MANYANI FC 1.jpg


MANYANI FC
MAMBWA FC
VYURA FC
UTOPOLO FC
NDALA FC
GONGOWAZI FC
UNEDUCATED FC
WAMADIMBWINI FC
OMBAOMBA FC
MABAKULI FC
LIALIA FC
WAKULALAMIKA FC
WAKUDANGANYWA FC
MATIKITIMAJI FC
NJAA KALI FC
MIKATABA FAKE FC
WAKUFOJI FC
GSM FC
NJAAKALI FC
BWEKABWEKA FC
IGAIGA FC
 
Back
Top Bottom