'Injinia' Hersi Said wa Yanga SC na GSM yako ni lini utaacha 'Uwongo' wako na kupenda 'Kuwadanganya' mno wana Yanga?

Mukoko alikua na mkataba na as vita ila Tuisila ndio alikua as vita kwa mkopo na hata leo kasema hvyo kwnye interview! Kuhusu coach ulitaka aseme anatokea wapi? Hata kama alifukuzwa ila sio ndio alipotokea, mfano leo ukimchukua uchebe awe coach wako utosema ametokea simba kisa alifukuzwa muda? Na wakat hakuna timu nyingne aliyoenda? Au ultka aseme ametokea nyumban?
Sasa ww na yy nani muongo?
 
'Taahira' nadhani ni Yule aliyekuleta hapa duniani kupitia Leba.
@GENTAMYCINE

Hapa kimsingi my brother umekosea mno,ilikua haina sababu ya kuhusisha wazazi katika "inshu" Kama hii

Huenda labda utakua umeghafirika kutokana na jibu lake,sio mbaya ukamuomba mchizi apologize Kama ikikupendeza

Michezo ni furaha,afya na ajira pia..
 



MANYANI FC
MAMBWA FC
VYURA FC
UTOPOLO FC
NDALA FC
GONGOWAZI FC
UNEDUCATED FC
WAMADIMBWINI FC
OMBAOMBA FC
MABAKULI FC
LIALIA FC
WAKULALAMIKA FC
WAKUDANGANYWA FC
MATIKITIMAJI FC
NJAA KALI FC
MIKATABA FAKE FC
WAKUFOJI FC
GSM FC
NJAAKALI FC
BWEKABWEKA FC
IGAIGA FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…