Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
I salute you kinsmen.
Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi.
Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache zile tatu.
Matokeo yake akaletwa Ramovic ambaye hana uzoefu wowote kimataifa yaani alikuja yanga kutafuta experience.
Nyie wenyewe mnaona kabisa kama tungeendelea na Gamondi mwenye experience kubwa kimataifa hakika lile kundi tungeongoza mapema sana kwa kishindo.
Gamondi licha ya madhaifu yake yule mzee alikuwa anajua sana kuzicheza mechi strategically very accurately!
Reference
Game zote mbili na mamelodi sundown fc kama ingekuwa ndiyo said Ramovic basi mpaka leo tungekuwa tunaaibika kimataifa kwa kupewa kichapo kizito sana cha Mabao zaidi ya 5.
Ila mzee akasema no hold my beer, bila pacome, Aucho, Yao na bado yanga wakakiwasha mpaka huko huko bondeni bila mbeleko wa refa ambapo Yanga angepita nusu mapema tu.
Pia game na azam ambayo yanga walipoteza huku tukiwa nusu kumi tu ila azam waliomba mpira uishe mapema tu kwa moto waliokuwa wanapelekewa.
Turudi mwanzo:
Hersi sikuhizi amekuwa mtu wa kukurupuka sana sana. Alianza kuleta saini za kitapeli tapeli na bei rahisi sijui ili iweje. Konkoni, okrah,skudu, na pimbi wengine halafu hapo hapo kocha akifeli anatupiwa mzigo tena ..!
Naambiwa Hersi na makamu wake Araphat kwa muda kidogo haziivi sikuhizi. Araphat hakumtaka Gamondi na Hersi alitaka abaki kwahiyo mwisho makamu akamshinda nguvu BOSS wake!
Mbona mwanzo hersi alikuwa analeta vyuma sana m? Why sikuhizi analeta wachezaji urojo sana?
Wanaume wa ukweli
Fiston mayele
Djuma shaman
Yanick bangala
Aziz ki
Joyce lomalisa mutambala (marcelo)
Sasa hawa aliwapataje?
Abadilike maana sikuhizi amekuwa busy sana kuwatumikia waarabu huko ofisini kwake ACA. Anasahau huku klabu yake , anasahau sisi yanga ndiyo tulimpa platform hiyo aliyonayo
Bila yanga angebaki kuwa mfanyakazi na lapdog wa GSM tu ila yanga imemfanya awe alivyo leo asituchezee..! Gamondi alikubali kubaki hata kwa mshahara ule ambao Ramovic amekataa na kufata pesa za waarabu!
KINGINE.
Matumaini ya kuchukua kombe NBC yamezidi kuwa finyu sana hasa ukizingatia tayari kocha mpya kaja ina maana tunaanza upya tena kule kule kwa Ramovich kupewa muda akae sawa!
Kwanini simba tusiwapongeze mapema simba kwa kuchukua NBC mapema tu?
Wapo na consistency kubwa sana na wapo Well focused why wasichukue kombe?
Tulimfukuza kocha mwenye CV kubwa kimataifa na akatuonyesha kwa vitendo(Gamondi) ila tukaleta mwanafunzi aje kujifunza naye akatuonesha uanafunzi wake kimataifa(Ramovic) na hatimaye kasepa kafata pesa means hakuwa na mapenzi na yanga kabisa
Sasa tusitegemee makubwa msimu huu labda msimu ujao tena..
NYONGEZA.
Hawa wachezaji wafuatao waachwe kwani hawana mchango tena na uwezo umeshuka sana bila kuwachekea
Kennedy musonda(Guede arudishwe)
Guede alikuwa clinical finisher mzuri sana sana ni vile tu mpira wetu upo kihuni alikuja kati kati ya ligi dirisha dogo na akaanza direct kufunga! Wakati tangu ligi ianze hii musonda yupo yupo tu! Aaachwe passport kumchekea.
Aziz andambwile
Huyu amekuwa na msaada kidogo sana anaishia hospital tu kila siku
Anazidiwa hata kina sheikhan Ibrahim wanaonesha kitu wakipewa muda sheikhan ni kiungo profitable sana anacheza namba 8 na 10 kwa ufasaha sana
Mashuti ya yapo, nguvu miguuni zipo, kimo kizuri anacho, jicho la pasi analo apewe muda.
Its Pancho
Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi.
Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache zile tatu.
Matokeo yake akaletwa Ramovic ambaye hana uzoefu wowote kimataifa yaani alikuja yanga kutafuta experience.
Nyie wenyewe mnaona kabisa kama tungeendelea na Gamondi mwenye experience kubwa kimataifa hakika lile kundi tungeongoza mapema sana kwa kishindo.
Gamondi licha ya madhaifu yake yule mzee alikuwa anajua sana kuzicheza mechi strategically very accurately!
Reference
Game zote mbili na mamelodi sundown fc kama ingekuwa ndiyo said Ramovic basi mpaka leo tungekuwa tunaaibika kimataifa kwa kupewa kichapo kizito sana cha Mabao zaidi ya 5.
Ila mzee akasema no hold my beer, bila pacome, Aucho, Yao na bado yanga wakakiwasha mpaka huko huko bondeni bila mbeleko wa refa ambapo Yanga angepita nusu mapema tu.
Pia game na azam ambayo yanga walipoteza huku tukiwa nusu kumi tu ila azam waliomba mpira uishe mapema tu kwa moto waliokuwa wanapelekewa.
Turudi mwanzo:
Hersi sikuhizi amekuwa mtu wa kukurupuka sana sana. Alianza kuleta saini za kitapeli tapeli na bei rahisi sijui ili iweje. Konkoni, okrah,skudu, na pimbi wengine halafu hapo hapo kocha akifeli anatupiwa mzigo tena ..!
Naambiwa Hersi na makamu wake Araphat kwa muda kidogo haziivi sikuhizi. Araphat hakumtaka Gamondi na Hersi alitaka abaki kwahiyo mwisho makamu akamshinda nguvu BOSS wake!
Mbona mwanzo hersi alikuwa analeta vyuma sana m? Why sikuhizi analeta wachezaji urojo sana?
Wanaume wa ukweli
Fiston mayele
Djuma shaman
Yanick bangala
Aziz ki
Joyce lomalisa mutambala (marcelo)
Sasa hawa aliwapataje?
Abadilike maana sikuhizi amekuwa busy sana kuwatumikia waarabu huko ofisini kwake ACA. Anasahau huku klabu yake , anasahau sisi yanga ndiyo tulimpa platform hiyo aliyonayo
Bila yanga angebaki kuwa mfanyakazi na lapdog wa GSM tu ila yanga imemfanya awe alivyo leo asituchezee..! Gamondi alikubali kubaki hata kwa mshahara ule ambao Ramovic amekataa na kufata pesa za waarabu!
KINGINE.
Matumaini ya kuchukua kombe NBC yamezidi kuwa finyu sana hasa ukizingatia tayari kocha mpya kaja ina maana tunaanza upya tena kule kule kwa Ramovich kupewa muda akae sawa!
Kwanini simba tusiwapongeze mapema simba kwa kuchukua NBC mapema tu?
Wapo na consistency kubwa sana na wapo Well focused why wasichukue kombe?
Tulimfukuza kocha mwenye CV kubwa kimataifa na akatuonyesha kwa vitendo(Gamondi) ila tukaleta mwanafunzi aje kujifunza naye akatuonesha uanafunzi wake kimataifa(Ramovic) na hatimaye kasepa kafata pesa means hakuwa na mapenzi na yanga kabisa
Sasa tusitegemee makubwa msimu huu labda msimu ujao tena..
NYONGEZA.
Hawa wachezaji wafuatao waachwe kwani hawana mchango tena na uwezo umeshuka sana bila kuwachekea
Kennedy musonda(Guede arudishwe)
Guede alikuwa clinical finisher mzuri sana sana ni vile tu mpira wetu upo kihuni alikuja kati kati ya ligi dirisha dogo na akaanza direct kufunga! Wakati tangu ligi ianze hii musonda yupo yupo tu! Aaachwe passport kumchekea.
Aziz andambwile
Huyu amekuwa na msaada kidogo sana anaishia hospital tu kila siku
Anazidiwa hata kina sheikhan Ibrahim wanaonesha kitu wakipewa muda sheikhan ni kiungo profitable sana anacheza namba 8 na 10 kwa ufasaha sana
Mashuti ya yapo, nguvu miguuni zipo, kimo kizuri anacho, jicho la pasi analo apewe muda.
Its Pancho