Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.

Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi.

Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache zile tatu.

Matokeo yake akaletwa Ramovic ambaye hana uzoefu wowote kimataifa yaani alikuja yanga kutafuta experience.

Nyie wenyewe mnaona kabisa kama tungeendelea na Gamondi mwenye experience kubwa kimataifa hakika lile kundi tungeongoza mapema sana kwa kishindo.

Gamondi licha ya madhaifu yake yule mzee alikuwa anajua sana kuzicheza mechi strategically very accurately!

Reference
Game zote mbili na mamelodi sundown fc kama ingekuwa ndiyo said Ramovic basi mpaka leo tungekuwa tunaaibika kimataifa kwa kupewa kichapo kizito sana cha Mabao zaidi ya 5.

Ila mzee akasema no hold my beer, bila pacome, Aucho, Yao na bado yanga wakakiwasha mpaka huko huko bondeni bila mbeleko wa refa ambapo Yanga angepita nusu mapema tu.

Pia game na azam ambayo yanga walipoteza huku tukiwa nusu kumi tu ila azam waliomba mpira uishe mapema tu kwa moto waliokuwa wanapelekewa.

Turudi mwanzo:
Hersi sikuhizi amekuwa mtu wa kukurupuka sana sana. Alianza kuleta saini za kitapeli tapeli na bei rahisi sijui ili iweje. Konkoni, okrah,skudu, na pimbi wengine halafu hapo hapo kocha akifeli anatupiwa mzigo tena ..!

Naambiwa Hersi na makamu wake Araphat kwa muda kidogo haziivi sikuhizi. Araphat hakumtaka Gamondi na Hersi alitaka abaki kwahiyo mwisho makamu akamshinda nguvu BOSS wake!

Mbona mwanzo hersi alikuwa analeta vyuma sana m? Why sikuhizi analeta wachezaji urojo sana?

Wanaume wa ukweli
Fiston mayele
Djuma shaman
Yanick bangala
Aziz ki
Joyce lomalisa mutambala (marcelo)

Sasa hawa aliwapataje?
Abadilike maana sikuhizi amekuwa busy sana kuwatumikia waarabu huko ofisini kwake ACA. Anasahau huku klabu yake , anasahau sisi yanga ndiyo tulimpa platform hiyo aliyonayo

Bila yanga angebaki kuwa mfanyakazi na lapdog wa GSM tu ila yanga imemfanya awe alivyo leo asituchezee..! Gamondi alikubali kubaki hata kwa mshahara ule ambao Ramovic amekataa na kufata pesa za waarabu!

KINGINE.
Matumaini ya kuchukua kombe NBC yamezidi kuwa finyu sana hasa ukizingatia tayari kocha mpya kaja ina maana tunaanza upya tena kule kule kwa Ramovich kupewa muda akae sawa!

Kwanini simba tusiwapongeze mapema simba kwa kuchukua NBC mapema tu?
Wapo na consistency kubwa sana na wapo Well focused why wasichukue kombe?

Tulimfukuza kocha mwenye CV kubwa kimataifa na akatuonyesha kwa vitendo(Gamondi) ila tukaleta mwanafunzi aje kujifunza naye akatuonesha uanafunzi wake kimataifa(Ramovic) na hatimaye kasepa kafata pesa means hakuwa na mapenzi na yanga kabisa

Sasa tusitegemee makubwa msimu huu labda msimu ujao tena..

NYONGEZA.
Hawa wachezaji wafuatao waachwe kwani hawana mchango tena na uwezo umeshuka sana bila kuwachekea

Kennedy musonda(Guede arudishwe)
Guede alikuwa clinical finisher mzuri sana sana ni vile tu mpira wetu upo kihuni alikuja kati kati ya ligi dirisha dogo na akaanza direct kufunga! Wakati tangu ligi ianze hii musonda yupo yupo tu! Aaachwe passport kumchekea.

Aziz andambwile
Huyu amekuwa na msaada kidogo sana anaishia hospital tu kila siku
Anazidiwa hata kina sheikhan Ibrahim wanaonesha kitu wakipewa muda sheikhan ni kiungo profitable sana anacheza namba 8 na 10 kwa ufasaha sana

Mashuti ya yapo, nguvu miguuni zipo, kimo kizuri anacho, jicho la pasi analo apewe muda.

Its Pancho
 

Attachments

  • 1738734092931.jpg
    1738734092931.jpg
    658.7 KB · Views: 3
Simba hawezi kuwa bingwa ikiwa Yanga tunashiriki league

Na siku tukiwa mabingwa usije hapa kushangilia

Gamondi alikuwa amefika mwisho asingekuwa na kipya cha ku offer

Kuhusu usajili Kugoma ni vitu vya kawaida
Di maria
Depay
Sanchez
Casemiro
Ibramovic
Walishindwa kufanya vyema man u japo ya kuwa sajili kubwa

Ramovic alikuwa analipwa dollar 15,000 Yanga sawa na million 36 imekuja offer ya dollar 40,000 sawa na million 100 Kwa mwezi tena mkataba wa mwaka 1 na nusu, then unataka Ramovic abaki eti awe na mapenzi na Yanga

Tutawaoa elimu nyie mashabiki mbumbumbu

Yanga bingwa
 
Leo umeongea ukweli bila ushabiki, hata mimi Mnyama nimeafiki hoja zako kuntu.
Mimi ni msema ukweli sikuzote siku nikiwasema simba msikasirike pia maana huwa nasema ukweli tupu .

Kwa kweli Yanga tunaenda enda tu haieleweki tunaenda wapi, hata mechi ya leo tukishinda basi ni uzoefu wa wachezaji tu na itakuwa mechi ya kawaida sana sana

RAMOVIC AWEPO KWA MARA YA MWISHO KWENYE BENCHI AU ASIWEPO BADO HAKUTAKUWA NA COACH EFFECT YOYOTE
 
I salute you kinsmen.

Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi .

Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo
Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi

Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache zile tatu .

Matokeo yake akaletwa Ramovic ambaye hana uzoefu wowote kimataifa yaani alikuja yanga kutafuta experience

Nyie wenyewe mnaona kabisa kama tungeendelea na Gamondi mwenye experience kubwa kimataifa hakika lile kundi tungeongoza mapema sana kwa kishindo

Gamondi licha ya madhaifu yake yule mzee alikuwa anajua sana kuzicheza mechi strategically very accurately!

Reference
Game zote mbili na mamelodi sundown fc kama ingekuwa ndiyo said Ramovic basi mpaka leo tungekuwa tunaaibika kimataifa kwa kupewa kichapo kizito sana cha Mabao zaidi ya 5

Ila mzee akasema no hold my beer, bila pacome,Aucho, Yao na bado yanga wakakiwasha mpaka hukk huko bondeni bila.mbeleko wa refa ambapo Yanga angepita nusu mapema tu.

Pia game na azam ambayo yanga walipoteza huku tukiwa nusu kumi tu ila azam waliomba mpira uishe mapema tu kwa moto waliokuwa wanapelekewa.

Turudi mwanzo:
Hersi sikuhizi amekuwa mtu wa kukurupuka sana sana
Alianza kuleta saini za kitapeli tapeli na bei rahisi sijui ili iweje .
Konkoni, okrah,skudu, na pimbi wengine halafu hapo hapo kocha akifeli anatupiwa mzigo tena ..!

Naambiwa Hersi na makamu wake Araphat kwa muda kidogo haziivi sikuhizi
Araphat hakumtaka Gamondi na Hersi alitaka abaki kwahiyo mwisho makamu akamshinda nguvu BOSS wake!

Mbona mwanzo hersi alikuwa analeta vyuma sana m? Why sikuhizi analeta wachezaji urojo sana?

Wanaume wa ukweli
Fiston mayele
Djuma shaman
Yanick bangala
Aziz ki
Joyce lomalisa mutambala (marcelo)

Sasa hawa aliwapataje?
Abadilike maana sikuhizi amekuwa busy sana kuwatumikia waarabu huko ofisini kwake ACA. Anasahau huku klabu yake , anasahau sisi yanga ndiyo tulimpa platform hiyo aliyonayo

Bila yanga angebaki kuwa mfanyakazi na lapdog wa GSM tu ila yanga imemfanya awe alivyo leo asituchezee..! Gamondi alikubali kubaki hata kwa mshahara ule ambao Ramovic amekataa na kufata pesa za waarabu!

KINGINE.
Matumaini ya kuchukua kombe NBC yamezidi kuwa finyu sana hasa ukizingatia tayari kocha mpya kaja ina maana tunaanza upya tena kule kule kwa Ramovich kupewa muda akae sawa!

Kwanini simba tusiwapongeze mapema simba kwa kuchukua NBC mapema tu?
Wapo na consistency kubwa sana na wapo Well focused why wasichukue kombe?

Tulimfukuza kocha mwenye CV kubwa kimataifa na akatuonyesha kwa vitendo(Gamondi) ila tukaleta mwanafunzi aje kujifunza naye akatuonesha uanafunzi wake kimataifa(Ramovic) na hatimaye kasepa kafata pesa means hakuwa na mapenzi na yanga kabisa

Sasa tusitegemee makubwa msimu huu labda msimu ujao tena..

NYONGEZA.
Hawa wachezaji wafuatao waachwe kwani hawana mchango tena na uwezo umeshuka sana bila kuwachekea

Kennedy musonda(Guede arudishwe)
Guede alikuwa clinical finisher mzuri sana sana ni vile tu mpira wetu upo kihuni alikuja kati kati ya ligi dirisha dogo na akaanza direct kufunga! Wakati tangu ligi ianze hii musonda yupo yupo tu! Aaachwe passport kumchekea.

Aziz andambwile
Huyu amekuwa na msaada kidogo sana anaishia hospital tu kila siku
Anazidiwa hata kina sheikhan Ibrahim wanaonesha kitu wakipewa muda sheikhan ni kiungo profitable sana anacheza namba 8 na 10 kwa ufasaha sana

Mashuti ya yapo, nguvu miguuni zipo, kimo kizuri anacho, jicho la pasi analo apewe muda.

Its Pancho
angekuwa mwingine wangesema amekula mpunga ili aikwamishe Yanga, lakini kwa sababu ni yeye, haina shida. walimfukuza gamond aliyekuwa anashinda, wakaleta msanii wa kijiweni, sijui walikuwa wanagawana mshahara kama rushwa?
 
Mimi ni msema ukweli sikuzote siku nikiwasema simba msikasirike pia maana huwa nasema ukweli tupu .

Kwa kweli Yanga tunaenda enda tu haieleweki tunaenda wapi, hata mechi ya leo tukishinda basi ni uzoefu wa wachezaji tu na itakuwa mechi ya kawaida sana sana

RAMOVIC AWEPO KWA MARA YA MWISHO KWENYE BENCHI AU ASIWEPO BADO HAKUTAKUWA NA COACH EFFECT YOYOTE
Yanga bingwa kama huamini basi
Hamia huko timu ya Rage
 
Na siku tukiwa mabingwa usije hapa kushangilia
Naona unaongea kishabiki wakati leo tumeangalia upande wa pili wa shillingi nisije hapa kushangalia wewe kama nani?
Kuhusu usajili Kugoma ni vitu vya kawaida
Di maria
Depay
Sanchez
Casemiro
Ibramovic
Walishindwa kufanya vyema man u japo ya kuwa sajili kubwa
Naongelea usajili mzuri sio majina makubwa wewe unaongelea majina makubwa hao walikuwa tayari mastaa kabla ya kuja man utd sasa casemiro kutumika kote kule Madrid si alienda kula pension tu?

Kwani max alipatikanaje? Sio jina kubwa sana congo ila ni prominent player sio big name hata chama ni big name ila anaishia benchi

Ramovic alikuwa analipwa dollar 15,000 Yanga sawa na million 36 imekuja offer ya dollar 40,000 sawa na million 100 Kwa mwezi tena mkataba wa mwaka 1 na nusu, then unataka Ramovic abaki eti awe na mapenzi na Yanga
Soma hapo juu utanielewa vizuri inashindikana nini kusubiri amalize project yake aliyoianza msimu ukiisha aende?

Hii inafaida kwake kupata pesa lakini hasara kwa yanga na kwake pia Ramovic atakuwa short term plan coach kama.kishingo anavyohangaika sasa hivi
RAMOVIC AWEPO KWA MARA YA MWISHO KWENYE BENCHI AU ASIWEPO BADO HAKUTAKUWA NA COACH EFFECT YOYOTE
Hata alipokuwepo hakukuwa na coach effect yoyote hakuwa kocha mzuri na kazubaa machi nyingi tu team inashinda kwa uwezo binafsi

MC algers walituthibitishia hilo
 
Nimetukanwa matusi mengi sana humu kwa kupingana na uamuzi wa kumfukuza kazi Gamondi, na nilisema kabisa kwa uamuzi ule hatutovuka hatua ya makundi ligi ya mabingwa kila mmoja ameona.

Siku hizi hata sifuatilii timu inacheza lini na wapi, na kiukweli itatuchukua muda sana kurudi katika mstari tuliokuwa hapo kabla.
 
Yanga bingwa kama huamini basi
Hamia huko timu ya Rage
Yaani nihame ili kukuridhisha wewe? Nonsense karne hii ni scientific football na fact sio porojo kama unazotaka wewe mkuu badilika sio kila siku ushabiki wa kuwaponda simba tu bali siku nyingine shilingi inafunuliwa .

Simba licha ya mbeleko lakini wapo kwenye right track tunaweza kuwafunga March 8 ila bado haiondoi uhalisia wapo focused
 
Nimetukanwa matusi mengi sana humu kwa kupingana na uamuzi wa kumfukuza kazi Gamondi, na nilisema kabisa kwa uamuzi ule hatutovuka hatua ya makundi ligi ya mabingwa kila mmoja ameona.

Siku hizi hata sifuatilii timu inacheza lini na wapi, na kiukweli itatuchukua muda sana kurudi katika mstari tuliokuwa hapo kabla.
Huo ndiyo ukweli ambao wengine hawataki kuusikia
Tulipinga mwanzo wakatuona oya oya
Gamondi was a right man for champions league!

Angalia hata alivyokuwa anacheza mechi zake kule ndiyo utajua huyu alikuwa na experience tuliyokuwa tunaitaka lakini kama kumtimua basi walitakiwa kusubiri msimu uishe halafu sasa ndiyo aje mwengine kufundisha, atapata time pre season kuset mifumo yake na kuwajua wachezaji vizuri ila tukabugi pakubwa sana

Lile kundi lilikuwa sio la yanga kutolewa na kina MC algers wale na mazembe!

Yule mzee alikuwa anajua kabisa hii game naenda kucheza namna gani na kwa uhakika kabisa ila tayari wajanja wameshamchukua


Hata mechi hii leo unadhani kutakuwa na ufundi gani au utamu gani wa mechi nonsense tu
 
Kuhusu Ubingwa ni mpaka 2030 wengine waendelee kujenga timu.
Ata asiwepo kocha yoyote, Yanga Bingwa, anaye hitajika ni msimamizi wa mazoezi tu, Timu tayari ipo.
Ila mkuu wewe hujawahi kuwa serious 🤣
 
Naona unaongea kishabiki wakati leo tumeangalia upande wa pili wa shillingi nisije hapa kushangalia wewe kama nani?

Naongelea usajili mzuri sio majina makubwa wewe unaongelea majina makubwa hao walikuwa tayari mastaa kabla ya kuja man utd sasa casemiro kutumika kote kule Madrid si alienda kula pension tu?

Kwani max alipatikanaje? Sio jina kubwa sana congo ila ni prominent player sio big name hata chama ni big name ila anaishia benchi


Soma hapo juu utanielewa vizuri inashindikana nini kusubiri amalize project yake aliyoianza msimu ukiisha aende?

Hii inafaida kwake kupata pesa lakini hasara kwa yanga na kwake pia Ramovic atakuwa short term plan coach kama.kishingo anavyohangaika sasa hivi

Hata alipokuwepo hakukuwa na coach effect yoyote hakuwa kocha mzuri na kazubaa machi nyingi tu team inashinda kwa uwezo binafsi

MC algers walituthibitishia hilo
Nimekwambia sajili zote ni kama kamali ni timu Gani Huwa inapatia sajili zote
Ukiona mchezaji kasajili ujue ni pata potea.

Kuhusu Ramovic kuondoka
Huyo ilikuwa laZima aondoke wale wana mkataba pesa ikija wanakaa na waajiri wake wanarejea mkataba
Kwaiyo wewe unataka Ramovic akatae million 100 abaki Yanga analipwa million 36?
Hiyo haiwezakani hata Mimi mwanachama wa Yanga nikipata hiyo fursa natembea
 
Back
Top Bottom