Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Mkuu Nabi kubaki mpaka mwisho hakupenda. Cv yake ilikuwa inaelekea kuchafuka zaidi hivyo alilazimika kubaki kuijenga Cv yake. Kumbuka alitakiwa kufungashwa vilago baada ya kufanya vibaya kimataifa. Mechi ya Club Africain ndio ikawa mapinduzi yake na kuongezewa muda mwaka mmoja mbele. Kufika fainali ya shirikisho kukamfungulia milango kwa kuwa alikuwa amejitangaza tayari. Zilipokuja offer nono hakutaka kusubiri hata alipobembelezwa kubaki. Najua unakumbuka namna gani wakina Hersi walihangaika kumbakiza ilishindikana. Hakuna kocha anaweza kukataa mpunga mrefu. Pesa ni maisha na project ni za timu husika. Hata huko anakoenda atakuta project ya timu itabidi aende nayo akishindwa wanamfungasha vilago
Tunarudi kule kule tena mkuu
Ramovic ameondoka kati kati ya mkataba wake mwanzo kabisa akipokea ofa nono

Nabi alikuwa na mkataba wa miaka miwili cash kusema aliongeza mmoja ni uzushi na uongo

Yanga hawakuwa na mpango wa kumfukuza Nabi kwa maana alikuwa anajenga team hata Rais alisema wazi msimu ule tumpe muda mpaka msimu ujao ndio tuanze kuona matunda sasa wewe unaleta uzushi mkuu?

Sasa kama Nabi alitimiza project aliyopewa abaki anafanya nini? Na alishakuwa na ofa tangu muda sana akachagua kumalizia project yake?

Kwa taarifa yako tayari alikuwa anajua pa kwenda before hata ile fainal ya CAFCC ila akachagua kumaliza mkataba wake maana ulikuwa umekaribia kuisha.

Pesa kila mtu anapenda na Nabi hakufukuzwa wala Ramovic hajafukuzwa wameondoka kwa namna moja pesa tu lakini scenario tofauti Ramovic amejiharibia tayari CV yake mbeleni

Yuko wapi benchika? Huko ashatimulizwa nadhani CV yake imeshachakaa mapema sana

Fikiria
 
Mkuu mimi naona hujanielewa

Simaaniishi asiondoke lakini kaiachia project yake njiani, natambua kila.mtu anataka pesa

Lakini angesubiri mwisho wa msimu asepe zake kama mwenzake Nabi sasa hapa tumepata kazi ya kuanza upya tena kama utakumbuka Ramovic hata wachezaji alikuwa wengine majina hawajui mpaka leo sasa vipi huyu mpya?

Team kaachiwa makamu huku Rais yuko busy na mambo yake huko ACA
Mkuu, Wanaompa hizo pesa walimtaka sasa hivi. Yanga ingepanda dau chap abaki. Mpira maslahi.

Ukiambiwa achana na JF njoo mafedha forum utalipwa kila hoja utaendelea kukaa humu ukimalizia project zako za uandishi?
 
Mkuu, Wanaompa hizo pesa walimtaka sasa hivi. Yanga ingepanda dau chap abaki. Mpira maslahi.

Ukiambiwa achana na JF njoo mafedha forum utalipwa kila hoja utaendelea kukaa humu ukimalizia project zako za uandishi?
Hapana hapa nipo kwa ajili ya kusocialize na pia nina sehemu ya kutafuta pesa kwahiyo kwangu vyote vina umuhimu wake

Narefresh mind hapa kwa afya ya akili na kutafuta pesa kwa ajili ya future yangu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Tunarudi kule kule tena mkuu
Ramovic ameondoka kati kati ya mkataba wake mwanzo kabisa akipokea ofa nono

Nabi alikuwa na mkataba wa miaka miwili cash kusema aliongeza mmoja ni uzushi na uongo

Yanga hawakuwa na mpango wa kumfukuza Nabi kwa maana alikuwa anajenga team hata Rais alisema wazi msimu ule tumpe muda mpaka msimu ujao ndio tuanze kuona matunda sasa wewe unaleta uzushi mkuu?

Sasa kama Nabi alitimiza project aliyopewa abaki anafanya nini? Na alishakuwa na ofa tangu muda sana akachagua kumalizia project yake?

Kwa taarifa yako tayari alikuwa anajua pa kwenda before hata ile fainal ya CAFCC ila akachagua kumaliza mkataba wake maana ulikuwa umekaribia kuisha.

Pesa kila mtu anapenda na Nabi hakufukuzwa wala Ramovic hajafukuzwa wameondoka kwa namna moja pesa tu lakini scenario tofauti Ramovic amejiharibia tayari CV yake mbeleni

Yuko wapi benchika? Huko ashatimulizwa nadhani CV yake imeshachakaa mapema sana

Fikiria
Nishakwambia ulitaka Rais afanyeje hana budget ya kulipa million 102 Kwa mwezi na kocha ashawekewa hela mezani na anavunja mkataba anaondoka

Nabi na Ramovic ni tofauti
Kama Nabi alikuwa muungwana kuheshimu project na kukataa pesa awali ni tofauti na Ramovic, yeye alivoona pesa ndefu anataka kuondoka
 
Simba hawezi kuwa bingwa ikiwa Yanga tunashiriki league

Na siku tukiwa mabingwa usije hapa kushangilia

Gamondi alikuwa amefika mwisho asingekuwa na kipya cha ku offer

Kuhusu usajili Kugoma ni vitu vya kawaida
Di maria
Depay
Sanchez
Casemiro
Ibramovic
Walishindwa kufanya vyema man u japo ya kuwa sajili kubwa

Ramovic alikuwa analipwa dollar 15,000 Yanga sawa na million 36 imekuja offer ya dollar 40,000 sawa na million 100 Kwa mwezi tena mkataba wa mwaka 1 na nusu, then unataka Ramovic abaki eti awe na mapenzi na Yanga

Tutawaoa elimu nyie mashabiki mbumbumbu

Yanga bingwa
Haya sio mapenzi, haya ni mahaba.
 
Hapana hapa nipo kwa ajili ya kusocialize na pia nina sehemu ya kutafuta pesa kwahiyo kwangu vyote vina umuhimu wake

Narefresh mind hapa kwa afya ya akili na kutafuta pesa kwa ajili ya future yangu
Ok boss, Sasa sehemu yako ya kupiga pesa ukipewa fursa ya kupiga pesa zaidi hutoichukua mpaka umalize hicho unachofanya hapo ulipo?
 
Nimetukanwa matusi mengi sana humu kwa kupingana na uamuzi wa kumfukuza kazi Gamondi, na nilisema kabisa kwa uamuzi ule hatutovuka hatua ya makundi ligi ya mabingwa kila mmoja ameona.

Siku hizi hata sifuatilii timu inacheza lini na wapi, na kiukweli itatuchukua muda sana kurudi katika mstari tuliokuwa hapo kabla.
Mimi mwenyewe kuna mambo nimeyaona nikasema to hell.
Na hivi wame muondoa huyu kocha ndiyo kabisaa.
Haiwezekani timu inakwendakwenda tu halafu viongozi hawawajibiki kutu update wanachama.
 
Unaongea nonsense mkuu

Nabi aliondoka yanga akiwa kamaliza mkataba sasa Ramovic mkataba umevunjwa huoni tofauti?

Jitahidi usome kuelewa sio kujibu kwa taarifa yako Nabi wakati mkataba ulipobaki mwaka mmoja alikuwa tayari na ofa FAR Rabat ila akaamua kumalizia mwaka uliobaki ndiyo akaenda au unadhani hapendi hela pia?

Jaribu kuwa muelewa sio unajibu tu ili mradi Ramovic ameikimbia project yake mwenyewe atakuwa kama yule Sven amekuwa intermediate coach anatanga tanga na inaua CV yako pia .

Uwe unafikiria mbali sawa?
Nonsense kabisa. CV ya Ramovic ikiharibika inakuuma nini? Unafahamu mkataba wa Ramovic ulikuwa unaisha lini? Kuna project ya mwaka mmoja? Project ni ya club husika sio coach. Hiyo project unayoing'ang'ania ya Ramovic ni ipi?
 
Nonsense kabisa. CV ya Ramovic ikiharibika inakuuma nini? Unafahamu mkataba wa Ramovic ulikuwa unaisha lini? Kuna project ya mwaka mmoja? Project ni ya club husika sio coach. Hiyo project unayoing'ang'ania ya Ramovic ni ipi?
Akili fupi unayo
Project ni ya club na kocha unapewa time limit kwanza utufikishe wapi kwenye project yetu

Ramovic aliambiwa aifikishe team nusu final lakini alishindwa wewe unaelewa project ni nini? Au kichwa cheupe tu?
 
Simba hawezi kuwa bingwa ikiwa Yanga tunashiriki league

Na siku tukiwa mabingwa usije hapa kushangilia

Gamondi alikuwa amefika mwisho asingekuwa na kipya cha ku offer

Kuhusu usajili Kugoma ni vitu vya kawaida
Di maria
Depay
Sanchez
Casemiro
Ibramovic
Walishindwa kufanya vyema man u japo ya kuwa sajili kubwa

Ramovic alikuwa analipwa dollar 15,000 Yanga sawa na million 36 imekuja offer ya dollar 40,000 sawa na million 100 Kwa mwezi tena mkataba wa mwaka 1 na nusu, then unataka Ramovic abaki eti awe na mapenzi na Yanga

Tutawaoa elimu nyie mashabiki mbumbumbu

Yanga bingwa
Una uhakika kuwa saidi atapewa mshahara wa million 100 huko anakoenda?
 
Akili fupi unayo
Project ni ya club na kocha unapewa time limit kwanza utufikishe wapi kwenye project yetu

Ramovic aliambiwa aifikishe team nusu final lakini alishindwa wewe unaelewa project ni nini? Au kichwa cheupe tu?
Shida ni mwenye akili fupi siku zote anamuona mwingine ana akili fupi. Angalau umerudi kwenye akili zako kidogo umeelewa project ni ya timu sio muda wote umekazana ameiacha project yake njiani. Project gani? Angalia uliyoyaandika hapa ndio utaujua ubongo wako kuwa ni debe kutika hujui unaongea nini
 
Shida ni mwenye akili fupi siku zote anamuona mwingine ana akili fupi. Angalau umerudi kwenye akili zako kidogo umeelewa project ni ya timu sio muda wote umekazana ameiacha project yake njiani. Project gani? Angalia uliyoyaandika hapa ndio utaujua ubongo wako kuwa ni debe kutika hujui unaongea nini
Huyo dogo ana akili za Wanachama wa Rage
Yaani hata ukimwelekeza anajifanya anajua kumbe hajui kitu
Project ni ya timu, coaches na players hubadilika
Yaani timu ina project ya miaka 10 halafu utegemee kocha na wachezaji wakae kwenye timu yako miaka 10
 
Shida ni mwenye akili fupi siku zote anamuona mwingine ana akili fupi. Angalau umerudi kwenye akili zako kidogo umeelewa project ni ya timu sio muda wote umekazana ameiacha project yake njiani. Project gani? Angalia uliyoyaandika hapa ndio utaujua ubongo wako kuwa ni debe kutika hujui unaongea nini
Eeeh
 
I salute you kinsmen.

Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi.

Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache zile tatu.

Matokeo yake akaletwa Ramovic ambaye hana uzoefu wowote kimataifa yaani alikuja yanga kutafuta experience.

Nyie wenyewe mnaona kabisa kama tungeendelea na Gamondi mwenye experience kubwa kimataifa hakika lile kundi tungeongoza mapema sana kwa kishindo.

Gamondi licha ya madhaifu yake yule mzee alikuwa anajua sana kuzicheza mechi strategically very accurately!

Reference
Game zote mbili na mamelodi sundown fc kama ingekuwa ndiyo said Ramovic basi mpaka leo tungekuwa tunaaibika kimataifa kwa kupewa kichapo kizito sana cha Mabao zaidi ya 5.

Ila mzee akasema no hold my beer, bila pacome, Aucho, Yao na bado yanga wakakiwasha mpaka huko huko bondeni bila mbeleko wa refa ambapo Yanga angepita nusu mapema tu.

Pia game na azam ambayo yanga walipoteza huku tukiwa nusu kumi tu ila azam waliomba mpira uishe mapema tu kwa moto waliokuwa wanapelekewa.

Turudi mwanzo:
Hersi sikuhizi amekuwa mtu wa kukurupuka sana sana. Alianza kuleta saini za kitapeli tapeli na bei rahisi sijui ili iweje. Konkoni, okrah,skudu, na pimbi wengine halafu hapo hapo kocha akifeli anatupiwa mzigo tena ..!

Naambiwa Hersi na makamu wake Araphat kwa muda kidogo haziivi sikuhizi. Araphat hakumtaka Gamondi na Hersi alitaka abaki kwahiyo mwisho makamu akamshinda nguvu BOSS wake!

Mbona mwanzo hersi alikuwa analeta vyuma sana m? Why sikuhizi analeta wachezaji urojo sana?

Wanaume wa ukweli
Fiston mayele
Djuma shaman
Yanick bangala
Aziz ki
Joyce lomalisa mutambala (marcelo)

Sasa hawa aliwapataje?
Abadilike maana sikuhizi amekuwa busy sana kuwatumikia waarabu huko ofisini kwake ACA. Anasahau huku klabu yake , anasahau sisi yanga ndiyo tulimpa platform hiyo aliyonayo

Bila yanga angebaki kuwa mfanyakazi na lapdog wa GSM tu ila yanga imemfanya awe alivyo leo asituchezee..! Gamondi alikubali kubaki hata kwa mshahara ule ambao Ramovic amekataa na kufata pesa za waarabu!

KINGINE.
Matumaini ya kuchukua kombe NBC yamezidi kuwa finyu sana hasa ukizingatia tayari kocha mpya kaja ina maana tunaanza upya tena kule kule kwa Ramovich kupewa muda akae sawa!

Kwanini simba tusiwapongeze mapema simba kwa kuchukua NBC mapema tu?
Wapo na consistency kubwa sana na wapo Well focused why wasichukue kombe?

Tulimfukuza kocha mwenye CV kubwa kimataifa na akatuonyesha kwa vitendo(Gamondi) ila tukaleta mwanafunzi aje kujifunza naye akatuonesha uanafunzi wake kimataifa(Ramovic) na hatimaye kasepa kafata pesa means hakuwa na mapenzi na yanga kabisa

Sasa tusitegemee makubwa msimu huu labda msimu ujao tena..

NYONGEZA.
Hawa wachezaji wafuatao waachwe kwani hawana mchango tena na uwezo umeshuka sana bila kuwachekea

Kennedy musonda(Guede arudishwe)
Guede alikuwa clinical finisher mzuri sana sana ni vile tu mpira wetu upo kihuni alikuja kati kati ya ligi dirisha dogo na akaanza direct kufunga! Wakati tangu ligi ianze hii musonda yupo yupo tu! Aaachwe passport kumchekea.

Aziz andambwile
Huyu amekuwa na msaada kidogo sana anaishia hospital tu kila siku
Anazidiwa hata kina sheikhan Ibrahim wanaonesha kitu wakipewa muda sheikhan ni kiungo profitable sana anacheza namba 8 na 10 kwa ufasaha sana

Mashuti ya yapo, nguvu miguuni zipo, kimo kizuri anacho, jicho la pasi analo apewe muda.

Its Pancho
Madunduka mnahangaika sana na Yanga yetu. Si mtulie na mkonsetreiti na akina Deborah?!!!
 
Huyo dogo ana akili za Wanachama wa Rage
Yaani hata ukimwelekeza anajifanya anajua kumbe hajui kitu
Project ni ya timu, coaches na players hubadilika
Yaani timu ina project ya miaka 10 halafu utegemee kocha na wachezaji wakae kwenye timu yako miaka 10
We Ndio unapuyanga what is team?
Team lazima uwe na wachezaji na coach,Kama unajenga team imara lazima uzuie wachezaji na kocha wabaki
 
Huyo dogo ana akili za Wanachama wa Rage
Yaani hata ukimwelekeza anajifanya anajua kumbe hajui kitu
Project ni ya timu, coaches na players hubadilika
Yaani timu ina project ya miaka 10 halafu utegemee kocha na wachezaji wakae kwenye timu yako miaka 10
Haelewi kitu amekazana Ramovic kaicha project yake njiani. Kila kocha akija na project au malengo yake hiyo timu itakuwa ya hovyo sana.
 
Back
Top Bottom