Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Simba hawezi kuwa bingwa ikiwa Yanga tunashiriki league

Na siku tukiwa mabingwa usije hapa kushangilia

Gamondi alikuwa amefika mwisho asingekuwa na kipya cha ku offer

Kuhusu usajili Kugoma ni vitu vya kawaida
Di maria
Depay
Sanchez
Casemiro
Ibramovic
Walishindwa kufanya vyema man u japo ya kuwa sajili kubwa

Ramovic alikuwa analipwa dollar 15,000 Yanga sawa na million 36 imekuja offer ya dollar 40,000 sawa na million 100 Kwa mwezi tena mkataba wa mwaka 1 na nusu, then unataka Ramovic abaki eti awe na mapenzi na Yanga

Tutawaoa elimu nyie mashabiki mbumbumbu

Yanga bingwa
Mpumbavu kwenye one and two
 
Mtu anataka kocha awe na mapenzi na timu halafu kocha mwenyewe sio mtanzania. Hiyo haipo kabisa.

Kuna kocha juzi tu kaitema Kmc kakimbulia kwenye timu yetu. Hao wote ni waajiriwa likija dau nono wanatembea. Hata iwe mimi pesa kwanza mapenzi baadae. Yule shabiki lialia wa Yanga Mwaisa angekuwa mwehu kukataa of ya kuwa shabiki wa Azam wakati anatoka zake Nditu huko maisha magumu. Usione wachezaji ulaya wanaenda Sauidia, maisha ni pesa tukiachana na Mungu.
Acha aende akapige mpunga hata wakivunja mkataba anakula pesa ndefu kama fidia.
 
Sasa hapo Eng Hersi kakosea nini? Coach kawaita mezani viongozi akafuata vigezo vya kuvunja mkataba na kavunja mkataba
Nani na Ramovic hawafanani kila mtu ana vipaumbele vyake kwenye maisha
Nonsense
Kazi yake kama Rais ni kulinda maslahi ya yanga kwa namna yoyote ile

Aliapa kufanya hivyo na anatakiwa atimize tuache kutetea uzembe
Kwanini asingemwambia asubiri mpaka msimu uishe aende?

Mbona kwa Nabi aliweza?
 
Mtu anataka kocha awe na mapenzi na timu halafu kocha mwenyewe sio mtanzania. Hiyo haipo kabisa.

Kuna kocha juzi tu kaitema Kmc kakimbulia kwenye timu yetu. Hao wote ni waajiriwa likija dau nono wanatembea. Hata iwe mimi pesa kwanza mapenzi baadae. Yule shabiki lialia wa Yanga Mwaisa angekuwa mwehu kukataa of ya kuwa shabiki wa Azam wakati anatoka zake Nditu huko maisha magumu. Usione wachezaji ulaya wanaenda Sauidia, maisha ni pesa tukiachana na Mungu.
Acha aende akapige mpunga hata wakivunja mkataba anakula pesa ndefu kama fidia.
Mkuu mimi naona hujanielewa

Simaaniishi asiondoke lakini kaiachia project yake njiani, natambua kila.mtu anataka pesa

Lakini angesubiri mwisho wa msimu asepe zake kama mwenzake Nabi sasa hapa tumepata kazi ya kuanza upya tena kama utakumbuka Ramovic hata wachezaji alikuwa wengine majina hawajui mpaka leo sasa vipi huyu mpya?

Team kaachiwa makamu huku Rais yuko busy na mambo yake huko ACA
 
Mzee magoma alisema yanga kuna slow pancher ..tumtafute atuonyeshe ... Mnaishia kumtukana
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mkuu mimi naona hujanielewa

Simaaniishi asiondoke lakini kaiachia project yake njiani, natambua kila.mtu anataka pesa

Lakini angesubiri mwisho wa msimu asepe zake kama mwenzake Nabi sasa hapa tumepata kazi ya kuanza upya tena kama utakumbuka Ramovic hata wachezaji alikuwa wengine majina hawajui mpaka leo sasa vipi huyu mpya?

Team kaachiwa makamu huku Rais yuko busy na mambo yake huko ACA
Mkuu Nabi kubaki mpaka mwisho hakupenda. Cv yake ilikuwa inaelekea kuchafuka zaidi hivyo alilazimika kubaki kuijenga Cv yake. Kumbuka alitakiwa kufungashwa vilago baada ya kufanya vibaya kimataifa. Mechi ya Club Africain ndio ikawa mapinduzi yake na kuongezewa muda mwaka mmoja mbele. Kufika fainali ya shirikisho kukamfungulia milango kwa kuwa alikuwa amejitangaza tayari. Zilipokuja offer nono hakutaka kusubiri hata alipobembelezwa kubaki. Najua unakumbuka namna gani wakina Hersi walihangaika kumbakiza ilishindikana. Hakuna kocha anaweza kukataa mpunga mrefu. Pesa ni maisha na project ni za timu husika. Hata huko anakoenda atakuta project ya timu itabidi aende nayo akishindwa wanamfungasha vilago
 
Mzee magoma alisema yanga kuna slow pancher ..tumtafute atuonyeshe ... Mnaishia kumtukana
Kuna za mjini Kocha mpya hana vigezo vya kuwa Kocha wa Ligi ya Tanzania.Hana CAF Dipoma A ambayo ndio kigezo.Kocha. ana UEFA A wakati kigezo ni UEFA PRO..Yajayo yanafurahisha.
 
Nonsense
Kazi yake kama Rais ni kulinda maslahi ya yanga kwa namna yoyote ile

Aliapa kufanya hivyo na anatakiwa atimize tuache kutetea uzembe
Kwanini asingemwambia asubiri mpaka msimu uishe aende?

Mbona kwa Nabi aliweza?
Yanga ana budget ya kulipa mshahara wa million 100 Kwa kocha?
Mbona unaongea kama layman yaani budget ni kulipa million 36 timu imetokea inamtaka kocha wako wameniwekea million 100
Wewe ndo Rais utamfanyaje kumbakiza kocha
 
Yanga ana budget ya kulipa mshahara wa million 100 Kwa kocha?
Mbona unaongea kama layman yaani budget ni kulipa million 36 timu imetokea inamtaka kocha wako wameniwekea million 100
Wewe ndo Rais utamfanyaje kumbakiza kocha
Nabi mwenyewe alipoona anapigiwa simu za offer nono aligoma kusaini mkataba mpya. Unaenda Kaizer wanalipa 150M-250M kwa kocha. Nani atakataa. Unamzuiaje huyo mtu. Hersi tu akiambiwa na Al Ahly aende kwenye management ya timu atalipwa 150M per month anasepa Yanga.
 
Nabi mwenyewe alipoona anapigiwa simu za offer nono aligoma kusaini mkataba mpya. Unaenda Kaizer wanalipa 150M-250M kwa kocha. Nani atakataa. Unamzuiaje huyo mtu. Hersi tu akiambiwa na Al Ahly aende kwenye management ya timu atalipwa 150M per month anasepa Yanga.
Hawa wanadhani makocha na wachezaji wapo kama sisi Wanachama
 
Simba hawezi kuwa bingwa ikiwa Yanga tunashiriki league

Na siku tukiwa mabingwa usije hapa kushangilia

Gamondi alikuwa amefika mwisho asingekuwa na kipya cha ku offer

Kuhusu usajili Kugoma ni vitu vya kawaida
Di maria
Depay
Sanchez
Casemiro
Ibramovic
Walishindwa kufanya vyema man u japo ya kuwa sajili kubwa

Ramovic alikuwa analipwa dollar 15,000 Yanga sawa na million 36 imekuja offer ya dollar 40,000 sawa na million 100 Kwa mwezi tena mkataba wa mwaka 1 na nusu, then unataka Ramovic abaki eti awe na mapenzi na Yanga

Tutawaoa elimu nyie mashabiki mbumbumbu

Yanga bingwa
Ona huyu kuku
 
Yanga bingwa kama huamini basi
Hamia huko timu ya Rage
Watu kama ninyi ndiyo mtaji wa viongozi uchwala.Nilimkosoa injinia alipowadharau waliomsaidia kama manara hata kumwondoa gamondi alijichanganya,tatizo kubwa mafanikio yaliwalevya na kuamini vichwa vyao tu bila kuthamini michango ya wenzao.Tunaipenda yanga kwenye shida na Raha ila siyo ulete kiburi timu ipolomoke alafu unataka tuwe pamoja hiyo hapana,tutakuambia ukweli Ili tatizo litatuliwe.
 
Nabi mwenyewe alipoona anapigiwa simu za offer nono aligoma kusaini mkataba mpya. Unaenda Kaizer wanalipa 150M-250M kwa kocha. Nani atakataa. Unamzuiaje huyo mtu. Hersi tu akiambiwa na Al Ahly aende kwenye management ya timu atalipwa 150M per month anasepa Yanga.
Elewa mkuu Nabi aliondoka yanga mkataba ukiwa umeisha

Hakuvunja mkataba hivi kwanini mnakuwa wagumu kuelewa?
 
Nabi mwenyewe alipoona anapigiwa simu za offer nono aligoma kusaini mkataba mpya. Unaenda Kaizer wanalipa 150M-250M kwa kocha. Nani atakataa. Unamzuiaje huyo mtu. Hersi tu akiambiwa na Al Ahly aende kwenye management ya timu atalipwa 150M per month anasepa Yanga.
Unaongea nonsense mkuu

Nabi aliondoka yanga akiwa kamaliza mkataba sasa Ramovic mkataba umevunjwa huoni tofauti?

Jitahidi usome kuelewa sio kujibu kwa taarifa yako Nabi wakati mkataba ulipobaki mwaka mmoja alikuwa tayari na ofa FAR Rabat ila akaamua kumalizia mwaka uliobaki ndiyo akaenda au unadhani hapendi hela pia?

Jaribu kuwa muelewa sio unajibu tu ili mradi Ramovic ameikimbia project yake mwenyewe atakuwa kama yule Sven amekuwa intermediate coach anatanga tanga na inaua CV yako pia .

Uwe unafikiria mbali sawa?
 
Watu kama ninyi ndiyo mtaji wa viongozi uchwala.Nilimkosoa injinia alipowadharau waliomsaidia kama manara hata kumwondoa gamondi alijichanganya,tatizo kubwa mafanikio yaliwalevya na kuamini vichwa vyao tu bila kuthamini michango ya wenzao.Tunaipenda yanga kwenye shida na Raha ila siyo ulete kiburi timu ipolomoke alafu unataka tuwe pamoja hiyo hapana,tutakuambia ukweli Ili tatizo litatuliwe.
Analeta ushabiki wa kitoto Karne hii yaani yeye analeta mambo ya kale wakubwa hawakosei na wasiambiwe.
 
I salute you kinsmen.

Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi.

Tatizo lilianzia pale alipofukuzwa yule mzee na team ikiwa imeshaclick kabisa kisa kupoteza game chache zile tatu.

Matokeo yake akaletwa Ramovic ambaye hana uzoefu wowote kimataifa yaani alikuja yanga kutafuta experience.

Nyie wenyewe mnaona kabisa kama tungeendelea na Gamondi mwenye experience kubwa kimataifa hakika lile kundi tungeongoza mapema sana kwa kishindo.

Gamondi licha ya madhaifu yake yule mzee alikuwa anajua sana kuzicheza mechi strategically very accurately!

Reference
Game zote mbili na mamelodi sundown fc kama ingekuwa ndiyo said Ramovic basi mpaka leo tungekuwa tunaaibika kimataifa kwa kupewa kichapo kizito sana cha Mabao zaidi ya 5.

Ila mzee akasema no hold my beer, bila pacome, Aucho, Yao na bado yanga wakakiwasha mpaka huko huko bondeni bila mbeleko wa refa ambapo Yanga angepita nusu mapema tu.

Pia game na azam ambayo yanga walipoteza huku tukiwa nusu kumi tu ila azam waliomba mpira uishe mapema tu kwa moto waliokuwa wanapelekewa.

Turudi mwanzo:
Hersi sikuhizi amekuwa mtu wa kukurupuka sana sana. Alianza kuleta saini za kitapeli tapeli na bei rahisi sijui ili iweje. Konkoni, okrah,skudu, na pimbi wengine halafu hapo hapo kocha akifeli anatupiwa mzigo tena ..!

Naambiwa Hersi na makamu wake Araphat kwa muda kidogo haziivi sikuhizi. Araphat hakumtaka Gamondi na Hersi alitaka abaki kwahiyo mwisho makamu akamshinda nguvu BOSS wake!

Mbona mwanzo hersi alikuwa analeta vyuma sana m? Why sikuhizi analeta wachezaji urojo sana?

Wanaume wa ukweli
Fiston mayele
Djuma shaman
Yanick bangala
Aziz ki
Joyce lomalisa mutambala (marcelo)

Sasa hawa aliwapataje?
Abadilike maana sikuhizi amekuwa busy sana kuwatumikia waarabu huko ofisini kwake ACA. Anasahau huku klabu yake , anasahau sisi yanga ndiyo tulimpa platform hiyo aliyonayo

Bila yanga angebaki kuwa mfanyakazi na lapdog wa GSM tu ila yanga imemfanya awe alivyo leo asituchezee..! Gamondi alikubali kubaki hata kwa mshahara ule ambao Ramovic amekataa na kufata pesa za waarabu!

KINGINE.
Matumaini ya kuchukua kombe NBC yamezidi kuwa finyu sana hasa ukizingatia tayari kocha mpya kaja ina maana tunaanza upya tena kule kule kwa Ramovich kupewa muda akae sawa!

Kwanini simba tusiwapongeze mapema simba kwa kuchukua NBC mapema tu?
Wapo na consistency kubwa sana na wapo Well focused why wasichukue kombe?

Tulimfukuza kocha mwenye CV kubwa kimataifa na akatuonyesha kwa vitendo(Gamondi) ila tukaleta mwanafunzi aje kujifunza naye akatuonesha uanafunzi wake kimataifa(Ramovic) na hatimaye kasepa kafata pesa means hakuwa na mapenzi na yanga kabisa

Sasa tusitegemee makubwa msimu huu labda msimu ujao tena..

NYONGEZA.
Hawa wachezaji wafuatao waachwe kwani hawana mchango tena na uwezo umeshuka sana bila kuwachekea

Kennedy musonda(Guede arudishwe)
Guede alikuwa clinical finisher mzuri sana sana ni vile tu mpira wetu upo kihuni alikuja kati kati ya ligi dirisha dogo na akaanza direct kufunga! Wakati tangu ligi ianze hii musonda yupo yupo tu! Aaachwe passport kumchekea.

Aziz andambwile
Huyu amekuwa na msaada kidogo sana anaishia hospital tu kila siku
Anazidiwa hata kina sheikhan Ibrahim wanaonesha kitu wakipewa muda sheikhan ni kiungo profitable sana anacheza namba 8 na 10 kwa ufasaha sana

Mashuti ya yapo, nguvu miguuni zipo, kimo kizuri anacho, jicho la pasi analo apewe muda.

Its Pancho
Ile kurjuan ya Mzee Magoma sasa imeanza kuchanganya
 
Gamondi ilikuwa laZima aondoke alianza kuharibu dressing room
Wachezaji anawapekeka bar
Anabagua wachezaji wasio rafiki zake hawapi nafasi, anawap nafasi walevi wenzio
Kumwachia bench Kibwana akiwa fit na kuchezesha Nkane kama mlinzi kulia
Hivi mle mna walevi kumbe?
 
Back
Top Bottom