Injinia Soma hiyoo: Simba yasajili striker kutoka Brazil

Injinia Soma hiyoo: Simba yasajili striker kutoka Brazil

Kuna taarifa rasmi yoyote kutoka Simba kuhusu kuachwa kwa Niyonzima, na Kotei?kama hakuna kwanini tusisubiri taarifa rasmi then ndio tuhoji?
Kuhusu Okwi nilisikia alisema apewe muda mpaka baada ya Afcon,sasa timu itabaki kumsubiri Okwi tu bila kutafuta mbadala wake? What if kama hana nia ya kurudi tena Simba?
Wakati mwingine tunaweza kuwalaumu viongozi kumbe tatizo lipo kwa wachezaji wenyewe
Fahamu pia sajiri za Simba zimekuwa siri,saa 7 ndio msema kweli. Hakuna atakaye kwambia kama kaachwa au lah,hata mchezaji mwenyewe.
 
Aliyemwambia Kotei,Okwi kaachwa ni nani? Aliyemwambia hawa wachezaji sio chaguo la kocha ni nani?
Wee unaonaje anachosema jamaa amekosea au la? Na ikitokea simba wakawaacha kweli Niyonzima na Kotei nini maoni yako? Sema mapema tujue msimamo wako,usije ukawa unakaa nyumanyuma tu kusubiri wanachofanya viongozi na kuwatukuza tu
 
Simba namba 4 na 5 Ni tatizo kubwa na wanatakiwa wapate wachezaji wazoefu wa michuano ya klabu bingwa africa lakini wasioienda umri Kama Pascal Wawa, hizo nafasi sio zakuleta wabrazil
As Vita 5 Simba 0
Al Alhy 5 Simba 0
Simba inatakiwa beki zitakazosaidia kufungwa goli chache ugenini
NAFASI HIYO ANAKUJA MBRAZIL MWINGINE ANAITWA GERSON VIEIRA,
 
Mbona unaacha simba 1 Mazembe 4? Au hiki ni kawaida?
NA NYIE MMEINGIA TUWAONE SASA MKIJINYEA, OLE WENU MUISHIE HATUA ZA AWALI. MAANA MNA MIDOMO SANA ILIHALI NI WEUPE, MWAKA JUZI MMESHINDWA KUVUKA KWENDA GROUP STAGE WAKATI MLIKUWA GROUP LAINI LA KINA GOR MAHIA, RAYON SPORTS NA USM ALGERS. NDENGELESI KABISA
 
Nasikia jamaa anashusha wabrazil tu kina wengine wawili wanategemea kutambulishwa next week

Ila kiukweli hawa wabrazil wananipa mashaka
BROTHER KWENYE MAFANIKIO YA MAMELOD SUNDOWN WAPO WABRAZIL, YOU DONT NEED TO DOUBT WANAOIFANYA HIYO KAZI NI WATU MAKINI MNO WALA USIWE NA WASIWASI.

NENDA ANGOLA PETRO ATLETICO INASHINE SABABU INA WABRAZIL , CHA MSINGI TUWAOMBEE WACLICK MAPEMA.
 
NA NYIE MMEINGIA TUWAONE SASA MKIJINYEA, OLE WENU MUISHIE HATUA ZA AWALI. MAANA MNA MIDOMO SANA ILIHALI NI WEUPE, MWAKA JUZI MMESHINDWA KUVUKA KWENDA GROUP STAGE WAKATI MLIKUWA GROUP LAINI LA KINA GOR MAHIA, RAYON SPORTS NA USM ALGERS. NDENGELESI KABISA
Kwani nyie mwakani mnaenda wapi nao Al Shabab wenu,au mtatumia picha ya zamani? Ha ha ha mtakula ugali kwa picha ya samaki
 
Amekuja kutia mimba mademu wetu. Hana lolote.
 
Straika Simba ashangaa usajili wa Msudan

mwanaspoti.co.tz
Jun 22, 2019 3:00 PM

SIMBA imesajili wachezaji wawili wa kigeni, Mbrazil Wilker Henrique da Silva ambaye ni mshambuliaji na beki Msudan Sharaf Eldin Shiboub.
Usajili huo ni mpya lakini umemshangaza mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Gabriel 'Batgol' ambaye amesema uongozi wa Simba unafanya usajili wake bila kufuata matakwa ya kocha Patrick Aussems.
Batgol ameonyesha kusikitishwa na madai ya kuachwa kwa kiungo Mghana, James Kotei na kusajili nyota hao ambao alidai amewafuatilia viwango vyao ni vya kawaida sana na hawastahili kucheza klabu kama Simba ambayo ina malengo makubwa.
"Unamuacha mchezaji mzuri kama Kotei, Haruna Niyonzima, Emmanuel Okwi, Deogratius Munishi 'Dida' unakwenda kusajili Wasudan na Wabrazil, wanatupeleka wapi, inashangaza na kufikirisha kidogo.
"Hata kama hawana nidhamu pengine kama ninavyosikia lakini je kazi yao si wanafanya ama hawafanyi, sidhani kama kuna haja ya kuangalia hilo wakati kazi zao wanafanya vizuri, huu usajili hasa wa wachezaji wa kigeni sikubaliani nao kabisa, ni wa mihemko na matakwa yao," anasema Bagtol
Mchezaji huyo alikwenda mbali kwa kusema; "Ukiangalia usajili wa Simba na Yanga, Yanga wanasajili vizuri kwa kufuata maelekezo ya kocha wao Mwinyi Zahera hata wakija kuchemka mzigo utamwangukia kocha wao na sio Simba.
"Wamesajili Beno Kakolanya ambaye ameachwa Yanga kwa utovu wa nidhamu, huyo ana tofauti gani na hao akina Niyonzima, Okwi na wengineo kwenye suala la nidhamu, nadhani ifike mahala Mohamed Dewji atumie vizuri pesa zake, zisiwasumbue kwa kukusanya tu wachezaji na kuanza upya kuitengeneza, hii itawasumbua na hawatafika mbali michuano ya ndani na nje," anaeleza.

Baadhi ya vitu[emoji115] anavyohoji jamaa hata Mimi nilihoji jana. Wana Simba wengine mnasemaje kuhusu maoni ya Emma!?
TULIENI MENGINE HAYAWAHUSU, TATIZO WABONGO TUMEZOEA SANA TABIA ZA KUCHUNGUZA MAJIRANI BADALA YA KUJALI YETU.
 
Wee unaonaje anachosema jamaa amekosea au la? Na ikitokea simba wakawaacha kweli Niyonzima na Kotei nini maoni yako? Sema mapema tujue msimamo wako,usije ukawa unakaa nyumanyuma tu kusubiri wanachofanya viongozi na kuwatukuza tu
Mbona unakomalia hao kwa nini msiwasajili ili wawape mafanikio? Tangu lini Yanga wakawahurumia SIMBA, AU MNAOGOPA KUWA WATAKAOLETWA ITAKUWA BALAA?
 
BROTHER KWENYE MAFANIKIO YA MAMELOD SUNDOWN WAPO WABRAZIL, YOU DONT NEED TO DOUBT WANAOIFANYA HIYO KAZI NI WATU MAKINI MNO WALA USIWE NA WASIWASI.

NENDA ANGOLA PETRO ATLETICO INASHINE SABABU INA WABRAZIL , CHA MSINGI TUWAOMBEE WACLICK MAPEMA.
Sawa sawa Mkuu

Nimekuelewa vizuri!
 
Kuna mtu pale TPMazembe anaitwa Meshack Elia Ukimuona Wawa ukilitaja Hilo jina kwa nguvu, Wawa atakimbia Nduki kama kuku aliyemuona mwewe
Kuna mtu pale simba anaitwa meddie kagere...ukimuona shabiki wa yanga ukilitaja hilo jina chemchem inaanza kutoka yenyewe 😂 😂😂😂
 
Back
Top Bottom