Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?