Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Naona safari hii ndiyo watajua kuwa mdomo uh liponza kichwaNi jambo nzuri sana kwa wapinzani kwa kuwa mpinzani wao hajui kuweka akiba ya maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona safari hii ndiyo watajua kuwa mdomo uh liponza kichwaNi jambo nzuri sana kwa wapinzani kwa kuwa mpinzani wao hajui kuweka akiba ya maneno
Basi hawana nia njema ni usaniiWakishapata wanapigiwa Magoti! Kutesa kwa zamu
Sahihi kabisa, sasa ni zamu yao kujifanya wapo karibu na wananchi kumbe wanakuwa na lao moyoniWakishapata wanapigiwa Magoti! Kutesa kwa zamu
Bila ccm kusingekuwa na neno usaniiBasi hawana nia njema ni usanii
SureBila ccm kusingekuwa na neno usanii
Hawa BATA wanapaswa watuheshimu sana sisi tuliojiajiri.Hawa wajomba kupiga magoti siku hizi ni kawaida yao.View attachment 1557238View attachment 1557241
Hahah daah wao wana mitaji+connections lkn wameshindwa kujiajiri wanaona bora wapige magoti tu ili mkono uende kinywani.Hawa BATA wanapaswa watuheshimu sana sisi tuliojiajiri.
Huyo ujinga wake ni mpana sana.Ila wewe jamaa ujinga wako sio wa kawaida. Ni zaidi ya ujinga.
Huyo ujinga wake ni mpana sana.
Ujinga wa kurithi.
Ujinga wa kuwa chama cha kijinga na kuzungukwa na wanachama wajinga wenzake.
Ujinga wa kupata elimu ya mjinga.
Ujinga wa kutoweza kujitafutia ridhiki kwa jasho.
Ujinga wa kutokujua kuwa yeye ni mjinga.
Yaonekana pumzi ishakata, yabidi kuropokaropoka. Sijui kufikia katikati ya Septemba itakuwaje.Kagera mwaka huu viti vyote vya ubunge ni mali ya CCM.
Anaelalamika mara kwa mara na kwa kila jambo ndo pumzi imekata.Yaonekana pumzi ishakata, yabidi kuropokaropoka. Sijui kufikia katikati ya Septemba itakuwaje.
He is extremely arrogant halafu Maringo mengi...apigwe nchini huyoooMgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
"WAMELEGEAA!!" in Lissu's voice...Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Kweli ww jamaa jinga Lao.Tumemshtukia lissu anaiba madini anapelekea Mabeberu na anawatetea mahakamani
Lissu the traitor
Instead of fighting for your constituents people benefits such as better coffee price for farmers, or mitigate on reduction of sugar price for his region as Kagera sugar industry is within his area, or work hard on enticing serious investors to his region, and btw he is a minister of Trade and industry...but only what he can do best , is to kneel down in front of voters with cheap politics to ask for votes without showing his voters any direct deliverables.. .what a joke!!He is extremely arrogant halafu Maringo mengi...apigwe nchini huyooo
Oct 28,uje ufute kauli yako maana utaaibika vibaya pamoja na vibaraka wenu.Innocent afanye shughuli nyingine, October 28 Magufuli atakuwa Mstaafu.
Baba mitano inamtoshaOct 28,uje ufute kauli yako maana utaaibika vibaya pamoja na vibaraka wenu.