Uchaguzi 2020 Innocent Bashungwa apiga magoti kwenye kampeni kumuombea kura Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Innocent Bashungwa apiga magoti kwenye kampeni kumuombea kura Rais Magufuli

CCM kwa usanii hawajambo.....!! na bado mwaka huu ngoma isambe
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.



My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Haya yanayotokea ni unabii mtupu
 
Kagera mwaka huu viti vyote vya ubunge ni mali ya CCM.
Huo ndiyo ukweli Jimbo gumu lilikuwa Bukoba mjini ambalo mpaka muda huu mambo yamebadilika.

Hawa jamaa ni watalamu wa kupoteza kumbukumbu mwaka 2015 pamoja na mafuriko ya Lowassa waliishia kupata jimbo 1 tu la uchaguzi.
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.



My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Hawa jamaa ni wasanii na wachumiatumbo wakubwa, hawana lolote, mijusi wakubwa!
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.



My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Jiwe tulikua dawa iingie lissu anatumia sindano za farasi na punda
Magoti hayatosh
 

Attachments

  • Screenshot_20200930-010911.jpg
    Screenshot_20200930-010911.jpg
    80.2 KB · Views: 1
  • IMG_20200929_150718.jpg
    IMG_20200929_150718.jpg
    37.5 KB · Views: 1
Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.



My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Jiwe tulikua dawa iingie lissu anatumia sindano za farasi na punda
Magoti hayatosh
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.



My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Kama hutakiwi kwa nn ung'ang'anie hadi upige magoti?
Oktoba 28, wananchi tuna jambo letu dhidi ya hawa wapiga magoti
 
Back
Top Bottom