Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yanayotokea ni unabii mtupuMgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Kigoma na Tabora pia.Kagera mwaka huu viti vyote vya ubunge ni mali ya CCM.
Huo ndiyo ukweli Jimbo gumu lilikuwa Bukoba mjini ambalo mpaka muda huu mambo yamebadilika.Kagera mwaka huu viti vyote vya ubunge ni mali ya CCM.
Hawa jamaa ni wasanii na wachumiatumbo wakubwa, hawana lolote, mijusi wakubwa!Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Jiwe tulikua dawa iingie lissu anatumia sindano za farasi na pundaMgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Jiwe tulikua dawa iingie lissu anatumia sindano za farasi na pundaMgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?
Kama hutakiwi kwa nn ung'ang'anie hadi upige magoti?Mgombea Ubunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa alivyopiga magoti kumuombea kura Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Kagera katika uwanja Mayunga.
My take: Hawa si wamefanya makubwa na siasa miaka mitano? shida iko wapi au ndo kutojiamini?