Huwezi kumbakiza mchezaji mkubwa kama wakubwa watamtaka,hata aziz ki au diarra wakitakiwa na wakubwa hata mpambane ni kazi bure tu.Simba walivyo mapimbi wanauza mchezaji kama huyu, unapotaka kuwa timu nzuri, bakiza wachezaji wako bora inapotokea kuuza uza kwa timu ambayo ni bora zaidi yaani hadhi ya timu inakufanya usiweze mzuia mchezaji.
Kwa miaka ya karibuni far rabat na simba, simba ni kubwa. Simba ilipofikia inabidi iporwe mchezaji na mamelodi, wydad, al ahly huko. Kibaya zaidi wameuza bei ya kawaida tu.
Simba ina maono sana ila inakwamishwa na UTOPOLO kwà ulozi
Wakati wanamuharibu ulikuwepo? Elezea walichomuwekea hadi unasema wakikichomoa anakuwa sawa, walimuwekea nini? Wapi? Ilikuwa ni lini??kikoje hiko kitu?Kama alikuwa hana kitu akiwa Simba na bado viongozi wako wakaenda kumsajili hivyo hivyo wewe huoni tu hapo kuna kitu wao wanakijua wakikichomoa tu atawasha moto au unataka niamini kuwa Engineer ni kiongozi mjinga kiasi hicho unachosema
Wanahangaika kumuweka sawa uzuri walimuharibu wenyewe sio muda watalimaliza
Alili yako imekaa kishirikina tu, kwanini asilogwe Inonga?Na sio Okrah hata hawa wakina Phiri dirisha kubwa watawarudia na watawasajili
Umeelewa lakini nilichosema, sijakataa mkubwa akija haizuiliki, swali je kwa miaka ya karibuni far rabat ni mkubwa kwa simba?Huwezi kumbakiza mchezaji mkubwa kama wakubwa watamtaka,hata aziz ki au diarra wakitakiwa na wakubwa hata mpambane ni kazi bure tu.
Asante sana kwa kunisaidia kumuelewesha vizuriMtoa mada anaelewa kuwa Inonga ni Mcongo na kule anawakilisha nchi yake, lakini anachoongelea mtoa mada ni kuwa Inonga anachezea club ya Simba ya Tanzania. Kwa iyo ligi ya Tanzania inawakilishwa na Inonga.
Ukianza kuchambua ligi ambazo wachezaji wao Bado wako AFCON basi na ligi ya Tanzania imo na inawakilishwa na Enock Inonga toka Simba Sports Club
Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
Basi nikuulize ni kitu gani kilimpa imani Engineer kama Okrah ni mchezaji wa maana na wote tuliona hapa Simba walishindwa kutokana na panda shuka ya kiwango pamoja na majeraha ya muda mrefuAlili yako imekaa kishirikina tu, kwanini asilogwe Inonga?
Lakini umeelewa ni Kagera sugar sio Mtibwa sugar ila maelezo mengne yote yapo sahihi ndio maana ukaanza na hilo kosa dogo tu tena la kuchanganya ndugu wawiliSare na Mtibwa? Mpira unasimuliwa kumbe? Juzi ya lini Yanga katoa sare na Mtibwa?
Kama timu unayotuhumu kuloga inaweza kutoa sare basi ujue hakuna uchawi kwenye mchezo wa mpira wa miguu
Kwahiyo timu inaweza kuongoza kwa kuloga na asipate ushindi?Lakini umeelewa ni Kagera sugar sio Mtibwa sugar ila maelezo mengne yote yapo sahihi ndio maana ukaanza na hilo kosa dogo tu tena la kuchanganya ndugu wawili
Ingekuwa katokea Simba kisha hapo hapo akasajiliwa na Engineer basi kungekuwa na cha kujiuliza ila katoka Simba kisha akaenda timu nyingine akawa anacheza mpira. Hivyo inawezekana Engineer alijiaminisha baada ya kumuona anacheza vuzuri akiwa na timu nyingine hivyo aliamini yupo sawa kiakili ba kimwili.Basi nikuulize ni kitu gani kilimpa imani Engineer kama Okrah ni mchezaji wa maana na wote tuliona hapa Simba walishindwa kutokana na panda shuka ya kiwango pamoja na majeraha ya muda mrefu
Namimi nimekuuliza kwanini asilogwe mchezaji wa maana kama Inonga kama Yanga ndio inayowaharibu wachezaji wenu wangemshusha kiwango Inonga na sio mchezaji anatoka huko na anashindwa kuwika kwanzia awali halafu lawama ipewe Yanga.Basi nikuulize ni kitu gani kilimpa imani Engineer kama Okrah ni mchezaji wa maana na wote tuliona hapa Simba walishindwa kutokana na panda shuka ya kiwango pamoja na majeraha ya muda mrefu
Wamemshindwa huyo mtuNamimi nimekuuliza kwanini asilogwe mchezaji wa maana kama Inonga kama Yanga ndio inayowaharibu wachezaji wenu wangemshusha kiwango Inonga na sio mchezaji anatoka huko na anashindwa kuwika kwanzia awali halafu lawama ipewe Yanga.
Mkude je?Ingekuwa katokea Simba kisha hapo hapo akasajiliwa na Engineer basi kungekuwa na cha kujiuliza ila katoka Simba kisha akaenda timu nyingine akawa anacheza mpira. Hivyo inawezekana Engineer alijiaminisha baada ya kumuona anacheza vuzuri akiwa na timu nyingine hivyo aliamini yupo sawa kiakili ba kimwili.
Akili ya mpira huna una ushabiki mwingi. Ulianza kupenda timu kabla ya kuanza kupenda mpira. Kama uchawi unakikomo basi hakuna mafanikio yatokanayo na uchawiWamemshindwa huyo mtu
Ya Okrah umeshindwa umeamia kwa MkudeMkude je?
Baadae wakiorodhoshewa kwenye mafanikio kuwa mchezaji wetu kacheza fainali ya AFCON wasije kulalamikia.Mnaona kabisa Inonga kaifikikisha Congo nusu fainali AFCON na ndio yalikua malengo yenu msimu huu baadae mje muanze kelele za Mangungu ajihudhuru
Na atabeba kabisa kombe ili malengo yetu kama klabu tuyawasilidhe vizuri.Baadae wakiorodhoshewa kwenye mafanikio kuwa mchezaji wetu kacheza fainali ya AFCON wasije kulalamikia.
Kwakweli sio jambo dogo, sisi wacha tubebe kombe la Azam federation na NBC league kama kawaida yetu. Kila mmoja ana mafanikio ya aina yakeNa atabeba kabisa kombe ili malengo yetu kama klabu tuyawasilidhe vizuri.
Wanasimba kwa sasa tunaangali Afcon semi final tukimtazama mchezaji wetu unafikiri hicho ni kitu kidogo? Na tutamtazama akiwa anabeba kombe wengne huku wachezaji wao wote wakihangaika na Kagera sugar