Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Wanaume mnatufundisha kuwa waongo wenyewe lakiniWote tunsliana timing tu......uongo mwingi pande zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume mnatufundisha kuwa waongo wenyewe lakiniWote tunsliana timing tu......uongo mwingi pande zote
Upuuzi mtupu hakuna alichoandika zaidi ya kutuonyesha amekaa mashaka na woga mwingi haujiamini na akiendelea ivyo atakufa aloneMoja kati ya comment itakayoishi milele ni hii[emoji122][emoji122]
Ndio maana nasema mwanaume mpo insecuredUkimuwahi mwenzio ndo imeisha hyo...ndo maana hakuna kuaminiana Tena sasa iv
Hasa akiwa amezidiwa kidogo kiuchumi na mwanamke ndo kabisaIvi ushakutanaga na mwanaume ambae yuko insecure, hajiamini?
ikawaje?
ulitemana nae vepe?
ulitemana nae baada ya muda gan?
Hadithi kamili pita kwa youtube channel yangu
Kote kote tuuuu nakwambia ni timingWanaume mnatufundisha kuwa waongo wenyewe lakini
Aah..hamna tushawajua ndo maana na sisi tunaishi kimtego mtego tuNdio maana nasema mwanaume mpo insecured
lakini hamuwezi kuishi bila sisi sio?Aah..hamna tushawajua ndo maana na sisi tunaishi kimtego mtego tu
UKIWA HUNA MAWE JIAMINI TUUUUUUUHasa akiwa amezidiwa kidogo kiuchumi na mwanamke ndo kabisa
Muda wote atakuwa anatumia umasikini wake kukusimanga .
Wakati wote ni maskini tu basi tu mmezidiana level .
MKE NIMEKUTUMIA HADITHI YA YOUTUBE INBOXmkewangu money peny mamboo?
SAUWAKote kote tuuuu nakwambia ni timing
haiyaaanimeangalia mpenzi wangu
utakuta ulikutana na sista kama sio bikraSijawahi kujiamini kwa mwanamke, hakuna kiumbe anajua kufeki kama mwanamke, hakuna kiumbe mwongo kama mwanamke, hakuna kiumbe ana roho mbaya kama mwanamkez hakuna kiumbe mwovu kama mwanamke.