Insecurity in Kenya: Magufuli just like Netanyahu didn't attend Kasarani for Uhuru's swearing in!

Insecurity in Kenya: Magufuli just like Netanyahu didn't attend Kasarani for Uhuru's swearing in!

Sherehe ya kuapishwa ina sehemu mbili:
1. Kuapa ambayo uwa kwenye public area,
2. Kupongezana na kujumuika na wageni waalikwa aka hafla.

Sasa usichoelewa ni nin?
Namba 2 huwa dhifa ya kitaifa,au kupongeza as u say,ila namba 2 haiji bila tendo namba 1 kufanyika ambalo ndo TENDO HUSIKA.
Na MAMA SAMIA alimpongeza jana ileile,mzee Kikwete alimpongeza before Jana.
Ila sherehe ya KUAPISHWA ni ile ya KULA KIAPO HADHARANI, hii ya pili SI LAZIMAA NA huwa haipo kisheria.
 
Jana tulisema apo kisarani was not safe to bring our President, Mkapiga yoweee sasa Mpaka muambiwe na Agency za Israel ndio mjue mazingira hayakuwa rafiki apo stadium
Labda hafla za Ikulu ndio Security level ilikuwa Juu ndo mana netanyau aka attend party apo State house na sio kisarani kule

Ina maana rais wenu anahofia usalama wake zaidi ya marais wote waliokuja, yaani anawindwa kimataifa na mashababi, maana mtu kama Netanyahu kuuawa itakua habari ya miaka mingi sana, nchi kama Iran na mataifa mengine makubwa yanatafuta sana fursa ya kumumaliza.
 
Ina maana rais wenu anahofia usalama wake zaidi ya marais wote waliokuja, yaani anawindwa kimataifa na mashababi, maana mtu kama Netanyahu kuuawa itakua habari ya miaka mingi sana, nchi kama Iran na mataifa mengine makubwa yanatafuta sana fursa ya kumumaliza.
Benja alikuwepo apo kasarani stadium? Ivi unajua Rais maarufu zaidi ktk ukanda wetu huu wa EAC ni yupi?
 
Benja alikuwepo apo kasarani stadium? Ivi unajua Rais maarufu zaidi ktk ukanda wetu huu wa EAC ni yupi?

Viongozi wenye hadhi kwenye kiwango cha Benja wanaeleweka maana wana ugomvi na mataifa makubwa kwenye ligi ya juu, na pia wanasakwa sana na magaidi ya aina kama ISIS.
Sasa nyie Waswahili baada ya kushiba uji wa ulezi mnakaa mkifikiria dunia h kuna mtu anawaza kuwahusu.
 
Ni statehouse IPI wezi wa kuku walipenyeza na kuwaiba kuku huko Tz?
Ni police station IPI katikati mwa capital city ya Tanzania Ilivamiwa na silaha kuibiwa mchana kueupe?
Hahahaha ×100 the above incidents should make it in Ripley's believe it or not and Guinness book of records as the most hilarious hata Somalia hajawahi tokea such.
 
Namba 2 huwa dhifa ya kitaifa,au kupongeza as u say,ila namba 2 haiji bila tendo namba 1 kufanyika ambalo ndo TENDO HUSIKA.
Na MAMA SAMIA alimpongeza jana ileile,mzee Kikwete alimpongeza before Jana.
Ila sherehe ya KUAPISHWA ni ile ya KULA KIAPO HADHARANI, hii ya pili SI LAZIMAA NA huwa haipo kisheria.
Narudia tena sijui unabisha kitu gani? Kuwa Netanyahu hakwenda kwenye sherehe za kuapishwa Uhuru?kuna issue hapo kweli?
 
Narudia tena sijui unabisha kitu gani? Kuwa Netanyahu hakwenda kwenye sherehe za kuapishwa Uhuru?kuna issue hapo kweli?
IMG_20171129_002059.jpg

Mie sikubishii
TUKUBALI KUTOKUBALIANA, ili tuendelee na mambo mengine.
 
Magufuli just like Netanyahu didn't attend Kasarani for Uhuru's swearing in
unapotosha watu wewe Magufuli didnt go to Kenya at all sasa itakuwaje yeye awe kama Nentayahu ambaye alienda Kenya ila hakuenda kasarani? haya mambo yakutaka kubishana kishamba hayana maana ovyooooooooooooooo
 
Ina maana rais wenu anahofia usalama wake zaidi ya marais wote waliokuja, yaani anawindwa kimataifa na mashababi, maana mtu kama Netanyahu kuuawa itakua habari ya miaka mingi sana, nchi kama Iran na mataifa mengine makubwa yanatafuta sana fursa ya kumumaliza.
Secret agents wetu walishafanya Kazi yao muda tu.. Hatuwez kumleta Raisi wetu wakati jeshi lenu la kizembe ivyo.. Mkitaka aje Jeshi la Kenya likae pembeni ndo atakanyaga

Why Benjamin Netanyahu is no-show at Kasarani, Nairobi

Tuesday November 28 2017

Despite being invited and confirming his attendance, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has not attended the swearing-in of President Kenyatta.

He neither showed up nor was he introduced by Mr Kenyatta at the 60,000-seater Kasarani stadium in the capital Nairobi.

But why?

According to Israeli media, Mr Netanyahu gave the event a wide berth due to fears over his safety.

According to The Israel Times, he was cautioned against attending the event due the “massive crowd” attending inauguration.

“The Shin Bet Security Service has therefore not green-lighted for Netanyahu to appear at Nairobi’s Kasarani Stadium out of concern for his safety,” The Israel Times reported, citing Hebrew media.

Mr Netanyahu was scheduled to attend the event which is being attended by more than 10 heads of state.

They include South Sudan’s Salva Kiir, Zambia’s Edgar Lungu, Rwanda’s Paul Kagame, Botswana’s Ian Khama and Ethiopian Prime Minister Hailemariam Desalegn.

The Israeli leader is scheduled to attend Mr Kenyatta's party after the inauguration at State House Nairobi.

He will address African leaders at the event and later on hold bilateral talks with some of them before flying out in the evening.

In a letter dated November 2, the Prime Minister congratulated President Kenyatta on his victory.

Early last year, Mr Netanyahu was the first Israeli premier, in decades, to travel to visit Africa.

Why Israeli PM kept off Kasarani
 
Secret agents wetu walishafanya Kazi yao muda tu.. Hatuwez kumleta Raisi wetu wakati jeshi lenu la kizembe ivyo.. Mkitaka aje Jeshi la Kenya likae pembeni ndo atakanyaga
Tumepoteza jamaa wao watatu walipokanyaga Zanzibar!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] that's why I said you are ignorant in English what you are arguing is rubbish and myopic I can't argue with you on that subject because you have shown how nude you are on the matter
my friend(if you allow me to call you that) it is not grammatically correct to say "fleeing to a person" it simply doesn't make any sense. see below, the meaning of flee.
View attachment 640388

"how level of ignorance" is also grammatically wrong. you cannot start/begin a sentence with an adverb - how; unless it's a question.
The proper meaning of flee is simply "run away" you may run away from anything
the problem with you is that you are arguing from a wrong perspective. You quote redeemer wrongly then you argue from that wrong point!
**redeemer said "more than 70 presidential invitations fled to him" what does this statement mean to you? can you run away to a person?

**you cannot begin a sentence with an adverb! your examples above are rhetorical questions that do not necessarily require answers and therefore no need of question marks at the end but are non the less questions.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] that's why I said you are ignorant in English what you are arguing is rubbish and myopic I can't argue with you on that subject because you have shown how nude you are on the matter
The proper meaning of flee is simply "run away" you may run away from anything
not only are you deficient in the English language, but in comprehension too. baki na ujinga wako and by the way I don't understand where you are coming from and you are not REDEEMER. who coiled his tail and was seen heading to shule ya msingi ya mbulu to ask for his refund!
tokomea mbali ibilisi...
 
hao waisrael na akili zao wameshindwa kumlinda huyo nyau?
 
How can you compare Netanyahu and Magufuli at this stance?
 
Back
Top Bottom