Inside a US transport taking off from Kabul

Inside a US transport taking off from Kabul

Daah mkuu zile clip za raia kuikimbiza hiyo ndege, raia kudandia ndege na kuanguka nyingine hiyo picha apo bado unasema raia wanaikubali taleban??

Hata kama ni izo propaganda mkuu kuna mda kweli ukweli uongo hujitenga. Mamia ya raia wanahamia nchi jiran. Na hapo juzi walipoutwaa mji wa kabul walirusu raia wanaotaka kusepa wasepe kwa amani, sasa kama wanakubalika kweli watasaje raia wanaotaka kuondoka waondoke ilhali wanajua wanapendwa, hao wa kusepa watatoka wapi kwa serikali pendwa.??

Inawezekana ni woga wa raia wakikumbuka yaliyopita labda, ila saiz naona wavaa kobazi wamekuja na njia tofauti labda sioni zile amsha wala vurugu zaidi ya panic ya wananchi.
Wale raia waliokuwa wakiandamana South Africa na kuvunja maduka na kupora kwa kisingizio cha Jacob Zuma kukamatwa unadhani ni kweli walimpenda au walitafuta sababu tu?
 
Wale raia waliokuwa wakiandamana South Africa na kuvunja maduka na kupora kwa kisingizio cha Jacob Zuma kukamatwa unadhani ni kweli walimpenda au walitafuta sababu tu?
Hii ishu ni tofauti na ya south Africa kabisa mkuu. Wale walikua wanaleta fujo ndani ya ardhi yao lakiji hawa wanaikimbia ardhi yao. Na pia wale walikua wanavunja na kuiba mali lakini hawa hawavunji wala kuleta fujo wanasepa kimya kimya bila vurugu na hasara kwa nchi. Sijaona ufananisho huo umelenga nn zaidi mkuu
 
Wanawatukana na kuwaita makafiri halafu wanakimbilia kwao ..hili dini ni tatizo tupu.
Wanakimbili nchi za makafirii[emoji1]

Halafu wakifika huko wanaanza kulazimisha taratibu zao kutawala wenyeji .

Huwa siwaelewi Sana Hawa watu wa upande wa kushoto.

Huwa wanafujo Sana .
 
Bek 3 kajipindua umekula mzigo adhabu viboko 100 tena inachapwa mbele na kurudishwa nyuma hiyo fimbo!!!hahaha ina maana ni viboko 200 inakuwa...hahaha jamaa anakuchapa fimbo kama mtu anavyokata majani na slesher
Hahahahah wajuba wamejichenga zao kwa Bidden
 
Wanakimbili nchi za makafirii[emoji1]

Halafu wakifika huko wanaanza kulazimisha taratibu zao kutawala wenyeji .

Huwa siwaelewi Sana Hawa watu wa upande wa kushoto.

Huwa wanafujo Sana .
Yani hawa watu ni tatizo kabisa wanauoga Fulani wa kutokujiamini hivyo wanatafuta uruma wakishaipata basi wanatafuta kukubalika maana wanaona kama wanaonewa. Hii tabia ipo sana kwa watu wengi wa aisa huko hasa arabuni na afrika magharibi..na wengi ni hawa wenzetu upande wa pili
 
We chief acha dhihaka, unajua hao baada ya kuchukuliwa na hiyo ndege walipelekwa wapi? Kwa akili zako unahisi wamepelekwa Marekani sio? Walipekewa Qatar. Je Qatar ni Marekani?
Tena wamekuja Hadi Uganda
Screenshot_2021-08-17-19-15-29-94.jpg
 
Siku moja kabla Taleban hawajautia mikononi mwao mji mkuu wa Afghanistan, Marekani walikuwa wameshasoma upepo wakatangaza watapeleka ndege kwaajili ya kuwabeba raia wao.
Sasa hao wanaosemwa ni raia wao ni pamoja na mamluki wake. Jiulize rais kibaraka alikimbilia wapi? Jibu ni kwamba walimtorosha pamoja na hao mamluki wengine maana wanajua kitu ambayo ingeendelea kwao... Walishuka nchi moja hapo Arabuni alafu wakapanga mikakati ya kuwagawanya wale wa muhimu wakaondoka nao huku wale hohehahe kama sisi ambao walipanda kwa bahati mbaya ndio anakuja kuwamwaga hapo jirani Uganda

Unaweza usielewe lakini fikiria kwanini wananchi walikuwa wanatoa saport kwa Taleban mpaka Biden akalalamika? Kiujumla Taleban wanakubalika na waafganistani kuliko iliyokuwa serikali feki iliyowekwa na Marekani
Sasa mbona wamekimbia nchi Yao , Uganda wameshushwa 2000
 
Sasa mbona wamekimbia nchi Yao , Uganda wameshushwa 2000
Hao ndio waliodandia kwa bahati mbaya

Ndege ilipelekwa kwaajili ya wamarekani wachache pamoja na baadhi ya mamluki wa Marekani ili kuwaepusha kuingia mikononi mwa serikali mpya ya Taleban
 
Ni kweli wameletwa Uganda?? Ina maana hadi ndugu zao Qatar wamewakataa ..tena ni ndugu zao hasa katika imani..
Sio kama Qatar wamewakataa, pale Qatar Marekani ana Military base tu, hivyo aliwafikisha pale ndipo wakatafutiwa sehemu ya kupelekwa.
 
Sio kama Qatar wamewakataa, pale Qatar Marekani ana Military base tu, hivyo aliwafikisha pale ndipo wakatafutiwa sehemu ya kupelekwa.
Oho ina maana wamekosa kabisa hifadhi kwa ndugu zao huko Saudia,Oman, Kazakhstan, hadi wake huku Africa? Lazima kuna kitu hapo hakija Kaa sawa.
 
Je kunywa bia na kuvuta bangi kwa sheria za Tanzania hivi vitu viko sawa?
Sasa hapo unataka kuweka maswala ya dini ndani ya katiba ya Tz wakati unafahamu kabisa Tz haina dini
 
Hapo huwezi kujua, Taliban inaweza kupenyeza wafuasi wao pia kuingia Marekani kwa njia hiyo. Sina uhakika sana lakini huwezi kuwaamini wote eti wanakimbia vita.

Na siyo kwamba wananchi wa Afghanistan wanaichukia Taliban, naamini wengi wanaichukia Marekani kuliko Taliban ila fursa ikijitokeza kama hivyo ambapo hakuna muda wa background check, mabaharia wanaitumia vizuri sana.
Hawaendi USA moja kwa moja
 
Hebu jistahi wewe! Unajua ni nani hadi sasa anaongoza kuua? Hitler alikuwa Muislam?
Sasa mzee mbona unafananisha vitu viwili tofauti, bc tuseme na wanajeshi wakienda vitani na kuua ni Waislamu
 
Back
Top Bottom