Inside a US transport taking off from Kabul

Inside a US transport taking off from Kabul

Sasa hapo unataka kuweka maswala ya dini ndani ya katiba ya Tz wakati unafahamu kabisa Tz haina dini
Kwenye katiba ya Tanzania miongoni mwa haki za kila mmoja ni pamoja na uhuru wa kuabudu, kaisome vizuri katiba kama unayo. Tanzania haina dini lakini Watanzania wana dini, na ndio maana hata mahakama ambayo ni ya serikali lakini unakula kiapo kwa mujibu wa imani yako.
Ungejibu kwanza kisha ukatoa hoja yako ungefanya la maana.
Sasa mzee mbona unafananisha vitu viwili tofauti, bc tuseme na wanajeshi wakienda vitani na kuua ni Waislamu
Imeruhusiwa kuua kwa ajili ya kujilinda, maana bila kufanya hivyo unaweza kupoteza wewe uhai wako.
 
Back
Top Bottom