Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Umeona ee?
Ila, kuna uwezekano pia si wabaya, ...ila uwepo wako karibu nao
kwa kipindi fulani, kunaweza sababisha 'ajali'...au tafrani fulani...au, anything negative (force)
Hii haimaanishi am Superstitious, au?
Maana kuna wanaokwenda extreme kufikia kutizamia nyota (horoscope)...nk...
mie humlaani shetani na kumtanguliza mw'mungu japo kuna wakati roho inasita kabisa!
Mimi nadhani binadamu wote tuna intuition. Kusema kwamba kuna watu hawa experience hii hali nadhani ni sawa na kutokusema ukweli.
Sasa intuition siyo exact science kama nilivyosema hapo awali lakini haina maana huwa haziko sahihi pia. Kuna wakati mtu unapatwa na hisia fulani fulani halafu hayo mambo uliyokuwa unayahisi yanatokea kweli.
Kusema kuna watu hawa experience intuition ni sawa na kusema kuna watu hawaendi haja - iwe kubwa ama ndogo!
Definition ya Superstition ni kubwa
mimi huwa naita kujua 'strength na weaknesses zako'
if you can read yr mind precisely definetly hiyo makitu itafanya kazi..unaweza hata kumtazama mgonjwa na ukajua atapona au la!....nice, upo deep kumbe na haya mambo ya yoga ee...
yeah, subconcious mind ni muhimu kuisikiza ila najiuliza hii
Inakuwa influenced zaidi na personal experiences ama nini?
The Boss, kumradhi sikukutaja awali...nimwagie maujuzi kaka...
Wewe umenielewa vizuri sana.....Big Up!!!
Ume summerize 99% ya kilichomo akilini mwangu...
'spooky!'
For real, ...."indecision" hapo..unakusudia kusema you dont trust your instincts sio?
Kaka, hiyo intuition na instincts zinapishania wapi....maana kuna wataodai hata phobia
zatokana na personal experiences zilizojizika kwenye mzizi wa roho...wengine hudai "...ukiwa na roho nyepesi/ndogo!..."
if you can read yr mind precisely definetly hiyo makitu itafanya kazi..unaweza hata kumtazama mgonjwa na ukajua atapona au la!
nimejifunza kufuata hisia zangu....
Believe me hazijawahi niangusha.......
Intuition ni uwezo wa kuhisi/ kujua mambo bila ithibati. Waweza pia kusema ni hisia muongozo kwa sababu unawaweza kuzitumia hizo hisia kufanya ama kutokufanya jambo.
Instinct ni kitu au jambo unalolijua bila kujifunza wala kufikiria. Kwa mfano, nikija hapo ulipo na kuelekeza fimbo karibu na mboni ya jicho lako lazima utalifumba.
Here below is the situation..Rev.The Finest....how are you doing bana? Kwenye sixth sense yangu wakati naandika mdahalo huu
ulikuwa mawazoni mwangu, ....sijakusoma siku nyingi, ila thx for my mind power umenijibu....lol...
enhe, wasema naweza acha kuyatii 'machale' yangu? Pheeewww....ni sahihi kufanya hivyo?
...ahhh, why wanawake pekee, au wachanganya na ile maternal insticts mfano
mtoto ataka nyonya, nk?...
Naamini sote binaadamu tumejaaliwa 6th 'major' senses, ila twazitii hizo senses kila mtu na
priorities zake...no wonder kuna wanaosema '...nilihisi kabla itakuwa hivyo!'....
Hilo la kuwazia mtu mara naye anajitokeza au kukupigia, twaweza sema 'telepathy'...supernatural power,
etc....so, kwa issue yangu hii ninavyojiskia niitii hali yangu ee? Dahh, sijui nitaeleweka...ahh, ukubwa jaa.
.....aisee, shukrani kwa ufafanuzi huu...hiyo intuition ndio ninayoikusudia kwenye mdahalo huu...
yaani najikuta kuna baadhi ya siku kuna jambo nalihisi kutokea iwapo nitafanya jambo fulani...
i hope am not getting delusional, au schizophrenia....hii old age mashaka nayo..
Mimi huwa napenda kuiita ESP - Extra Sensory Perception.....aisee, shukrani kwa ufafanuzi huu...hiyo intuition ndio ninayoikusudia kwenye mdahalo huu...
yaani najikuta kuna baadhi ya siku kuna jambo nalihisi kutokea iwapo nitafanya jambo fulani...
i hope am not getting delusional, au schizophrenia....hii old age mashaka nayo..
zipi,za kiroho?
ulinzi wa mababu?
uzoefu wa yaliyowahi kuku kuta,kusikia
ama...
maana subconcious zina base
Sijui kwa nini huyo mwandishi alii-connect to women only. Lakini kuna some religious explanation nadhani. Huoni kama wanawake tuko very manipulative? (inaitwa roho ya utambuzi nadhani...)
The only formulae for being miserable is trying to please everyone. Hiyo ni one way ticket to failure-land!
Aisee mie mtu ambae hanipi front seat kwenye maisha yake asitegemee hata nafasi kwenye keria manake bora nibebe gunia la mkaa! Gawa muda wako accordingly, wengine a simple apology ama a drop inatosha. Mie nikienda home town kwanza i dont even tell people nipo. Tukikutana hata sisemi naondoka lini. Akilalamika mtu namuambia there was an emergency, so had to leave. Wape muda walio karibu na wewe bwana, trust your guts,lol!
:tape2:Hii siginecha sasa, mbona iko biased? Couldnt help noticing,lol
Here below is the situation..
What you hope, you'll eventually believe, what you believe you'll eventually know, what you know, you'll eventually create, what you create, you'll eventually experience, what you experience you'll eventually express, what you express you will eventually become
Nuuh...I don't think you are getting delusional (although I haven't done any evaluation). Ni kawaida ya binadamu kupatwa na hisia kama hizo. Na kuna wakati huwa zinaongezeka na kuna wakati huwa zinapungua. It's just part and parcel of the human experience.