Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha dharau....ww ndy una kazi nzuri sana....hata kama mchzi anapga kazi hyo poa tu as kila siku mkono unakwenda kinywani...
Babaako anafanya kazi gani? Tuwekee na picha ya baba yako/ mama yako wakiwa kazini..
Babu anamiliki garage flan hiv tmk so yawezekana anapiga lindo mwenyew, sio mbaya lakin
Mkuu warumi tafadhali fatilia hili swala utuletee habari kamili.
swala la babu kuwa fundi magari nimelisikia ila la ulinzi bado jipya kwangu,
Shuruba sio bongo hata uk,newyork stockholm hilo lazima ufahamu haujawahi kusikia mtu kalala njaa ndani ya paris ufaransa? Au kwakuwa mji wa maraha basi unajua watu hawalambi galasa? Hizi biere totoz ni rasharasha bado mvua kamili haijanyesha alaaa ebo sisi paka weweeeeeeeee!!