My hair my crown
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 898
- 2,478
Love connect hupajui?Natafta mchumba humu kwa mtandao mwanamke aliyetayari aje
Ndivyo walivyo mbwa kokoYanasikika mashairi huko yakimdiss Roma mkatoliki kwa kuiponda serikali,
hakuna atakayekuachia ukiipotosha umma
Eti unajiita Roma, kardinali hakutambui, huna unachoongea unajiumauma
Unajiinamisha mkatoliki kumbe mfuasi wa Gwajima
Mziki wa Magufuli utauweza??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanamuziki wa bongo wanafurahisha na wanasikitisha sana
Kakiki ka pikipiki anataka kawashe treni!!!!
kafulia huyu mzee anataka kutokea kwa mgongo wa dogoYanasikika mashairi huko yakimdiss Roma mkatoliki kwa kuiponda serikali,
hakuna atakayekuachia ukiipotosha umma
Eti unajiita Roma, kardinali hakutambui, huna unachoongea unajiumauma
Unajiinamisha mkatoliki kumbe mfuasi wa Gwajima
Mziki wa Magufuli utauweza??
Babu hii ngoma ya mwaka juzi hii kipindi cha uchaguzi baada ya Roma kuachia ile ngoma yake ya kuichana serikal/ccm jina limenitoka...ndio.mchonga meno Inspekta kama kawaida yake kutembelea footprints za wenzake nae akaja kumjibu roma na huo wimbo.....Yanasikika mashairi huko yakimdiss Roma mkatoliki kwa kuiponda serikali,
hakuna atakayekuachia ukiipotosha umma
Eti unajiita Roma, kardinali hakutambui, huna unachoongea unajiumauma
Unajiinamisha mkatoliki kumbe mfuasi wa Gwajima
Mziki wa Magufuli utauweza??
Harafu hizo dis zako huwa hazibambiHuyu nae anajuaga ku diss wenzake tu.
Natafta mchumba humu kwa mtandao mwanamke aliyetayari aje
Kwa bashiteMi mwenyewe nashangaa tulimpa msingi wa kuuza chips Mbagala kiburugwa huku karibu na kwa kina Juma Nature hata pesa sijui ya kurekodi kaitoa wapi