Inspekta aachia Diss kali kwa Roma.. "Unajiita Mkatoliki wakati unasali kwa Gwajima?".

Inspekta aachia Diss kali kwa Roma.. "Unajiita Mkatoliki wakati unasali kwa Gwajima?".

Roma yuko na wananchi walio wengi, hyo inspector atakuwa na kikundi kidgo
 
JAMANI HIYO NYIMBO NI YA ZAMANI, INSPEKTAAH ALIMJIBU ROMA KIPINDI AMBACHO ROMA ALITOA WIMBO WA "VIVA ROMA VIVA".

ILA NAONA WATU WANADHANI NI WIMBO MPYA.

VIVA INSPEKTAAAH VIVA.
Hapa Miheko Ndio inachukua nafasi.

Jamaa kwa "distrack" yupo vyema.
Kuna Ile ya Temba,Tmk family,FA.
 
Huyu aanazeeka vibaya ...au ni mkichaaa au njaaa
 
Yanasikika mashairi huko yakimdiss Roma mkatoliki kwa kuiponda serikali,
hakuna atakayekuachia ukiipotosha umma
Eti unajiita Roma, kardinali hakutambui, huna unachoongea unajiumauma
Unajiinamisha mkatoliki kumbe mfuasi wa Gwajima
Mziki wa Magufuli utauweza??


Mleta Uzi,
Tuwekee kumbukumbu sahihi,Huu wimbo umetoka lini...?

Ufahamu wangu wimbo umetolewa 2015 wakati wa uchaguzi huku akijibu au akidiss wimbo wa "Viva R.o.M.a. Viva"


Sasa Malengo yako nini katika uzi wako,wakati mwingine tuwe tunaandika kwa Usahihi.
 
Unafahamu ngoma imetoka lini...?


Hii ya Inspecta haroun-hapa Kazi tu.
Vyovyote, iwe ya juzi au jana issue ni kuwa Roma is an activist trying to speak before the mass. Huyo inspector anajarbu kutetea
the top layer
 
Vyovyote, iwe ya juzi au jana issue ni kuwa Roma is an activist trying to speak before the mass. Huyo inspector anajarbu kutetea
the top layer
Natanguliza kwanza!!
"Watawala Mauwongo Wapinzani Mauwongo"


Jiulize kwanini Mleta Uzi hakuleta kipindi wimbo unatolewa wa inspecta wakati anamujibu ...kunakitu anajaribu kukitengeneza Mleta Uzi.


Tulia Fanya uchambuzi.
 
babu anasubirigi wenzie waimbe yeye adandie
 
tulishamsahau kaona hapo ndio pakutokea sijui nn kaimba
 
Mnamjadili inspekta haruni,haya majina ya haruni,lipumba nae
 
Natanguliza kwanza!!
"Watawala Mauwongo Wapinzani Mauwongo"


Jiulize kwanini Mleta Uzi hakuleta kipindi wimbo unatolewa wa inspecta wakati anamujibu ...kunakitu anajaribu kukitengeneza Mleta Uzi.


Tulia Fanya uchambuzi.
Aliyeleta Uzi si msengeeerema tu, anaitangaza YouTube akaunti/channel yake kijanja.

Huyo jamaa thread zake zote ni habari picha/sauti ambazo ukifatilia zinakupeleka ktk channel moja ya YouTube inaitwa ZINAZOBAMBA MTANDAONI... Kumiliki Channel sio kosa, Hata Kuitangaza pia (Japo Sijui Kama JF wanaruhusu 3rd party Business kupitia Wao bila malipo)

Kosa kubwa la jamaa ni kuupotosha umma kama baadhi ya mistari inavyosikika kwenye huo wimbo... Mosi, jamaa kasema kitu kinabamba mtandaoni ila kiukweli hii nyimbo haipo "hit", pili jamaa kaiweka na kuweka habari kana kwamba wimbo huu umetoka juzi/jana wakati wimbo una zaidi ya mwaka na miezi kadhaaa, hii imepelekea wachangiaji kumshukia na kumdhalilisha Inspektaah Haroun " Baaabuuu" Jambo ambalo sio.

Mleta Uzi Kuwa Makini.. Wengine Ni Wafuatiliaji Wa Nyimbo Za Chini Ya Handaki/Ardhi "Underground"
 
Tit-4-tat, ashamchokonoa Gwajima... Jumapili nawahi front line pale ufunuo na uzima
 
Aliyeleta Uzi si msengeeerema tu, anaitangaza YouTube akaunti/channel yake kijanja.

Huyo jamaa thread zake zote ni habari picha/sauti ambazo ukifatilia zinakupeleka ktk channel moja ya YouTube inaitwa ZINAZOBAMBA MTANDAONI... Kumiliki Channel sio kosa, Hata Kuitangaza pia (Japo Sijui Kama JF wanaruhusu 3rd party Business kupitia Wao bila malipo)

Kosa kubwa la jamaa ni kuupotosha umma kama baadhi ya mistari inavyosikika kwenye huo wimbo... Mosi, jamaa kasema kitu kinabamba mtandaoni ila kiukweli hii nyimbo haipo "hit", pili jamaa kaiweka na kuweka habari kana kwamba wimbo huu umetoka juzi/jana wakati wimbo una zaidi ya mwaka na miezi kadhaaa, hii imepelekea wachangiaji kumshukia na kumdhalilisha Inspektaah Haroun " Baaabuuu" Jambo ambalo sio.

Mleta Uzi Kuwa Makini.. Wengine Ni Wafuatiliaji Wa Nyimbo Za Chini Ya Handaki/Ardhi "Underground"
Umemaliza Mkuu kwa maelezo yako swafi kabisa!! Safi sana.

Sasa angalia member's wa jamii forum wanavyoendelea ku'comment katika huu uzi Je! Wanautofauti gani na Mkulu anayekurupuka kwa baadhi ya Mambo...?

Watu wanashindwa hata ku'google huu wimbo umetoka lini ili wachambue vyema,Sijui ni mihemuko ya Siasa Ndio inawaendesha hivyo....?


"Uhuru wa Miguu mikono akili imefungwa minyororo"
 
Back
Top Bottom