Inspekta aachia Diss kali kwa Roma.. "Unajiita Mkatoliki wakati unasali kwa Gwajima?".

Inspekta aachia Diss kali kwa Roma.. "Unajiita Mkatoliki wakati unasali kwa Gwajima?".

Song la zamani hilo.. Ila ukilisikiliza ni utabiri Fulani hivi ambao umekuja kutimia juzi kati baada ya ROMA kutekwa.

Viva Inspektaah Viva.
Bob muongo wewe! Asa kama song la zaman Gwajima kaingiaje kwenye hilo song
 
Na huyo aliyeleta hii post si mnamjua jamani, wale wale wa buku saba wale... Inspector kapewa buku Saba zake, huo wimbo ukasambazwa kwa hawa team Bashite waulete kwenye social media.... Bashite anahangaika kweli kweli....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bashite kweli sasa kalewa madaraka kasahau alimfunga viatu viatu riz jana anamsema eti yeye anaover power ya jij
 
Chefuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!! Hawa wengine nao wasanii?waende ITV hawavumi lakini wamo ndio saiz yao huku hawakuwezi
 
sura mbaya, mashavu makubwa hayaendani na mwili wake, utadhani mgonjwa wa figo, kashafulia anatafuta pakutokea, anapenda kutokea migongoni mwa wenzia, Mwana fa alitoa wimbo wa bado nipo nipo kwanza, guyu bwega kaja kau diss, sijui yukoje?
 
Alimtukana Ney wa Mitego sana mwaka wa uchaguzi, tena matusi ya nguoni lakini Ney akamuona zoba tu
 
Bob muongo wewe! Asa kama song la zaman Gwajima kaingiaje kwenye hilo song
Kuna Mambo Mawili aidha ulikuwa Nje ya Nchi wakati wa uchaguzi au umezaliwa mwaka Jana.

Unalifahamu Sakata la lowasa kuhamia Chadema na Dkt Slaa kuondoka ....?
 
Song la zamani hilo.. Ila ukilisikiliza ni utabiri Fulani hivi ambao umekuja kutimia juzi kati baada ya ROMA kutekwa.

Viva Inspektaah Viva.

Alimtabiria atakuja kuliwa ndogo..mwaka mmoja baadae roma anashuka kwenye gari huku anachechemea..akiulizwa yaliyomsibu hataki kusema..ama kweli babu noma kwa utabiri
 
Hii mbona kama niliisikia kitambo tu, miezi kadhaa kabla ya "kutekwa" kwa Roma, au kachia nyingine?
 
Back
Top Bottom