NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,391
Utayakula tuNa huyo aliyeleta hii post si mnamjua jamani, wale wale wa buku saba wale... Inspector kapewa buku Saba zake, huo wimbo ukasambazwa kwa hawa team Bashite waulete kwenye social media.... Bashite anahangaika kweli kweli....
Nakuunga mkono kabisa hilo suala la kupata wap hela ya kurekodia.....wiki mbili zilozopita alikuja huku wilayan...had aibu anaomba bia....akmchukua kahaba na akaliibia...amebaki na ile mi silva bati shingon.usanii bongo unatia huruma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ametoa wapi pesa ya kurekodia nyimbo,
Inspector ambaye hakupita depo ...loh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
NEY WA MITEGO NDIO WALEWALE HUYU JAMAA ALIWAHI KUTOA WIMBO UNAITWA UTAFAHAMIKAA.....Inspekta Haroun, alitumia lugha kali sana. Ule wimbo huwezi hata upload hapa. Lakini Ney alimpotezea tu
Mkuu, ungeusikiliza ule wa matusi wa Inspekta kwanza halafu ndiyo uka compare. Ni matusi ya nguoni na hata hausikilizikiNEY WA MITEGO NDIO WALEWALE HUYU JAMAA ALIWAHI KUTOA WIMBO UNAITWA UTAFAHAMIKAA.....
KATIKA ULE WIMBO KUNA MISTARI ALIFLOW KUMPONDA ISPECTAAA NDIO MAANA NAE ISPECTAA AKAMJIBUU........
MIMI UKWELI WANGU NAMKUBALI SANA ISPECTAA ILA SHIDA NI KWAMBA AMEPOTEZA MWELEKEO
Hahahahahhaha umeifanya siku yangu kiukwel nimechekaKakiki ka pikipiki anataka kawashe treni!!!!
Nilipe sasa kwa kukukufurahisha mkuu...Hahahahahhaha umeifanya siku yangu kiukwel nimecheka