Manchris Jbisd
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 691
- 494
Just so you'all know,
HACKING IS RELATIVE. and so are the methods for that.
Kuwa hacker ni kuwa creative katika 'udukuzi', baas. Hakuna njia moja pekee ya ku-hack. Halafu hata ukiipata, kumbuka kila siku watu wenye systems zao wanahangaika kuboresha usalama. Hivyo bas kudhani kwamba utakuwa hacker kwa njia moja, ni upotofu.
First of all, computer is a logical system. A good hacker knows the computer/system as it is. Au kwa urahisi tu, bas unapaswa ujue how things work and find a way to get around. So understanding is important.
Hakuna somo la hacking, kama vile tu hakuna somo la utapeli. Kwa maana kwamba situation huwa ni tofauti kwa kila scenario.
Unaweza uka-hack account hii instagram tofauti na nyingine. Hiyo inatokana na mambo mbalimbali, kama ukaribu wa unayem-hack, ukubwa wa password anayotumia, n.k.
For instance unatumia brute force, the smaller the number of character, the easier it gets.
Hapo utaona, hacking is relative. You may or may not need a particular technique. Mfano, kuna account niliisimamia ambayo ilikuwa ni rahisi kui-hack kwa brute force, with a little patience. Lakini kuna ambayo niliwekeza muda kuipa security ya kutosha. Na zote ni za instagram.
You need to think. Lets say you cant hack an account, lakini you can access email yake huyo mtu, bas its simple tu pale kwenye password recovery. Ikishindikana hapo, you may know a secret question ya email, hivyo itakusaidia ku-hack email. Usipojua jibu la hilo swali, still you may do a little social engineering, kum-manipulate upate jibu, maadam swali unalijua. You see, ways goes on and on until you find a weakness.
Kwa hiyo, hacking is relative. There are unlimited ways for hacking and at the same time none, depending on a situation.
Nadhani hacking ni creativity yako tu katika ku-solve puzzles. Nina-recommend watu wa-solve puzzles mbalimbali, itasaidia.
Speaking of bruteforce, its still relevant, but its effective pale inapotumiwa na other methods kama za social engineering.
So, you wanna be a hacker, THINK!
HACKING IS RELATIVE. and so are the methods for that.
Kuwa hacker ni kuwa creative katika 'udukuzi', baas. Hakuna njia moja pekee ya ku-hack. Halafu hata ukiipata, kumbuka kila siku watu wenye systems zao wanahangaika kuboresha usalama. Hivyo bas kudhani kwamba utakuwa hacker kwa njia moja, ni upotofu.
First of all, computer is a logical system. A good hacker knows the computer/system as it is. Au kwa urahisi tu, bas unapaswa ujue how things work and find a way to get around. So understanding is important.
Hakuna somo la hacking, kama vile tu hakuna somo la utapeli. Kwa maana kwamba situation huwa ni tofauti kwa kila scenario.
Unaweza uka-hack account hii instagram tofauti na nyingine. Hiyo inatokana na mambo mbalimbali, kama ukaribu wa unayem-hack, ukubwa wa password anayotumia, n.k.
For instance unatumia brute force, the smaller the number of character, the easier it gets.
Hapo utaona, hacking is relative. You may or may not need a particular technique. Mfano, kuna account niliisimamia ambayo ilikuwa ni rahisi kui-hack kwa brute force, with a little patience. Lakini kuna ambayo niliwekeza muda kuipa security ya kutosha. Na zote ni za instagram.
You need to think. Lets say you cant hack an account, lakini you can access email yake huyo mtu, bas its simple tu pale kwenye password recovery. Ikishindikana hapo, you may know a secret question ya email, hivyo itakusaidia ku-hack email. Usipojua jibu la hilo swali, still you may do a little social engineering, kum-manipulate upate jibu, maadam swali unalijua. You see, ways goes on and on until you find a weakness.
Kwa hiyo, hacking is relative. There are unlimited ways for hacking and at the same time none, depending on a situation.
Nadhani hacking ni creativity yako tu katika ku-solve puzzles. Nina-recommend watu wa-solve puzzles mbalimbali, itasaidia.
Speaking of bruteforce, its still relevant, but its effective pale inapotumiwa na other methods kama za social engineering.
So, you wanna be a hacker, THINK!