Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Hiyo number 1 kwenye UZOEFU sio mchezo!
Yeye ana wasaidia polisi wa hicho kitengo
Huyu mtu ni timing bomb about to explode. Many people wanamuita kubwa jinga au kwa jina jipya alilonalo kwa sasa ni "Msaliti." You can never trust him for ni mbea kinoma.
Basi ana kubalika kweli na nina mpongeza kwa hilo!
Ulipiga picha na lemutuz mzee wa mabebez
Huyu mtu ni timing bomb about to explode. Many people wanamuita kubwa jinga au kwa jina jipya alilonalo kwa sasa ni "Msaliti." You can never trust him for ni mbea kinoma.
Le mkareez katupia uzi afu kautelekeza, naona bado atakuwa anakula mavuno ya Insta Party
Katika potapita instagram nikakutana na hii....
Le mutuz usinishambulie nawasilisha tu nilichokiona
Hili ndio lile shati la kufunika Starlet?
Majirani zetu wanajenga nchi zao sie tuko busy kuparty. Wakibandika picha za maendeleo ya nchi zao tunakuja juu kwa hasira kwa kuwaponda.
- Instagram Party Tanzania Tour 2014 juzi imeweka historia mpya ya Sherehe hizo zilizoanza mjini Dar Miezi 2 iliyopita baada ya watu Elfu Tano kufurika Ukumbi wa Jembeni Jembe wa Mjini Mwanza kusherehekea Sherehe hizo ambazo kwa mara ya kwanza zimetoka nje ya mkoa wa Dar kuanza na Mwanza juzi. Wakurugenzi wote 4 wa Instagram Party Tanzania Freddy + Gillsant + Bikira wa Kisukuma na Le Big Show wote walikuwepo kwenye sherehe hizo ambazo zilitumbuizwa na Ben Paul, Shilole, Jokate, pamoja na Wabiro. Sasa sherehe hizo zitakazozunguka Tanzania nzima zinahamia Mbeya. - Le Mutuz
Ndo akili za ndugu zetu hizo...
90% ya maisha yao ni starehe na kupiga soga tuu
Halafu anayeshabikia ujinga huu licha ya kwamba anaingiza pesa kwa kuwatumia vijana mafukara wa mali hadi akili lakini ndani ya chama chake amepewa dhamana kama mzazi, sijui kama anajuwa hata jumuiya wazazi kazi zake ni nini hasa!?
Asilimia kubwa ya watu na viongozi waliopo kwenye hiyo jumuia ni duni na hopeless mno....
Ndo maana kuna kipindi JK aliwahi pendekeza ifutwe tu ndani ya chama kwakuwa haina tija...
Wapo kwenye uangalizi hao sasa watu Kama akina Lemutuz ndo think tank zao sijui Kama itakua na uhai...
Kwa umri Wa lemutuz licha ya kuwa kiongozi huwezi shabikia upuuzi Kama huo....
Hapo nakubaliana na wewe, kabla ya shule za kata na Private school tulitegemea shule za jumuiya ya wazazi kwa ajili ya vijana ambao hawakuchaguliwa kwenda secondary shule za serikali, sasa kwa jumuiya hii kuwa chini ya wav hopeless kama Bulembo na Le Mutuz watauwa hata hizi shule ambazo zilijengwa na kina Marehemu Chibwae, Mzee Jongo na wengineo, maana swala la wao kujenga walahu shule moja sahau wanawaza beach party tu.
Tena huyo Bulembo simpendiiiii, aligombea udiwani huku kwetu watu wakamlia hela halafu wakampiga chini...Akashinda Diwani wetu wa chadema, yani alivyokuwa na laana kaenda kumtengenezea zengwe diwani wetu hadi leo hakai ofisini...Simpendi ana mashauzi tena naomba 2015 aje tena tumuonyeshe kuwa watu hatuangalii chama tunaangalia mtu ziliyemtimia kichwani....
Sijui huko umoja wa wazazi wanachaguana kwa vigezo gani...
Le mbebez..le mutu ya watuu..tukomeshe babaa..ukimaliza mbeya uje arusha..cc lemutuzzzz
Naomba na Dar mfanye nyingine tena kuubwa ya kufungia mwaka