Haha husna nyota hana na vichuchu vyake ka kona ya sambusaHuyo husna siku bwana yao yeye na lulu kafa akaanza kuandika vitu vya majonzi mara yallabi nitie nguvu
Kama kihawara tu kinaomba mungu akitie nguvu mke asemeje, baada ya wiki tu kakaonesha pete mara kanajiita mrs chief
Mwezi haujaisha sio kamrs tena
Ndo alivyojibu?kwahyo baba ake akimtaka mwenyewe?yaani ana hatari yule bibieYap seki ha ha ha afu lulu aliulizwa kwanini kachukua bwana wa shoga ake akajibu bwana kanitaka mwenyewe
Alianza kugongwa tangia kapo kaduchu sana kale katoto.....nakajua siku nyingi.Kaanzia kugongwa na vijana mtaani weeee mpk akahamua kuingia katika umiss nakuanza kugongwa na hao wa afadhaliHaha husna nyota hana na vichuchu vyake ka kona ya sambusa
Nimekuelewa, nilisema hivyo kiutani, si unajua jf!Ha! Ha! Ha! Ha! waliojenga Ruksa? Yaani nimekuja huku baada ya kuona nifah analalamika kule jukwaa la malalamiko kwamba wapita njia wanamkerra. Nimekutana na hili hadi nimeshangaa. Unaweza kujidai unajua mambo kumbe kuna vijambo vitakupita na wewe mshamba huvijui. Afadhali Lulu kidogo nilikuwa namjua. lakini huyo Giggy Money sijui!!
Ndio nimetoka insta hivi,nimecheka hadi kichwa kinauma!Mke wa mtu huyo,ama kweli mmewe kakaliwa,munaa na tako lake la kichina...
Hakunaga mtu anaestaafu umbea ukiacha ujue upo likizo tu, yap ndo huyo huyo anaitwa said ana kigari cha blueMay be anaitwa Saidi coz jina lake silikumbuki....ana kigari flan cha bluu.Kila anayepigwa mti nae lazima apige nacho picha hyo gari.Jamani eeeeh niliacha umbea sijui imekuwaje ha ha ha 😉
Hahahaa huko Insta watu wamevurugwa...mimi huwa nacheka sana..ukimfolow na baby_ake ndio vituko zaidi unaweza Cheka mwenyewe kama kichaa..Ndio nimetoka insta hivi,nimecheka hadi kichwa kinauma!
Sio kwa vituko vile kutoka kwa huyo Scoop_tz,hasa pale alipoweka picha ya mtoto wa Aunt akiwa kavaa gauni jekundu (nadhani ilikuwa 40 yake)
Ila kweli katoto cha Aunt chembambaje?
Na alivyoweka picha ya Aunt akiwa kwenye kile kijumba cha udongo....lol
kheeee kheeee kumbe tecno ni mswahili...😵🙄Hali si hali,balaa tupu Instagram kumechafuka ndani ya dakika 20 alizozitoa Super Star kutoka Nigeria Teknomiles hazijatosha kwani comments za wadau wa umbea zimefika 1000 na zaidi!
Yote haya yalianza baada ya mwanamuziki huyo (yes ni mwanamuziki na sio msanii) kuja nchini kwenye tamasha la muziki la siku ya kuamkia mwaka mpya tarehe 31 Alhamis iliyopita,sasa wadada wa mujini kama kawaida yao kila mmoja akataka kulala na Star huyo (what a shame).
Vita kubwa ilikuwa kati ya Lulu na Gigy Money (mwanadada anayetafuta umaarufu kwa nguvu mjini hapa)
Leo mchana huu mwamuziki huyo kutoka Nigeria katuacha midomo wazi kwa alichopost Instagram kama ifuatavyo....
Cha kujiuliza ni nani kamfundisha kiswahili tena kilichonyooka namna hii?
Tuliowahi tumescreen shot,jioneeni wenyewe....
View attachment 314834
Ila #nifah we mbona nimekukoma??? Lohh umbea km umeupandia ndege kuusomeaHii collabo iliyoko hapa acha kabisa,wambea wote wa JF na E.A nzima wako hapa unategemea nini?
Rahaaaa tu.
Shoga nimechekaje?Sasa hivi kachambwa Esma na kwa baby_ake kachambwa Young Killer.Hahahaa huko Insta watu wamevurugwa...mimi huwa nacheka sana..ukimfolow na baby_ake ndio vituko zaidi unaweza Cheka mwenyewe kama kichaa..
Njaanuary ni balaa ila pia uko njema katika ubuyuuuuHahahahaaa maisha yamekuwa magumu pesa hakuna January hii stress tupu.
Bora tupige umbea tu maana hakuna namna.
Ila hakushindi wewe kungwi wa makungwii gwiji la umbeaaHeheheee asanteee.
Ila niko chini ya Mwenyekiti aliyeshindikana E.A na Afrika nzima kiujumla kwa umbea Mr. warumi....
Hahahahaha wajua hata chongo mfalme wa vipofuuuuuuuuu, unatishaaaYule ndiye mbobezi sasa,mimi mwenyewe tu namvulia kofia.
Anaweza choma mafuta gari kufuata umbea,pia ana Verrosa special ya kwenda kupiga umbea!
Hahahahahaaa